Recent Posts

PropellerAds

Sunday, December 18, 2016

Mugabe kuwania uraisi 2018

Chama tawala cha Zimbabwe kimethibitisha kuwa rais Robert Mugabe ndiye mgombea wake wa uchaguzi wa 2018.
Bw Mugabe ambaye ana umri wa miaka 92 amekuwa madarakani tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake kutoka kwa Uingereza mwaka 1980.
Katika mkutano wa chama hicho, idara ya vijana ya Zanu-PF ilitangaza kuwa Mugabe anafaa kuwa raia wa maisha .
Hatahivyo kumekuwa na maadamano mwaka huu dhidi ya uongozi wa kiongozi huyo pamoja na hali mbaya ya kiuchumi inayokumba taifa hilo.
Chama cha Zanu-PF pia kimekabiliwa na makabiliano ya wenyewe kwa wenyewe huku makundi hasimu yakipigania kumrithi rais Mugabe wakati atakapoondoka afisini.
Wafuasi wake waliimba tongai, tongai, tongai baba wakimaanisha endelea kuongoza baba huku mkutano wa chama hicho ukimchagua Mugabe kuwa mgombea wake wa urais katika mji wa kusini mashariki wa Masvingo.

Related Posts:

  • Far Worse Than Being Caught Fighting Sin with Fear There is something more dreadful in this world than when God makes us miserable because of our sin: when God uses more sin to make us miserable because of our sin. This is more dreadful because misery may be a wake-up ca… Read More
  • Pornography is a problem. Pornography is a problem. Porn is like a narcotic, it hijacks the brain, it redefines human sexuality, and in the meantime ruins lives, destroys families, and destabilizes ministries. And honestly it’s a problem that … Read More
  • God Will Keep You Through Dementia Dementia can inflict its victims with memory loss and render them unable to care for themselves. It can cause them to wake up every morning not knowing where they are or who is feeding or bathing them. People with demen… Read More
  • God Heals by Humbling “I have seen his ways, but I will heal him; I will lead him and restore comfort to him and his mourners, creating the fruit of the lips. Peace, peace, to the far and to the near,” says the Lord, “and I will heal him.” (I… Read More
  • Defend the City A Call to Single Men When Solomon saw a man without sexual self-control, he saw an enemy army and a pillaged city. He saw broken windows and unhinged doors. He saw the stronghold taken and the people defenseless. Or in his words: A man wit… Read More