
Je unaogopa kuambukizwa na ugonjwa wa malaria ?
Ikiwa jibu lako ni ndio basi nakupa ushauri nasaha,,
Fuga kuku !
Utafiti umebaini kuwa ,harufu ya kuku inaweza
kukulinda dhidi ya maambukizi ya malaria.
Watafiti nchini Ethiopia na Sweden wamegundua kuwa
mbu wanaobeba vimelea visababishavyo ugonjwa wa
Malaria huwa wanafanya kila wawezalo kukaa mbali na
ndege huyo anayefugwa majumbani.
Moja...