Recent Posts

PropellerAds

Friday, December 23, 2016

Trump aitaka Israel kusitisha ujenzi katika ardhi ya Palestina

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina.
Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baadaye siku ya Alhamisi, Bw Trump amesema kuwa amani haitaafikiwa kupitia hatua ya Umoja wa Mataifa kuweka masharti.
Azimio hilo litaagiza kwamba shughuli zote za makaazi hayo katika eneo hilo la Palestina, ikiwemo Jerusalem mashariki lazima zisitishwe.
Marekani imekuwa ikiunga mkono Israel katika Umoja wa Mataifa, lakini wanaounga mkono azimio hilo wamekuwa wakitumai kwamba utawala wa rais Obama utasusia kura hiyo.

Related Posts:

  • Watanzania 8 waliotaka kujiunga na al-Shabab wakamatwaSerikali ya Kenya imefichua kwamba imewakamata raia wanane wa Tanzania waliokuwa katika harakati za kujiunga na kundi la wapiganaji la al-Shabab nchini Somalia. Katika taarifa iliotumwa katika vyombo vya habari, polisi wanase… Read More
  • Magufuli amfuta kazi waziri kwa kuwa mlevi Waziri wa mambo ya ndani nchini Tanzania Charles Kitwanga amefutwakazi kutokana na sababu ya kuwa mlevi akiwa kazini. Kwenye taarifa, rais John Magufuli alisema kuwa bwana Kitwanga alienda bungeni na kujibu swali la mbunge … Read More
  • A Happy Life May Not Be a Meaningful LifePsychiatrist and Holocaust survivor Viktor Frankl once wrote, “Life is never made unbearable by circumstances, but only by lack of meaning and purpose.” For most people, feeling happy and finding life meaningful a… Read More
  • Saa ya Haile Selassie yarejeshewa ‘mmiliki’ Maafisa wa mahakama nchini Uswizi wameamua kukabidhi saa iliyotumiwa na Mfalme Haile Selassie kwa mtu aliyepatikana na saa hiyo, shirika la habari la Bloomberg limeripoti. Familia ya Selassie ilisema saa hiyo iliibiwa ku… Read More
  • Mazungumzo ya amani ya Burundi yaanza Arusha Mazungumzo ya amani kuhusu Burundi yameanza mjini Arusha, Tanzania, baada ya kuahirishwa mara kadha. Serikali ya Burundi, na baadhi ya viongozi wa upinzani wanahudhuria mazungumzo hayo, ambapo mpatanishi ni rais mstaafu w… Read More