Recent Posts

PropellerAds

Friday, December 23, 2016

Trump aitaka Israel kusitisha ujenzi katika ardhi ya Palestina

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina.
Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baadaye siku ya Alhamisi, Bw Trump amesema kuwa amani haitaafikiwa kupitia hatua ya Umoja wa Mataifa kuweka masharti.
Azimio hilo litaagiza kwamba shughuli zote za makaazi hayo katika eneo hilo la Palestina, ikiwemo Jerusalem mashariki lazima zisitishwe.
Marekani imekuwa ikiunga mkono Israel katika Umoja wa Mataifa, lakini wanaounga mkono azimio hilo wamekuwa wakitumai kwamba utawala wa rais Obama utasusia kura hiyo.

Related Posts:

  • God Wants You to Know How Much He Loves You The greatest love you can know is when someone lays down his life for you (John 15:13). Especially when you were an enemy when he laid his life down for you (Romans 5:10). And that’s when Jesus laid his life down for you (1… Read More
  • The Love of God’s Power God is faithful. We’ve all heard these words. We’ve read them, said them, and sung them. And we’ve felt them. God’s faithfulness is a palatable experience of his love. It’s his love tasted and seen in our hi… Read More
  • Where Does True Love Come from? How is love generated in our lives? The apostle Paul tells us in 1 Timothy 1:5, “The aim of our charge is love that issues from a pure heart and a good conscience and a sincere faith.” Love Overflows from a Pure Heart … Read More
  • Nothing Can Separate Us from the Love of Christ Who shall separate us from the love of Christ? Shall tribulation, or distress, or persecution, or famine, or nakedness, or danger, or sword? As it is written, “For your sake we are being killed all the day long; we are rega… Read More
  • The Strange and Wonderful Miracle of Feeling Loved by God One thing I am sure of intuitively: God’s ways are higher than my ways. Which means: If he reveals through the Bible his ways of loving me, they will certainly be jarring. The ease with which the human race presumes to tell… Read More