Recent Posts

PropellerAds

Sunday, November 20, 2016

Faida za kua na unyenyekevu.

Na:
Saphira nyemenohi
Bwana Yesu asifiwe. Habari za jioni wapendwa, napenda kuwasalimu kwa Jina lipitalo majina yote. Bwana Yesu asifiwe. Somo la Leo linahusu unyenyekevu Yoh.13:12-15 Bwana Yesu anawatawaza miguu wanafunzi wake. Kwa hali ya kawaida alikuwa ni vigumu ndio sababu Petro aligoma. Alifikiri kukaa karibu naYesu alistahili heshima na kutumikiwa na si kutumika.Mpaka sasa kanisa la Mungu linataabika kwa kwa sababu ya viongozi mfano wa Petro hawako tayari kuwaosha wafuasi wao miguu. Kila kukicha wanataka utukufu wanadai heshima. Hawako tayari kushuka na kujifunza kwa Yesu.Kanisa la Mungu linahitaji kupona. Yesu akasema jitieni nira yangu mjifunze kwangu maana mimi mpole na mnyenyekevu wa moyo.Wewe unayejiita mkristo kwanini hutaki kuishi maisha ya Kristo? Kama unakosolewa unahama kanisa, peleleza ukristo wako!kama unahitaji heshima na utukufu kuliko Mwana wa Mungu aliye juu, peleleza ukristo wako.Wafilipi 2:5-10Mbarikiwe wana wa Mungu.

Related Posts:

  • Shambulio Syria huenda ni ‘uhalifu wa kivita Afisa wa cheo cha juu wa Umoja wa Mataifa anasema kuwa shambulizi la angani katika kambi moja ya wakimbizi nchini Syria, linalohofiwa kusababisha vifo vya watu 30, huenda likaorodheshwa kuwa uhalifu wa kivita. Mkuu wa kit… Read More
  • Mfanyabiashara Jacob Juma auawa Nairobi Mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma, ambaye amekuwa akizua mjadala mitandaoni Kenya kutokana na ujumbe wake anaoandika hasa kwenye Twitter, ameuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi. Taarifa zinas… Read More
  • Mkondo wa mafuta washambuliwa Nigeria Maafisa usalama nchini Nigeria wamesema wanamgambo wameshambulia mkondo wa mafuta katika jimbo la Delta.wanaripotiwa kuharibu vibaya mitambo na vifaa vinavyoruhusu kusafiri kwa mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine. … Read More
  • Busu la Bieber na aliyekuwa mpenziwe lavutia Instagram Picha ya mwanamuziki Justin Bieber akimpiga busu aliyekuwa mpenziwe Selena Gomez ndio picha iliopendwa na wengi katika mtandao wa instagram. Imependwa na watu milioni 3,569,000 huku watu 350,000 wakiipenda dakika 15 tu ba… Read More
  • Shambulio Syria huenda ni ‘uhalifu wa kivita Afisa wa cheo cha juu wa Umoja wa Mataifa anasema kuwa shambulizi la angani katika kambi moja ya wakimbizi nchini Syria, linalohofiwa kusababisha vifo vya watu 30, huenda likaorodheshwa kuwa uhalifu wa kivita. Mkuu wa kit… Read More