Kutana na Wakonta Kapunda, msichana wa miaka 25
kutoka Tanzania ambaye alipata ajali siku ya kuhitimu
sekondari.
Baada ya matibabu na kulazwa hospitalini kwa miezi,
miaka minne baadaye amepooza mwili mzima
isipokuwa shingoni na kichwani.
Lakini sasa amepata matumaini baada ya kujifundisha
namna ya kuendeleleza ndoto yake ya uandishi wa
filamu kutumia ulimi wake, ambao ndio pia anaotumia
kujibia simu na kuandika ujumbe mfupi wa simu ya
mkononi.
BBC ilikutana naye katika mashindano ya uandishi
aliyoshiriki kisiwani Zanzibar.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
8 hours ago