Recent Posts

PropellerAds

Sunday, December 18, 2016

Mugabe kuwania uraisi 2018

Chama tawala cha Zimbabwe kimethibitisha kuwa rais Robert Mugabe ndiye mgombea wake wa uchaguzi wa 2018.
Bw Mugabe ambaye ana umri wa miaka 92 amekuwa madarakani tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake kutoka kwa Uingereza mwaka 1980.
Katika mkutano wa chama hicho, idara ya vijana ya Zanu-PF ilitangaza kuwa Mugabe anafaa kuwa raia wa maisha .
Hatahivyo kumekuwa na maadamano mwaka huu dhidi ya uongozi wa kiongozi huyo pamoja na hali mbaya ya kiuchumi inayokumba taifa hilo.
Chama cha Zanu-PF pia kimekabiliwa na makabiliano ya wenyewe kwa wenyewe huku makundi hasimu yakipigania kumrithi rais Mugabe wakati atakapoondoka afisini.
Wafuasi wake waliimba tongai, tongai, tongai baba wakimaanisha endelea kuongoza baba huku mkutano wa chama hicho ukimchagua Mugabe kuwa mgombea wake wa urais katika mji wa kusini mashariki wa Masvingo.

Related Posts:

  • 10 Resolutions for Mental Health On October 22, 1976, Clyde Kilby, who is now with Christ in heaven, gave an unforgettable lecture. I went to hear him that night because I loved him. He had been one of my professors in English Literature at Wheaton College… Read More
  • Pastors Need Friends Too What makes a pastor persevere in ministry? The Lilly Endowment invested $84 million over 10 years to study and support the practices that allow Christian pastors in America to sustain excellence over the years. They funde… Read More
  • Our High Priest Keeps Us Going Sometimes—especially in the United States—people will unintentionally invade our private space just a little by asking, “Do you have a life verse?” We understand what they mean: “Is there a text in Scripture that has been a … Read More
  • God Wants More for You Than You Do If January is often a month of new beginnings, a New Year’s clean slate, which we greet with a this-year-is-going-to-be-different kind of optimism, then February is often a month of discouraging realism. We often… Read More
  • Verse of the Day James 1:5 5 If any of you lacks wisdom, you should ask God, who gives generously to all without finding fault, and it will be given to you. … Read More