Kutana na Wakonta Kapunda, msichana wa miaka 25
kutoka Tanzania ambaye alipata ajali siku ya kuhitimu
sekondari.
Baada ya matibabu na kulazwa hospitalini kwa miezi,
miaka minne baadaye amepooza mwili mzima
isipokuwa shingoni na kichwani.
Lakini sasa amepata matumaini baada ya kujifundisha
namna ya kuendeleleza ndoto yake ya uandishi wa
filamu kutumia ulimi wake, ambao ndio pia anaotumia
kujibia simu na kuandika ujumbe mfupi wa simu ya
mkononi.
BBC ilikutana naye katika mashindano ya uandishi
aliyoshiriki kisiwani Zanzibar.
Rais Samia atoa Bilioni 5 kurejesha miundombinu ya barabara na
madaraja-Lindi
-
Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa
Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa
miun...
25 minutes ago