Recent Posts

PropellerAds

Friday, December 23, 2016

Trump aitaka Israel kusitisha ujenzi katika ardhi ya Palestina

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina.
Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baadaye siku ya Alhamisi, Bw Trump amesema kuwa amani haitaafikiwa kupitia hatua ya Umoja wa Mataifa kuweka masharti.
Azimio hilo litaagiza kwamba shughuli zote za makaazi hayo katika eneo hilo la Palestina, ikiwemo Jerusalem mashariki lazima zisitishwe.
Marekani imekuwa ikiunga mkono Israel katika Umoja wa Mataifa, lakini wanaounga mkono azimio hilo wamekuwa wakitumai kwamba utawala wa rais Obama utasusia kura hiyo.

Trump aitaka m marekani kuboresha silaha za nuklia

Donald Trump ameitaka Marekani kuboresha zaidi uwezo wake wa zana za nuklia.
Rais huyo mteule ambaye ataingia ofisini mwezi ujao amesema kuwa Marakani ni lazima ichukue hatua kama hizo, hadi wakati ulimwengu utatathmini suala la nuklia.
Trump aliyazungumza hayo saa kaadha baada ya rais wa Urusi Vladimir Putin kusema kuwa Urusi inahitaji kuboresha uwezo wake silaha za nuklia
Trump: Clinton ataanzisha Vita Vikuu vya Dunia

Marekania ina silaha 7,100 za nuklia huku Urusi ikiwa inamiliki silaha 7,300 kulingana na shirika la kudhibithi silaha la marekani.
Trump aliyaandika hayo kwenye akaunti yake ya mtando wa twitter
Wakati wa kampeni, Trump alisema kuwa silaha la nuklia ndilo tatizo kubwa zaidi linaloikumba dunia.
Mgombea wa chama cha Democratic Hillary Clinton mara kwa mara alimtaja Trump kuwa mtu asiye na uvumilivu wa kuweza kuzuia vita vya kinuklia.

Monday, December 19, 2016

Mwanamke alieolewa mara nyingi zaidi afariki.

Mwigizaji maarufu Zsa Zsa Gabor amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99.
Mumewe wa sasa Frederic von Anhalt amesema mwigizaji huyo alifariki baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo akiwa amezingirwa na marafiki na jamaa.
"Kila mtu alikuwa hapo. Hakufariki akiwa peke yake,"
Alitengeneza zaidi ya filamu sita lakini alijulikana zaidi kwa kuwa na wanaume wengi na kupenda almasi.
Kwa hesabu zake mwenyewe Zsa Zsa Gabor aliwahi kuolewa mara nane na nusu, hakuchukulia ndoa yake kwa Mhispania mwaka 1983 kuwa ndoa kamili.
Alikuwa maarufu kwa miongo kadhaa, kabla ya hata kuibuka kwa Paris Hilton au Kim Kardashian.
Mwanamke aliyeshambuliwa mtandaoni ajitetea

Akitoa maoni juu ya kushindwa kudumu katika ndoa Gabor alisema katika ndoa zake alifanywa kama msimamizi wa nyumba kwa sababu kila alipokuwa akipewa talaka yeye aliachiwa nyumba.
Zsa Zsa Gabor alizaliwa mjini Budapest nchini Hungary tarehe 6 Februari 1917 na akahamia Marekani wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
Aliigiza filamu yake ya kwanza Hollywood mwaka 1952.
Aliigiza zaidi ya filamu 70, lakini alifahamika sana kwa maisha yake ya kifahari.
Aliolewa mara ya kwanza akiwa na miaka 20 na ndoa yake iliyodumu muda mrefu zaidi ilikuwa yake ya mwisho alipokuwa na miaka 70 kwa Frederic von Anhalt.
Gabor alitawazwa Miss Hungary mwaka 1936, lakini baadaye akapokonywa taji hilo kwa kuhadaa kuhusu umri wake ndipo aruhusiwe kushiriki shindano hilo.
Aliigiza karika filamu maarufu kama vile Moulin Rouge (1952), Lili (1953) na Queen of Outer Space (1958). Hivi karibuni, aliigiza katika filamu ya Nightmare kwenye mwendelezo wa filamu za Elm Street na pia kwenye filamu za ucheshi za Naked Gun.

Mtoto wake wa pekee ni Constance Francesca Hilton, ambaye alimzaa na tajiri wa mahoteli Conrad Hilton. Alizaliwa mwaka 1947.
Mamake wakati mmoja inadaiwa alimwambia: "Si lazima umuoe mwanamume yeyote unayefanya mapenzi naye."
Gabor alisema alikuwa anaoa kwa sababu hakuwahi "kuacha kuwa Mkatoliki moyoni."
Kwenye kitabu chake kuhusu maisha yake alichokiandika mwaka 1993 kwa jina "One Lifetime is Not Enough", alidai kwamba alibikiriwa na Kemal Ataturk, mwanzilishi wa taifa la sasa la Uturuki, alipokuwa na miaka 15.
Alieleza kwamba alikuwa pia na uhusiano na nyota wa filamu za James Bond Sean Connery na Frank Sinatra, kando na msururu wa wanaume alioolewa nao.
Alidai kwamba aliwakataa John F. Kennedy na Elvis Presley.

Maajabu ya ziwa natron

TANZANIA NA MAAJABU YAKE
Ni kweli usiopingika kuwa mazingira yetu yana mambo mengi ya kustaajabisha na kuvutia, kwa siku chache zilizopita nilielezea kuhusu uwepo wa ziwa lenye rangi ya pinki ambalo linapatikana Bara la Australia, kwa mshangao wa ajabu kabisa nikaja kugundua kuwa hata hapa Afrika yapo maziwa yenye rangi kama hiyo hasahasa la kule Senegal ambapo watu wake wanalitumia kuvuna chumvi kwa wingi sana.
Back to Tanzania nimekutana na hii habari ya ziwa lenyewe lina rangi nyekundu kama damu,
Hili ni ziwa Natron lenye joto linalofikiwa kuwa digrii 60 za sentigredi na uwepo wa chumvi kali ya kufa mtu, linavutia sana na hata wakati mwingine unaweza kujisikia kutaka kuogelea ndani yake hasahasa kipindi ambacho unasikia joto la kufa mtu lakini watch out hapo si mahali pa mzaha hata kidogo na ndugu zetu wazungu wanamsemo usemao, " look, don't touch"
Rangi ya hili ziwa yamekuwa kivutio si tu kwa binadamu ila hata kwa wanyama mbalimbali, ila sasa cha kustaajabisha na kuogofya ni kuwa pale wanapothubutu kutia mdomo tu kuonja hayo maji hapo hapo wanageuka jiwe/kakamaa/kauka, jambo jema kabisa flamingo, algae na wakati mwingine hata samaki wenyewe hawadhuriki na kiasi kikubwa cha alkaline ipatikanayo katika hili ziwa ndio kwanza wanalitumia kwa ajili ya kuzaliana (breeding zone)
kijana wa kimasai akiwa ndani ya ziwa natron, mcheki amefunika pua kwa sababu ya harufu nzito ya magadi itokayo ndani ya hili ziwa
ziwa Natron
mfano wa ndege aliyekakamaa uonyeshao madhara ya kusogelea hili ziwa, kuna kitu kinaitwa bizzare phenomena ndicho huelezea kwa usahihi madhara ya kuthubutu sogelea hili ziwa
wengi tutajiuliza ni kitu gani hupelekea viumbe vinavyothubutu kusogelea hili ziwa kukakamaa au kuwa kama majiwe, sababu ni kuwa hili ziwa linakiasi kikubwa cha alkaline, na kaustic soda/ magadi ambacho huingia ndani ya mwili wa hicho kiumbe na kupelekea kufa na kukakamaa kabisa
Kweli nimeamini tembea uone, huo ndio uzuri wa Tanzania na maajabu yake,asante kwa kuendelea kutembelea blogu hiiusiache kutembelea kwani kwa siku za mbeleni nitakwenda kuelezea sayansi iliyo nyuma ya uwepo wa rangi nyekundu katika hili ziwa.

Sunday, December 18, 2016

God Loves to Work in Our Weakness






God Loves to Work in Our Weakness

Although I ended cancer treatment in March, I am still very tired and limited in what I can accomplish as a full-time professor and in my many relationships with friends, relatives, and neighbors.
My experience of weakness has been admittedly frustrating at times, but it has also been, by God’s good and gracious design, very beneficial for me and others. God is pleased to use our various kinds of weakness and limitation to remind us of important truths and refine our trust in him.

1. Weakness reminds us that our very life depends on God.

Weakness reminds us that our lives are but a vapor, that all flesh is like grass. We are reminded that God provides each and every breath to our lungs and beat of the heart. He has numbered our days (Job 14:5; Psalm 139:16). He is the Creator who upholds all things, even our puny little magnificent lives, by the word of his power (Hebrews 1:3). We cannot take for granted even the mere fact of our lives.
This reminder bears the fruit of gratitude and humility.
Too often, when things are going well, we are tempted to forget how dependent we are upon God for anything and everything (Deuteronomy 6:10–12). Savings accounts, good salaries, ministry success, healthy bodies, or a charming personality can become the horses and chariots in which we put our trust (Psalm 20:7). When our weakness reminds us that we depend on God and his providence for life and breath, we find joy simply in knowing that we live by his good pleasure.

2. Weakness reminds us that God will give us new bodies.

Our aches and pains and inabilities point us to our future perfected body and soul. Feeling like you have one foot in the grave reminds you that you have one foot, already, in glory. Our longing for the resurrection is increased by weakness.
As J.I. Packer writes, “Our new body . . . will match and perfectly express our perfected new heart, that is, our renewed moral and spiritual nature and character.” Our present weakness increases our yearning for the day when Christ gives us a new body that “will never deteriorate, but will keep its newness for all eternity.” The Christian hope, says Packer, “is understood not in the weak sense of optimistic whistling in the dark, but in the strong sense of certainty about what is coming because God himself has promised it.”
This reminder bears the fruit of hopefulness and endurance in faith.
Romans 5:1–5 says those who have learned to rejoice in their sufferings will endure through trials, trusting God and growing in Christlikeness. That is because they look back to God’s reconciling mercy at the cross and forward to their full and final deliverance at Christ’s return. Romans 8:25 says that those who hope for the setting right of all creation, by the Spirit at work in them, wait for that inheritance with patience.

3. Weakness reminds us that we deserve wrath, but receive grace.

All of creation, ourselves included, suffers corruption, pain, and weakness because of the sin of our first parents (Romans 8:18–21). And each of us individually has earned the just wrath of God for our own multitude of sins (Romans 3:23), let alone a little suffering in this life. We don’t deserve a weight of glory (2 Corinthians 4:17), but a weight of wrath.
Yet this world and our lives abound with so many good gifts from God. And we Christians have the best gift, Christ, who is our life and our eternal treasure. We have been spared God’s righteous wrath, redeemed, forgiven by God, reconciled to him, justified, adopted into his family. What mercy!
This reminder bears the fruit of sympathy and kindness.
The weak, being reminded of God’s tender mercy and forbearance toward them, are assisted by the Spirit to better embody Ephesians 4:32–5:2: “Be kind to one another, tenderhearted, forgiving one another, as God in Christ forgave you. Therefore, be imitators of God, as beloved children. And walk in love, as Christ loved us and gave himself up for us, a fragrant offering and sacrifice to God.”

4. Weakness refines our trust in God’s wise and loving providence.

We learn obedience to God as we experience that nothing can separate us from his Spirit. God never leaves us nor forsakes us (Joshua 1:9; Hebrews 13:5), no matter how difficult things become. We learn that he knows exactly what he is doing at all times, what he is up to through our trials, even when we can’t comprehend it.
So we grumble a little less about our given lot. We learn a bit more consistency in submission to our Savior and Lord, no matter what he brings our way. Our stiff necks grow a bit more flexible. We grow in the grace and knowledge of the Lord (2 Peter 3:18).
In Finishing Our Course with Joy, Packer defines spiritual maturity like this: “Spiritual maturity is a deep, well-tested relationship to our triune God through our Lord Jesus Christ, and a quality of relationship with both believers and unbelievers that embraces concern, sympathy, warmth, care, wisdom, insight, discernment, and understanding.”
This lesson bears the fruit of neither thinking more highly, nor less, of others than we ought.
There are various kinds of weak believers: the sick, disabled, elderly, poor, those not intellectually gifted, those with unimpressive occupations, the socially marginalized (to whom little opportunity is given and from whom little is expected). Some of the most sympathetic, caring, and wise people I have been privileged to meet and know fit one or more of those descriptions. Their relationship with God has been tested and their character refined.
Our weakness reminds us that the marks of spiritual maturity are not the abilities lauded by the world, like productivity or being a great public speaker. God chooses what is foolish in the world to shame the wise, and what is weak to shame the strong (1 Corinthians 1:27). So let us move toward such people not merely to serve them but to learn from them. Study God at work in their lives. Look through their limitations to Christ inside. Listen to them gladly testify to God’s goodness, grace, and glory.

The Weak Will Conquer the World

All throughout the Bible, we see that God loves to draw attention to himself and grow the trust of his people by working despite and through their weaknesses and limitations. Consider barren Sarah and Rachel, bumbling Moses, Gideon’s small band, the young virgin Mary, and blue-collar Peter, among others. Jesus himself, the Lamb who was slain, ultimately demonstrates that it is meek sheep who conquer and win the world.
The great — and ironic — wisdom of the cross is that God chooses the foolish, weak, low, and despised to shame the strong and shut the mouths of the proud. God uses our weaknesses to remind us of important gospel truths and to refine our trust in him.

I am Better Because I was Worse



Image result for happy pictureHe was diagnosed with Tuberculosis of the lung at a young age. Bed ridden, all he could do was imagine what could have been. The business man he could have become, the government official or maybe the preacher. He knew family members from his mother's side had died of Tuberculosis. It ran in the family. And so he lay there waiting to die. His parents, being believers, sent out to all the pastors and ministers they could lay their hands on. One by one, the pastors came, but their prayers could not heal the young lad. Some of the ministers started saying perhaps it was God's will that the boy stayed sick. That maybe God put tuberculosis on the young boy. Imagine!
Thank God for Godly Mothers
The young man is Oral Roberts.  His mother continually told him that God would heal him. She said that sickness was of the devil. That if God wants to use a man, the devil will try to oppress the spirit out of that man early. That he was bedridden could be the very fact that God would use him mightily. Don't you thank God for the words and encouragement of mothers? Later, he was driven to a crusade where God healed him. Oral went on to preach the gospel to millions through out his lifetime, and he is still preaching today through his books and sermons. He became obsessed with bringing healing to many  partly because he knew personally, that it was the devil that bound people with sickness. And that God's work is to heal and deliver. God was doing something, when he allowed little Oral go through that deadly bout of Tuberculosis.
God has work for you
Perhaps you can see yourself in Oral's story. You can remember when the devil almost had you defeated. When he almost stifled the very life out of you. But look at you today. Still standing tall. You are saying: Satan you could have gotten me when you had your chance back then. When I was in the clubs. When I was gang banging. When I was out there ignorant of God's saving grace. But I am saved now so you have nothing on me anymore. Everything you made me go through, my past failures and deficiencies, have served as a launching pad to the ministry God has in store for me. Today I work with Jesus Christ and it does not get better than that. I am better because I was worse.
How God anointed Jesus of Nazareth with the Holy Ghost and with power: who went about doing good, and healing all that were oppressed of the devil; for God was with him. - Acts 10:38
  I trust you've been inspired by this. Please pay forward by sharing with your family and friends using the links below

Mugabe kuwania uraisi 2018

Chama tawala cha Zimbabwe kimethibitisha kuwa rais Robert Mugabe ndiye mgombea wake wa uchaguzi wa 2018.
Bw Mugabe ambaye ana umri wa miaka 92 amekuwa madarakani tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake kutoka kwa Uingereza mwaka 1980.
Katika mkutano wa chama hicho, idara ya vijana ya Zanu-PF ilitangaza kuwa Mugabe anafaa kuwa raia wa maisha .
Hatahivyo kumekuwa na maadamano mwaka huu dhidi ya uongozi wa kiongozi huyo pamoja na hali mbaya ya kiuchumi inayokumba taifa hilo.
Chama cha Zanu-PF pia kimekabiliwa na makabiliano ya wenyewe kwa wenyewe huku makundi hasimu yakipigania kumrithi rais Mugabe wakati atakapoondoka afisini.
Wafuasi wake waliimba tongai, tongai, tongai baba wakimaanisha endelea kuongoza baba huku mkutano wa chama hicho ukimchagua Mugabe kuwa mgombea wake wa urais katika mji wa kusini mashariki wa Masvingo.

From Glory to glory

Perfection.
Most of us understand the concept but have a hard time envisioning anything truly perfect. Everything in our earthly experience is flawed, imperfect.
And for those who know and love the Lord, the imperfections we are most deeply aware of often tend to be our own. I’m not speaking of the frailties of our bodies—though we feel those all too well. But the imperfections that trouble us most are not that superficial. The real problem is a sinfulness that comes straight from the heart (cf. Mark 7:21-23 ).
Of course, we have a tendency to be more tolerant of our own imperfections than of the failings of others. We try to cover for ourselves, but in our hearts we know all too well that we are woefully and sinfully imperfect. What Christian cannot echo the sentiment Paul expresses in Romans 7:24 : “Wretched man that I am! Who will deliver me from this body of death?”
We’re not alone in this. The entire universe suffers the effects of human sin. Paul also writes, “We know that the whole creation has been groaning together in the pains of childbirth until now” (Romans 8:22 ). That’s why all we can know on earth is imperfection. All creation agonizes under the cruel effect of sin’s curse, waiting for the consummation of all things, when the curse will be finally removed.
At that time, everything will be perfect. Pain, sorrow, and the groaning of creation will finally be no more. “The ransomed of the Lord shall return and come to Zion with singing; everlasting joy shall be upon their heads; they shall obtain gladness and joy, and sorrow and sighing shall flee away” ( Isaiah 35:10 ).
Not only that, but we shall be gloriously perfected. The whole person—body and soul—will be made completely new, flawless. As the apostle John wrote, “Beloved, we are God’s children now, and what we will be has not yet appeared; but we know that when he appears we shall be like him, because we shall see him as he is” ( 1 John 3:2 ).
We can’t envision it now—“what we will be has not yet appeared”—but we will finally be wholly and completely Christlike. This is the very purpose for which God chose us in eternity past: “to be conformed to the image of his Son, in order that he might be the firstborn among many brothers” (Romans 8:29 ). “He chose us in him before the foundation of the world, that we should be holy and blameless before him” ( Ephesians 1:4 ). He has already begun this good work in us, and he will faithfully “bring it to completion at the day of Jesus Christ” ( Philippians 1:6 ). And when we see Christ, we will instantly and summarily be made utterly perfect, because we shall see him as he is.
Heaven is a perfect place for people made perfect. Perfection is the goal of God’s sanctifying work in us. He’s not merely making us better than we are; he is conforming us to the image of his Son. He is making us fit to dwell in his presence forever. The utter perfection of heaven is the consummation of our salvation. It is the purpose for which he chose us before the foundation of the world.
Changed from the Inside Out
God begins the process of perfecting us from the moment we are converted from unbelief to faith in Christ. The Holy Spirit regenerates us. He gives us a new heart with a new set of holy desires (Ezekiel 36:26 ). He transforms our stubborn wills. He opens our hearts to embrace the truth rather than reject it. He enables us to believe rather than doubt. He gives us a hunger for righteousness and a desire for him. And thus the new birth transforms the inner person. From that point on, everything that occurs in our lives—good or bad—God uses to make us like Christ ( Romans 8:28-30 ).
In terms of our moral and legal status, believers are judged perfect immediately—not on the basis of who we are or what we have done, but because of what Christ has done for us. We are fully justified the moment we believe. We are forgiven of all our sin. We are clothed with a perfect righteousness (Isaiah 61:10 ; Romans 4:5 ), which instantly gives us a standing before God without any fear of condemnation (Romans 5:1 ; Romans 8:1 ). This is the great position of privilege Scripture refers to when it says God has “blessed us in Christ with every spiritual blessing in the heavenly places” ( Ephesians 1:3 ). And when Paul writes that God has “raised us up with him and seated us with him in the heavenly places in Christ Jesus” (Ephesians 2:6 ), he is again speaking of this position of favor with God that we have been granted by grace alone. We are not literally, physically seated with Christ in the heavenlies, of course. We are not mystically present there through some kind of spiritual telepathy. But legally, in the eternal court of God, we have been granted full rights to heaven. That is the high legal standing we enjoy even now.
But God does not stop there. Having judicially declared us righteous (Scripture calls that
justification) God never stops conforming us to the image of his Son (that is
sanctification). Although our legal standing is already perfect, God is also making us perfect. Heaven is a place of perfect holiness, and we would not be fit to live there unless we too could be made holy. In a sense, then, the blessing of justification is God’s guarantee that he will ultimately conform us to the image of his Son. “Those whom he justified he also glorified” ( Romans 8:30 ).
The seeds of Christlikeness are planted at the moment of conversion. Colossians 2:9-10 says that in Christ “the whole fullness of deity dwells bodily, and you have been filled in him”—filled up with all the fullness of God. Peter adds that believers have been granted “all things that pertain to life and godliness” (2 Peter 1:3 ). If you are a Christian, the life of God dwells in your soul, and with it all that you need for heaven. The principle of eternal life is already in you, meaning you have title to heaven as a present possession. You have already passed from death to life ( John 5:24 ). You are a new person (2 Corinthians 5:17 ). Whereas you were once enslaved to sin, you have now become a slave of righteousness ( Romans 6:18 ). Instead of receiving the wages of sin—death—you have received God’s gift of eternal life ( Romans 6:23 ). And eternal life means abundant life (John 10:10 ). It is like an artesian well of spiritual power within us, satisfying and enabling us to live the life we are called to (John 7:38 ). That is what Paul means when he writes, “If anyone is in Christ, he is a new creation. The old has passed away; behold, the new has come” (2 Corinthians 5:17 ).
Now let’s be honest. Even for the most committed Christian, it doesn’t always seem like “the new has come.” We don’t always feel like a “new creation.” Usually we are more keenly aware of the sin that oozes from within us than we are of the rivers of living water Christ spoke of. Although we “have the firstfruits of the Spirit, [we] groan inwardly as we wait eagerly for adoption as sons, the redemption of our bodies” ( Romans 8:23 ). And we groan this way all our lives. Remember that it was a mature apostle, not a fragile new Christian, who cried out in Romans 7:24 , “Wretched man that I am! Who will deliver me from this body of death?”
Here’s the problem: Like Lazarus, we came forth from the grave still bound in grave clothes. We are incarcerated in human flesh. “Flesh” in the biblical sense refers not just to the physical body, but to the sinful thoughts and habits that remain with us until our bodies are finally glorified. When Paul speaks of “flesh” and “spirit” he is not contrasting the material body and the immaterial spirit—setting up a kind of dualism, the way gnostic and New Age doctrines do. He uses the word
flesh to speak of a tendency to sin—a sin principle—that remains even in the redeemed person.
Paul clearly spells out the problem from his own experience in Romans 7 . Here Paul writes,
For I do not understand my own actions. For I do not do what I want, but I do the very thing I hate. Now if I do what I do not want, I agree with the law, that it is good. So now it is no longer I who do it, but sin that dwells within me. For I know that nothing good dwells in me, that is, in my flesh. For I have the desire to do what is right, but not the ability to carry it out. For I do not do the good I want, but the evil I do not want is what I keep on doing. Now if I do what I do not want, it is no longer I who do it, but sin that dwells within me. So I find it to be a law that when I want to do right, evil lies close at hand. (Romans 7:15-21 )
If you are struggling to understand how the apostle Paul employs the term flesh, this last phrase can virtually be taken as his definition: The flesh is “a law that when I want to do right, evil lies close at hand” (Romans 7:21 ). Paul goes on to say that this law is embedded in him—“in my members” (Romans 7:23 ), “waging war against” his desire to obey the righteousness of the law, thus “making me captive to the law of sin that dwells in my members.” That indwelling principle of sin includes all the wicked habits and thought patterns that we acquired in our lives before being born again. These fleshly influences have yet to be done away with, and we are severely troubled by them all our lives. Christians spend their lives mortifying the deeds of the flesh ( Romans 8:13 ), but the sin principle will never be fully eliminated until we are glorified.
As believers we are new creatures—reborn souls—vested with everything necessary for life and godliness, but we cannot appreciate fully the newness of our position in Christ because of the persisting presence of sin in us.
Like Paul, we “delight in the law of God, in [our] inner being” ( Romans 7:22 ). Only the principle of eternal life in us can explain such love for the law of God. But at the same time, the flesh constricts and fetters us, like tightly-bound grave clothes on someone just up out of the grave. This flesh principle is at war against the principle of new life in Christ. So we feel like captives to the law of sin in our own members (Romans 7:23 ).
How can this be? After all, Paul earlier wrote in this very epistle that our bondage to sin is broken. We are supposed to “have been set free from sin” ( Romans 6:22 ). How is it that just one scant chapter later, he says we are “captive to the law of sin that dwells in my members” (Romans 7:23 )?
But being a captive is not quite the same thing as being enslaved. As unredeemed sinners, we were full-time slaves of sin—willing servants, in fact. As Christians who are not yet glorified, we are “captives,” unwilling prisoners of an already-defeated enemy. Although sin can buffet and abuse us, it does not own us, and it cannot ultimately destroy us. Sin’s authority and dominion are broken. It “lies close at hand” in the believer’s life (Romans 7:21 ), but it is no longer our master. Our real allegiance is now to the principle of righteousness ( Romans 7:22 ). It is in this sense that “the new has come” ( 2 Corinthians 5:17 ). Even though we still fall into old patterns of sinful thinking and behavior, those things no longer define who we are. Sin is now an anomaly and an intruder, not the sum and substance of our character.
God is changing us from the inside out. He has planted the incorruptible seed of eternal life deep in the believer’s soul. We have a new desire and a new power to please God. We have a new heart and a whole new love for God. And all those are factors that contribute to our ultimate growth in grace.
Paul makes a fascinating point about the inside-out transformation of believers. In 2 Corinthians 3:1-24 , he contrasts the effects of our salvation with what happened to Moses when he encountered God’s glory on Sinai. Remember that when Moses came down from the mountain after the giving of the law, the glow on his face was so terrifying that he had to put a veil over his face ( Exodus 34:29-33 ). Yet that was a relatively weak and diminishing glory ( 2 Corinthians 3:7 ). It was also a reflected glory.
In contrast, “the glory which shall be revealed in us” (Romans 8:18 ) is an ever-growing glory that is not reflected, but comes straight from within. Paul writes, “We all, with unveiled face, beholding the glory of the Lord, are being transformed into the same image from one degree of glory to another. For this comes from the Lord who is the Spirit” ( 2 Corinthians 3:18 ). In other words, the indwelling Spirit of God personally conveys us from one level of glory to another.
The Greek word translated “beholding” means “looking at a reflection.” In the familiar King James Version, it says “beholding as in a glass” (or “mirror”). Unlike the Israelites, we require no veil to shield us from the reflection of glory. (“Not like Moses, who would put a veil over his face so that the Israelites might not gaze at the outcome of what was being brought to an end”— 2 Corinthians 3:13 .) We get a full-on look at undiluted glory: “God, who said, ‘Let light shine out of darkness,’ has shone in our hearts to give the light of the knowledge of the glory of God in the face of Jesus Christ” ( 2 Corinthians 4:6 ).
We don’t literally look directly at the face of Christ, of course. The glory we see is a reflection of “Christ in [us], the hope of glory” ( Colossians 1:27 ). As we fix our hearts and aspirations on his glory, the glow of Christlikeness grows brighter in us. One day we shall see literally him—not merely as a dim reflection. We will stand bodily in his presence: “For now we see in a mirror dimly, but then face to face” (1 Corinthians 13:12 ). And with one face-to-face glance at the person of Christ, we will be instantly transformed into his likeness. “We shall be like him, because we shall see him as he is” (1 John 3:2 ).
Meanwhile, his glory is transforming us from the inside out. That’s why (unlike the reflected glow on Moses’ face) the glory doesn’t fade; it grows “from one degree of glory to another.”
Although sin has crippled our souls and marred our spirits—though it has scarred our thoughts, wills, and emotions—we who know Christ have already had a taste of redemption. As we set our hearts on heaven and mortify the remaining sin in our members, we can experience the transforming power of Christ’s glory on a daily basis. And we long for that day when we will be completely redeemed. We yearn to reach that place where the seed of perfection that has been planted within us will bloom into fullness and we will be completely redeemed, finally made perfect (Hebrews 12:13 ). That is exactly what heaven is all about.

Saturday, December 17, 2016

Ijue christmass na upagani


***neno lenye mguso***
�� Maelfu ya watu duniani leo wanaamini X-MASS ni
sikukuu ya kuzaliwa_kwa_YESU japo wachache
hawaamini.

������..Makundi haya mawili ; moja litakuwa SAHIHI, maana neno la Mungu halijipingi.

������ Hebu tuiulize BIBLIA itusaidie majibu ya waziwazi
bila KUPINDISHA_maneno.

�� Tuangalie X-mass
(A) KATIKA BIBLIA AGANO JIPYA.
(B) NA JINSI INAVYOHUSIANA NA:

����>NIMRODI (mungu jua)

����> TAMUZI (mungu mwana wa jua)

����>SEMERAMIS (mungu mke-marikia wa
mbinguni);

����> Kuwafungulia wafungwa.

��(A) TUANZE_NA_AGANO_JIPYA.��

������**LUKA 1:26-31
MWEZI_WA_SITA (6) malaika Gabrieli
alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa
Galilaya, jina lake Nazareti,
kwa mwanamwali bikira ......
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu,....
Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita YESU.

����>>Tumeona tangazo la Maria kubeba mimba ya
Yesu likitolewa mwezi wa sita ;
Iweje kufika mwezi wa 12. Awe kazaliwa !!!?

��SWALI :
Je; Yesu alizaliwa NJITI (kabla ya miezi
9)?

��JIBU:
LUKA 2:6,7.
"…siku zake za kuzaa ZIKATIMIA .
..akamzaa..."

��>>Tumeona kumbe siku za mwanadamu kuzaa
(miezi 9) zilitimia .
...Hakika Tangu Kitabu cha
Mwanzo mpaka ufunuo hakuna ushahidi wa X-
MASS (25.desember) kuwa Sikukuu_ya_LUZALIWA_YESU.

�� Yesu alikaa na mitume na wanafunzi wake kwa
zaidi ya miaka mitatu; lakini Muda huo wate
hawakuwahi kumwona/kumsikia akiwahimiza
WASHEREHEKEE_SIKUKUU_YA_KUZALIWA_KWAKE
kwa kutenga tarehe yoyote ile.
...wala wanafunzi
hawakuwahi kuulizia tarehe ya yeye kuzaliwa.

�� Hata baada ya kupaa kwake mitume
hawakutenga siku yoyote.

��>SWALI:
*KWANINI YESU HAKUWAPA_WAAMINI WA
KWANZA TAREHE YAKE YA KUZALIWA NA
KUWAHIMIZA WAISHEREHEKEE??

��>JIBU:
Hii ni dhahili kuwa Yesu hakuona umuhimu wa
watu kusherehekea kuzaliwa kwake maramoja
kwa mwaka.
Kutokana na umuhimu wa YESU ndani ya maisha
ya watu;

Aliwataka wafungue mioyo yao AZALIWE_NDANI_YAO KILA SEKUNDE, Ilikubadirisha Maisha yao
sikukwasiku ,hivyo sherehe ya kuzaliwa Yesu
haina ukomo na inafanyika ndani ya MIOYO
WAMTUMAINIO Kila sekunde; wanaitikia kuzaliwa
Huko Kwa kuacha maovu kila siku.

��>JE; KUNA SHEREHE_YOYOTE AMBAYO
YESU _ALIWAAGIZA_WAIFANYE KAMA
KUMBUKUMBU YA KILE KILICHOMFANYA
AZALIWE KUISHI KUFA NA KUFUFUKA?

��>JIBU:
Walipewa PASAKA (passover) na siyo Easter

���� Utaratbu_wa_PASAKA_NI_HUU:

YOHANA 13:9-15
..Basi alipokwisha kuwatawadha miguu, na
kuyatwaa mavazi yake, na kuketi tena,
akawaambia, Je! Mmeelewa na hayo
niliyowatendea?
Basi ikiwa mimi, niliye Bwana na Mwalimu,
nimewatawadha miguu, imewapasa vivyo
KUTAWADHANA miguu ninyi kwa ninyi.
..Kwa kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi
nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.

������Mitume wanaendeleza PASAKA kama agizo la
Yesu. siyo X-MASS wala EASTER ifanyikayo
mwezi March au April (zote za kipagani)

������1WAKORINTHO 11:24-26
..naye akiisha kushukuru akaumega, akasema,
Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni
hivi kwa UKUMBUSHO_wangu.
..Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe,
akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu
yangu; fanyeni hivi kila mnywapo, kwa
UKUMBUSHO_wangu.
..Maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea
kikombe hiki, MWAITANGAZA_Mauti ya Bwana
hata_AJAPO .

������Tumeona tukio lipaswalofanywa kama
kumbukumbu ya kile kilichofanya Yesu azaliwe na
kufa.
>> Pia tumeona utaratibu wa kuendesha PASAKA
(MEZA YA BWANA) na hatupaswi kiuka huo
utaratibu wa:

����>Kuoshana miguu waamini wote (wanawake
kivyao) kama ishara ya unyenyekevu.
����>Kula mkate; waamini wote ;
����>Kunywa divai isiyo na chachu; waamini wote.
*******************

(B) ♦FAMILIA_YA _NIMRODI (mungu jua) KIINI
CHRISTMASS:♦

....Baada ya kuona Yesu mwenyewe na biblia ktk
agano jipya ikiikana_CHRISTMASS (Dese.25)
kuwa siyo SIKUKUU ya kuzaliwa YESU.

������Tuangalie
chanzo_chake kwa Uthibitisho wa BIBLIA

⚫HISTORIA YA NIMRODI⚫

Mwanzo 10:8-12.
Kushi akamzaa...  NIMRODI_akaanza kuwa
mtu HODARI_katika_nchi.
Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za
BWANA. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi,
hodari wa kuwinda.....
Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa BABELI
(machafuko) na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika
nchi ya Shinari.
.....akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;
na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji
mkubwa.

������Tumeona alivyoishangaza dunia ya kipindi
chake kwa uhodari wake hadi wakamdhania
anatenda mbele za Mungu ; yani uhodari wake
siyo wa Kawaida .
Ana miji mingi na mikubwaa pamoja na Babeli
(machafuko).

Katika fungu hapa chini tutauona mwanzo wa
upagani_wake; Mana alisimamia ujenzi wa
MNARA_mrefu_WA_BABELI ; ili wamfikie Mungu
mbinguni; marabaada ya garika .
Hivyo Akajiinua awe sawa na
MUNGU.
.Huu ulikuwa UASI MKUU na upagani Kinyume na
NENO LA MUNGU ( "Tawanyikeni usoni pa nchi")

������**MWANZO 11:4-9.
Wakasema, Haya, na tujijengee_mji, na
MNARA, na kilele chake #kifike_MBINGUNI ,
tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika_usoni pa
nchi yote.

BWANA akashuka ili auone MNARA na mji
waliokuwa WAKIUJENGA wanadamu.

BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa
moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo
wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa
neno wanalokusudia kulifanya."

������ Kwa ufupi Nemrodi ni kitukuu cha Nuhu
kilichozaliwa baada ya
Gharika_Kinatoka_ukoo_wa_HAMU mwana wa mwisho wa NUHU ambae
uzao wake ULILAANIWA kwa Kosa lake (Hamu)
kuuona Uchi wa NUHU na kucheka....
NIMRODI_ktk_ufalme_wake alifanya makuu mpaka
akaanza kuabudiwa kama_mungu

; Alikuwa na mke aliyeitwa SEMERAMIS nae
akahesabiwa kama mungu mke.
Baada ya kifo cha Nimrodi akimwacha mkewe
mjane anaeheshimiwa kama mungu Mke;

SEMERAMIS alipata mimba ktk Ujane wake;
chakushangaza alipoulizwa Akasema ;
Mimba ile ni ya NIMRODI; akiwambia kuwa
Nimrodi alipokufa alikwenda kwenye JUA hivyo
HUWA ANAKUJA Kumtembelea kwa mionzi na ndiye kampa
mimba ile.

Watu walimwamini japo ukweli ni kuwa mtoto
kwa jina TAMUZ_aliyezaliwa 25. DESEMBER.
alikuwa wa UZINZI .

>>Hivyo Nimrodi akaendelea kuwa mungu jua ; na
akiabudiwa kila JUMAPILI.

>>Semeramis akaendelea kuwa mungu mke
marikia wa mbinguni.

>> TAMUZ akawa mwana wa mungu Jua.
Akisherehekewa kuzaliwa kwake kila mwaka; 25.
DESEMBER.

��CHRISTMAS_SHEREHE
YAKUZALIWA_TAMUZ��:
____________________________

. Baada ya X-mass kuanzia BABELI upaganini
iliendelezwa na Wapagani wa Kirumi.

Mbali na kusherehekea kuzaliwa kwa TAMUZ
ndani ya sikukuu hii;baadhi ya wafungwa
walikuwa wakiachiwa huru.

������**YEREMI 52:31,33.
Hata ikawa, katika mwaka wa thelathini na
saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini, mfalme
wa Yuda, katika MWEZI WA ....12....SIKU ya
..25.ya mwezi, Evil-merodaki, mfalme wa Babeli,
katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake,
akamwinua kichwa chake Yehoyakini, mfalme wa
Yuda, akamtoa gerezani.

�� Baadae kulitokea mapatano kati ya DINI TAIFA
LA RUMI YA KIPAGANI na KANISA la kipindi cha
kushamili kwa UPAPA.

...mambo ya KIPAGANI_yakavishwa vazi la KIKRISTO ili waumini
wasiyastukie vizazi na vizazi.

Kisha YAKAINGIZWA
kanisani.
Chini ya ungozi wa UPAPA yakisimamiwa na
Joka la zamani, yule Baba wa uongo na Mpinga neno la
Mungu tangu zamani.

����*AYA_NI_BAADHI TU YA MAMBO YA KIPAGANI_YALIYOVISHWA_UKRISTO

����01: Sherehe ya #kuzaliwa_TAMUZ .mungu mwana
wa mungu jua yani 25.Desember.
��>Ikavikwa jina la Kuzaliwa YESU KRISTO.

����02: Siku za kufunga wakimlilia TAMUZ baada ya
kifo chake.
��>Zikavikwa jina la mfungo wa KWALEZIMA (siku
40) kabla ya ijumaa kuu.

����03: Siku ya kumwabudu mungu jua (Nimrodi)
yani Jumapili .
��>Ikavikwa Jina la Siku ya BWANA, siku ya
ufufuko wa Yesu.

����04: mungu mke yaani Semeramis malikia wa
mfalme Nimrodi, mama wa mungu mwana
(TAMUZ)
��Akavikwa jina la BIKIRA_MARIA ,malikia wa
Mbinguni mama wa Mungu.

����05: EASTER. Pia ni sikukuu ya Kipagani; amboyo
makanisa mengi uifanya leo katika mwezi wa
TATU au WANNE.
��ikavikwa jina la PASAKA aliyoifanya Yesu
kabla ya kifo chake.

������ TAZAMA_MACHUKIZO:
**EZEKIELI 8:14-16.
"..Ndipo akanileta mpaka mlango wa kuingilia
katika nyumba ya BWANA,...na tazama, wanawake (KIUNABII NI
MAKANISA) wameketi WAKIMLILIA_TAMUZI.
..Akaniambia,...
Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.

.. Akanileta mpaka ua wa ndani wa nyumba ya
BWANA, na tazama, mlangoni pa hekalu la
BWANA, kati ya ukumbi na madhabahu,
walikuwako watu kama ishirini na watano,
wamelipa_kisogo_hekalu_la_BWANA (wameziacha
kweli za biblia kwa kutanguliza mapokeo ya
kibinadamu)
na nyuso zao zimeelekea upande wa
mashariki, nao #WANALIABUDU_JUA,...."

��**KWANINI WATU_WANADANGANYWA??

����i/- VIONGOZI WA DINI.
wameshiriki kupotosha
kweli za neno la Mungu kwa. Maslahi binafsi
tangu zamani. Hata YESU algombana nao sana.
MATHAYO 15:
".. Mbona wanafunzi wako huyahalifu MAPOKEO_ya_wazee, kwa maana hawanawi mikono walapo
chakula.
..Akajibu,.. Mbona ninyi nanyi
huihalifu AMRI_ya_Mungu kwa ajili ya MAPOKEO_yenu?

����ii/- Kutozingatia neno la Mungu kwa kulichunguza
sisi wenyewe, Kisha kuamini kila WAFUNDISHALO_Viongozi.

������2.TIMOTHEO 4:3-6
".. Maana utakuja wakati Watakapoyakataa_mafundisho yenye UZIMA ila kwa kuzifuata nia
zao wenyewe watajipatia waalimu makundi
makundi,...
nao watajiepusha wasisikie_yaliyo_kweli, na
kuzigeukia hadithi_za_UONGO.

����iii/- #MAWAKALA_WA_Shetani wamejivika dini
wakijiita Manabii na mitume.

2.WAKORINTH 11:13-15.
"..watu kama hao ni mitume_wa_UONGO,
watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe
mfano wa mitume wa Kristo.
.. Wala si ajabu. Maana SHETANI_Mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa NURU

..Basi si neno kubwa watumishi wake nao
KUJIGEUZA_wawe_mfano wa watumishi wa haki,
ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi
zao.

����iv/-MANABII_WA_UONGO
wameibuka na
Kuaminiwa maana wanapenda kuhubiri
yanayowapendeza wasikilizaji ili wajipatie FAIDA

������2PETRO 2:1-2.
1 Lakini kuliondokea manabii wa MANABII katika
wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako
waalimu_wa_UONGO, watakaoingiza kwa werevu
uzushi_wa_KUPOTEZA...."
2 Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao
njia ya kweli(YESU) itatukanwa.
..Na katika kutamani watajipatia faida kwenu
kwa maneno_YALIYOTUNGWA.

⌚**JINSI_YA KUHEPUKA_MAD_NGANYO**⌚

����..UFUNUO 1:3.
" Heri_asomaye na wao wayasikiao maneno ya
unabii huu, na. KUYASHIKA_yaliyoandikwa_humo;
kwa maana wakati u Karibu"

������..MATENDO 17:11
..Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale
wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno
kwa uelekevu wa moyo, WAKAYACHUNGUZA maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo
ndivyo yalivyo. karib "

��>nasi Tuyachunguze maandiko kuthibitisha kile
Viongozi wa dini wafundishacho
;Hatakama
wanafanya MIUJIZA_ya_KUKAUSHA_BAHARI;
tena Tuyachunguze kwa unyeyekevu mbele za
Mungu na kumwomba Roho. Atueleweshe na
Tuwe_tayari_kuyafuata.
*****************************
��>>Mungu_hajal_WENGI_WANAIFUATA X-MAS au
Fundisho lolote la UONGO; Bali anajali
WANAOLITII_NENO_LAKE.

Hebu tizama ,
...Kipindi cha Nuhu waliokoka. wanane(8) tu
watiifu kati ya Mamilioni,
(Mwanzo 7:13)
...Kipindi cha SODOMA walipona watatu_tu_watiifu kati ya MAELFU.
(Mwanzo 19:27)

��VYANZO ZAIDI VYA KUJUA UKWELI
WA #KRISMASI KIHISTORIA.

Na Jinsi ����#MTI_wa_KRISMASI #ULIVYOABUDIWA na kuwekwa ktk mahekalu ya KIPAGANI hata kabla ya Yesu kuzaliwa :
����
1:����Addison G. Wright, Roland E. Murphy, Joseph
A. Fitzmyer, “A History of Israel” in The Jerome
Biblical Commentary , (Prentice Hall: Englewood
Cliffs, NJ, 1990), p. 1247.
2:����The first mention of a Nativity feast appears
in the Philocalian calendar, a Roman document
from 354 CE, which lists December 25th as the
day of Jesus’ birth.
3:���� Increase Mather, A Testimony against Several
Prophane and Superstitious Customs, Now
Practiced by Some in New England (London,
1687), p. 35. See also Stephen Nissenbaum, The
Battle for Christmas: A Cultural History of
America’s Most Cherished Holiday, New York:
Vintage Books, 1997, p. 4.
4:����Nissenbaum, p. 3.
5:����David I. Kertzer, The Popes Against the Jews:
The Vatican’s Role in the Rise of Modern Anti-
Semitism , New York: Alfred A. Knopf, 2001, p. 74.
6:���� Kertzer, p. 33, 74-5.
7:����Clement Miles, Christmas Customs and
Traditions: Their History and Significance, New
York: Dover Publications, 1976, pp. 178, 263-271.
8:����Miles, p. 273.
9:����Miles, p. 274-5.
10:����Miles, pp.

Your valuable

"If people were made of fine china perhaps they would take far better care of themselves."
We are all just a stroke away from being in a nursing home. We talk about what we are going to do with our lives currently. But our lives will be shortened, our quality of life reduced, and our accomplishments lessened if we do not maintain a proper diet with exercise.
In a gym, resistance is used to make one stronger. In life, resistance holds one back. Channel it; work with it, and you can build a new you.
Why is it that people will often put forth more attention and care towards materialistic purchases rather than themselves?
Do we need to purchase a warranty for our bodies and minds so that we will truly take care of all facets of ourselves? We are taught to bring our vehicles in for oil changes and maintenance, to maintain our warranty; to maximize the life of our vehicles, our investment.
We research which oil is best for our engine. We place so much time cleaning, detailing, caring for that purchase. Even in some cases, a real love is placed towards it.
What about us?
Do we place that much care towards ourselves? Do we research or care about what we place in our own engines? Our bodies? Detail ourselves? Our minds?
People often become overweight, as they didn't get the love they so desperately needed as a child. They thought that there was something wrong with them because they didn't get the full attention from their parents.
So they punish themselves needlessly.
We purchase home or tenant insurance, and home security, as a protection from events out of our control. But the idea of going to a gym, buying a gym membership, or taking care of our own being, feels like a burden. Too high a price to pay. And yet we can control the outcome.
Where can I start the change in my life? It always begins with you.
We constantly see children who become lost adults whom never received the full attention they needed from their parents. By parental example, they think materialistic purchases are warranted and have real value and importance.
A father can labor over his prized vehicle. His time can be invested in restoring a vehicle; a vehicle that someone else designed, made, created. Maintaining his warranty to make him feel complete.
A mother perhaps has a wardrobe of shoes and purses that makes her feel good, although she is insecure. Perhaps their energies would be better directed at the children they made.
Often mothers can collect fine china and store them in valuable wall units to admire and only use on special events (again something that someone else made). It almost seems like we are taught that we aren't as important as something that someone else made or something that we pay for as a purchase.
We make our children. We need to detail them, nurture them. Praise them. To throttle into action, tender loving care for them.
This collectible, an elegant advertisement of you. Maintain ourselves and them. Maintain our children. Let us not void their human warranty.
In Canada, where I'm from, we have free health care. A wonderful service.Though sadly, we have far too many people abusing the system. Often they don't even really know they are.
They need the services of many individuals like administrators, nurses, doctors, and require surgeries. All housed within a hospital. The staggering cost is overwhelming. It is a real burden placed on tax payers. All of us. The people.
When you need the service (if you didn't die from a heart attack or stroke for example) some realize then, why didn't I take better care of myself? Take steps to protect myself? Create a healthy lifestyle (it is never too late to start). Why did I let it come to this?
What often surfaces during extreme acute health issues is a real fear for your own being; validation.
Often we need to purchase that automobile, that house, those clothes, allowing our minds to polish that beautiful lie fed to us by corporate-sponsored media.
Are we really taught how valuable we are? Us, just as we are?
Maybe we need to replace that precious fine china, in that special wall unit, with photographs of our children and admire them; this unmistakable labor of craftsmanship, these historic beings. Maybe we need to maintain them. Detail and polish them.
When china breaks, it is not fixable.
We as humans can repair our broken, splintered, sharded past, and truly become collectible.
Valuable.

Malecela, Afisa mkuu wa NIMR aliyetangaza kuna Zika Tanzania atumbuliwa

Mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu nchini Tanzania (NIMR), Dkt Mwele Malecela, ambaye alitangaza kugunduliwa kwa virusi vya Zika nchini Tanzania, amefutwa kazi.
Taarifa kutoka kwa mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu Gerson Msigwa inasema Rais wa John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi huyo mkuu.
Taarifa hiyo hata hivyo haijaeleza sababu ya kufutwa kazi kwa Dkt Malecela, siku moja tu baada yake kutangaza kwamba kuna virusi hiyo.
Hata hivyo, kulikuwa kumetokea habari za kukinzana kutoka kwake na wizara ya afya kuhusu kuwepo kwa virusi vya Zika nchini Tanzania.
Alitangaza kuwepo kwa virusi hivyo nchini Tanzania siku ya Alhamisi lakini Ijumaa, baada ya habari hizo kuenea kwenye vyombo vya habari, waziri wa afya Ummy Mwalimu akatoa taarifa kukanusha habari hizo.
Njia 10 za kujikinga dhidi ya virusi vya Zika
Dkt Malecela akithibitisha kupatikana kwa Zika Tanzania
"Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR atakayejaza nafasi iliyoachwa na Dkt Mwele Malecela utatangazwa baadaye," taarifa hiyo inasema.
Dkt Mwele Malecela alikuwa ametangaza kwamba virusi hivyo vimepatikana mkoani Morogoro, Mashariki mwa Tanzania na Mkoani Geita, kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Kwa mujibu wake, virusi hivyo viligunduliwa wakati wa utafiti uliofanyika kutokana na uhalisia kuwa kuna mazingira yanayowezesha kuzaliana kwa mbu wanaoeneza virusi hivyo.
Tanzania yapata maabara ya kipekee
Kati ya watu 533 waliopimwa wakati wa utafiti huo, asilimia 15.6 waligunduliwa kuwa na virusi vya Zika.
Hata hivyo wizara afya nchini humo, ilitoa taarifa ambapo inakanusha kuwepo kwa virusi hivyo.
"Kama nilivyoeleza mnamo Februari 2016, ugonjwa huu bado haujaingia nchini, na leo pia napenda kuwatoa hofu wananchi kuwa kwa sasa Tanzania haujathibitishwa kuwepo na ugonjwa wa Zika," taarifa ya wizara ya afya imesema.
Virusi hatari vya Zika vyafika Afrika
Wizara hiyo inasema uchunguzi uliofanywa na NIMR ulikuwa wa kuchunguza ubora wa kipimo kipya cha kupima magonjwa ya Zika na Chikungunya.
"Matokeo haya bado yanahitaji kuchunguzwa kwa kina zaidi kupitia vipimo vilivyothibitishwa na Shirika la Afya Duniani," wizara ilisema.
Asili ya Zika
Jina la virusi hivyo linatokana na msitu wa Zika, Uganda ambapo virusi hivyo vilitambuliwa kwa mara ya kwanza 1947.
Wengi wa walioambukizwa aina ya awali ya virusi walikuwa wakipatwa na homa ambayo si kali sana, mwasho na maumivu katika maungio.
Watanzania hutafuta nini mtandaoni?
Lakini kwa aina ya sasa, ambayo mlipuko wake ulianza mwishoni mwa mwaka 2015 nchini Brazil, dalili zake zimekuwa kali na virusi hivyo vinaaminika kusababisha kudumaa kwa ubongo na kasoro nyingine mwilini.
Historia ya kuenea kwa virusi vya Zika
1947: Wanasayansi wanaotafiti kuhusu homa ya manjano msitu wa Zika, Uganda wagundua virusi hivyo kwenye tumbili.
1948: Virusi hivyo vyapatikana kutoka kwenye mbu aina ya Aedes africanus msitu wa Zika
1952: Visa vya kwanza vya binadamu kuambukizwa virusi vya Zika vyaripotiwa Uganda na Tanzania
1960-80: Virusi vya Zika vyapatikana kwenye mbu na tumbili maeneo ya kati Afrika
1960-80: Virusi vya Zika vyapatikana maeneo yenye misitu na mvua nyingi Asia, ikiwemo India, Indonesia, Malaysia na Pakistan
2007: Virusi vya Zika vyaenea nje ya Afrika na Asia, kwanza katika visiwa vya Yap kwenye bahari ya pasifiki
2012: Watafiti wagundua aina mbili tofauti za virusi vya Zika, virusi vyenye asili Afrika na vingine vyenye asili Asia
Machi 2, 2015: Brazil yaripoti visa vya watu kuugua kutokana na maambukizi ya virusi vya Zika
Julai 17: Brazil yaripoti visa vya watoto kuzaliwa na ubongo uliodumaa na vichwa vidogo
Okt. 30: Visa vya watoto kuzaliwa an vichwa vidogo Brazil vyaongezeka
Novemba 2015-Januari 2016: Visa vya Zika vyaripotiwa Suriname, Panama, El Salvador,
Mexico, Guatemala, Paraguay, Venezuela, French Guiana, Martinique, Puerto Rico,
Guyana, Ecuador, Barbados, Bolivia, Jamhuri ya Dominika, Nicaragua, Curacao,
Na Jamaica
Feb. 2, 2016: Kisa cha kwanza cha Zika kuenezwa Marekani charipotiwa, kikidaiwa kutokana sana na ngono badala ya kuumbwa na mbu.
Mei 20: WHO yatangaza kupatikana kwa virusi vya Zika kwa mara ya kwanza Afrika kipindi cha sasa cha mlipuko, katika visiwa vya Cape Verde. Virusi hivyo ni vya aina sawa na virusi vilivyosababisha watoto kuzaliwa na vichwa vidogo Brazil.
Agosti 3, 2016: Wataalamu Marekani watangaza kuanza kwa majaribio ya chanjo dhidi ya Zika.

Friday, December 16, 2016

Virusi vya zika vyangunduliwa tanzania

Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu, NIMR imethibitisha kugunduliwa kwa virusi vya Zika nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Dkt Mwele Malecela, virusi hivyo vimepatikana mkoani Morogoro, Mashariki mwa Tanzania na Mkoani Geita, kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Utafiti huo ulifanyika kutokana na uhalisia kuwa kuna mazingira yanayowezesha kuzaliana kwa mbu wanaoeneza virusi hivyo.
Njia 10 za kujikinga dhidi ya virusi vya Zika
Virusi hatari vya Zika vyafika Afrika
Dkt Mwele Malecela ameambia BBC kwamba kwa sasa serikali inaangazia kuzuia wajawazito wasiumwe na mbu ambao wanaaminika kueneza virusi hivyo.
"Bado tunajaribu kuangalia ni aina gani ya virusi vya Zika. Lakini hiyo ni dhahiri, tukizingatia kwamba mbu wanaoambukiza Zika wako nchini kwetu na mazingira yaliyoko nchini kwetu hayatofautiani sana na yale ya Amerika ya Kusini na nchi kama Thailand ambako ugonjwa huo unapatikana," amesema Bi Malecela.
"Ugunduzi huu tumeupata kwa watu na tutaendelea kufanya kazi kuangalia kama tutaupata kwa mbu ambao utatuhakikishia basi kwamba ugonjwa huo ina maana umekuwepo nchini ni vile tu ulikuwa haujaonekana."
"Heri nusu shari kuliko shari kamili, kulielewa jambo na kujua kwamba lipo nchini na kujua kwamba wajawazito wanaweza kuzaa watoto wenye matatizo haya kutatuwezesha kuzuia ugonjwa huyu. Tutahakikisha nguvu zetu za kupambana na mbu wanaoeneza virusi hivi zinaongezeka."
Virusi vya Zika zimekuwa vikisababisha watoto kuzaliwa wakiwa na ubongo uliodumaa na vichwa vidogo katika mataifa ya Amerika Kusini na sana Brazil.
Mapema mwaka huu, serikali ya Tanzania iliwaagiza madaktari wote kuwa macho kuhusu hatari ya virusi hivyo mlipuko ulipotokea nchini Brazil.
Virusi vya Zika huenezwa sana na mbu ingawa kumeripotiwa pia visa vya watu kuambukizwa virusi hivyo kupitia kufanya mapenzi.
"Msishike mimba sasa", mataifa yashauri wanawake
Haijabainika iwapo aina ya virusi vya Zika vilivyopatikana Tanzania ni vile ambavyo vimekuwa vikisababisha watoto kuzaliwa na vichwa vidogo Amerika Kusini.
Virusi vya aina hiyo viligunduliwa kwa mara ya kwanza barani Afrika katika visiwa vya Cape Verde mwezi Mei mwaka huu.
Jina la virusi hivyo linatokana na msitu wa Zika, Uganda ambapo virusi hivyo vilitambuliwa kwa mara ya kwanza 1947.
Wengi wa walioambukizwa aina ya awali ya virusi walikuwa wakipatwa na homa ambayo si kali sana, mwasho na maumivu katika maungio.
Lakini kwa aina ya sasa, ambayo mlipuko wake ulianza mwishoni mwa mwaka 2015 nchini Brazil, dalili zake zimekuwa kali na virusi hivyo vinaaminika kusababisha kudumaa kwa ubongo na kasoro nyingine mwilini.

Wednesday, December 7, 2016

Wazazi ambao hujuta kwa kuzaa watoto

Mwandishi mmoja kutoka Ufaransa Corinne Maier, ana watoto wawili lakini ndoto yake ni kumuona kitinda mimba akikua na kuondoka nyumbani, akisema kuwa wamemchosha na kumfilisi.
Yafuatayo ni baaadhi ya maoni ya wazazi wengi duniani kuhusu kuwalea watoto.
Majuto
Ni vizuri kufahamu kuwa si mimi peke yangu ninahisi kutokamilika kwa kuwa mama. Nikiwa ninawapenda watoto wangu wawili sana, leo hii ninahisi kuwa singewazaa watoto hawa. Sio tu ni ghalia, lakini kuwalea watoto kunakuja na changamoto nyingi za kukua kitaaluma, wanawake wanalazimika kusubiri hadi zaidi ya miaka 35. Kuna sababu za kuhusu raha ya kuwa mama, lakini nahisi kuchoka na kutokamilika.
Alex, San Antonio.
Ni vigumu kusema kuwa ninajutia kwa kuwa na watoto kwa sababu ninawapenda. Lakini ikiwa nitafikiria nyuma na kujiuliza maswalia, sidhani kama ningetaka tena kuwa na watoto, bila ya wao ningekuwa na pesa, uhuru na pia singekuwa na hofu. Mary, Edinburgh.
Baada ya kulelewa katika familia iliyovunjika, nimekuwa na ndoto ya kuwa na familia kubwa. Nimebarikiwa na mme mzuri na watoto watatu. Wakati nikiandika haya binti yangu amenishika shingoni , siwezi hata kwenda chooni bila kukosa kusikia kilio na vita na jina mama. Krismasi imewadia na badala ya kufurahia, ninahisi kama ningeingia kwa ndege na mmewangu na kwenda popote pasipo kurudi ili kuweza kumjua tena. Tumechoka sana hadi hata siku hizi hatucheki, vile ninaandika haya ninahisi vibaya lakini ninahitaji nishukuru. Andrea, Italy.
Kumlea mtoto wa kisasa imetuacha mimi na mme wangu na uchovu. Haishii utotoni kwa sababu tunawahofia wakiwa na miaka 24 na 26 mtawalia. Tulijaribu kuwawezesha wajitegemee lakini tukashindwa. Wanaishi mbali nasi lakini mwishowe ni lazima tuwapigie simu kila mara. Ninawapenda wote lakini kama ningerudi ujana singekuwa tena na watoto.
Jennifer,Hertfordshire.
Hisia zilizochanganyika
Nina watoto wawili wa kiume na ninawapenda sana hadi uchovu unapoingia na kelele za kila siku zikionekana kuisha. Nilikuwa mvumilivu na kiali yangu ilikuwa kamili . Hilo linaokena kutoweka. Kwa sasa ni mipango, kulala , chakula, mavazi, kucheza , malezi bora. wakati hali ni ngumu nahisi singekuwa na watoto. Lakini wakati wanakubusu au wanapofanya kitu kizuri kwako unahisi vizuri. Anja, Maastricht.
Hakuna majuto
Kuwa na watoto ndicho kitu kizuri zaidi kuwai kufanyika kwangu. Pia ni kazi ngumu. Sijui mtu anaweza kupata wapi maoni kuwa mzazi ndiyo kazi rahisi ambayo huleta furaha. Kuwa na furaha kwa misingi yote ni kitu ambacho mtu hukutafuta kwa muda mrefu. Brian, Ohio.
Sitafikiria tena kutokuwa na watoto. Wameniwezesha kujua mengi kupitia kwa walimu wao, na wazazi wengine. Karen, Virginia.
Kuwa na mtoto kumeniwezesha kuenzi masuala mengi ya kijamii. Niliandika kitabu kwa mtoto wangu wa kiume, ambacho nilimtumia ajenti mmoja na miaka michache baadaye, nimejipata nikiwa mwandishi wa vitabu vya watoto nikiwa na vitabu kadha ambavyo nimeviandika.. Ninaelewa kuwa singeyafanya hayo kama singekuwa na huyu mtoto. Tumensafiri sana, alisaidia kukutana na watotu wengi. Sam, Worthing.
Niliwalea watoto wawili nchini Japan. Ndiyo ilinigharimu sana kifedha na muda, lakini nimeweza kufanikiwa kitaalumaa. Watoto waliniwezesha kuwa na mipango nadhifu. Kwa ujumla watoto wamerejesha mengi sawa na yale walipewa Bob, Tokyo.

Tuesday, December 6, 2016

Ethiopia yazindua reli mpya ya kisasa

Ethiopia na Djibouti zimezindua reli ya kisasa ya treni za kutumia nguvu za umeme ambayo inaunganisha mji mkuu wa Addis Ababa na mji wa bandarini wa Djibouti.
Reli hiyo imejengwa na kampuni mbili za Uchina, kwa gharama ya takriban dola 4 bilioni za Kimarekani ambazo zilitolewa na serikali ya Uchina kama mkopo.
Reli hiyo inatarajiwa kuipa Ethiopia njia rahisi ya kufikisha bidhaa zake, hasa mazao ya kilimo, hadi dandarini.
Uchumi wa Ethiopia umekuwa ukikua kwa kasi kutokana na ongezeko la uzalishaj wa kilimo na ukuaji pia wa miji.
Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, Ethiopia, yenye watu 97 milioni ni moja ya mataifa yenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi duniani kwa sasa.
Kenya inajenga reli nyingine ya 'wenye kichaa'?
Tanzania yapokea ndege mpya kutoka Canada
Tanzania yasifiwa na Benki ya Dunia
Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, uchumi wa taifa hilo ulikua kwa asilimia 10.2 mwaka 2014/15, na kasi hiyo inatarajiwa kuendelea mwaka 2016 na mwaka 2017.
Reli hiyo ni ya umbali wakilomita 752, na kasi yake ya wastani itakuwa kilomita 120 kwa saa, jambo litakalofupisha safari ya kutoka Addis Ababa hadi Djibouti kuwa chini ya saa kumi ikilinganishwa na siku mbili zilizotumiwa awali.
Reli hiyo ndio mradi wa pili mkubwa wa reli inayounganisha mataifa zaidi ya mawili ambayo imejengwa na kampuni za Kichina barani Afrika.
Mradi huo mwingine ni reli ya Tazara inayounganisha jiji la Dar es Salaam, Tanzania na mji wa Kapiri Mposhi nchini Zambia.
Wakati wa ziara yake Ethiopia Mei 2013, naibu waziri mkuu wa China Wang Yang alisema mradi huo wa reli wa Ethiopia-Djibouti ni "Tazara ya enzi mpya."
Rwanda yanunua ndege ya kisasa ya Airbus
Kinyume na mradi wa Tazara, ambao ulijengwa miaka ya 1970 kama mradi wa msaada wa kimataifa kutoka kwa serikali ya Uchina, reli hiyo ya Ethiopia-Djibouti ni mradi wa kibiashara kati ya kampuni za Kichina na serikali za mataifa hayo mawili ya Afrika.

Thursday, December 1, 2016

Mti mrefu zaidi Afrika wagunduliwa Tanzania

Wanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania.
Wanasayansi kutoka chuo cha Bayreuth nchini Ujerumani, wanasema wanaamini kuwa mti huo unaopatiknan karibu na mlima Kilimanjaro ndio mrefu zaidi barani.
Mmoja wa wanasayansi hao alisema kuwa aliona mtu huo miaka 20 iliyopita, lakini ni hadi hivi majuzi wakitumia vifaa maalum walifaulu kupima urefu wake.
Mti huo kutoka familia ya Entandrophragma excelsum una urefu wa mita 81.
Wanasayansi nchini Tanzania bado hawajatoa taarifa yoyote kuhusu ugunduzi huo.
Wanasayansi waliogundua mti huo sasa wanataka ujumuishwe kwenye kumbukumbu ya miti isiyo ya kawaida duniani