
Kutana na Wakonta Kapunda, msichana wa miaka 25
kutoka Tanzania ambaye alipata ajali siku ya kuhitimu
sekondari.
Baada ya matibabu na kulazwa hospitalini kwa miezi,
miaka minne baadaye amepooza mwili mzima
isipokuwa shingoni na kichwani.
Lakini sasa amepata matumaini baada ya kujifundisha
namna ya kuendeleleza ndoto yake ya uandishi wa
filamu kutumia ulimi wake, ambao ndio...