Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, July 6, 2016

Mtandao unaowaunganisha wapenzi wa Kiislamu wadukuliwa


Maelezo ya kibinafsi ya takriban wanachama 150,000 wa mtandao unaowaunganisha wapenzi wa Kiislamu umewekwa wazi mtandaoni.
Zaidi ya ujumbe 700,000 za kibinafsi kati ya wanachama zimefichuliwa.
Ujumbe katika mtandao huo ulisema: ''Tumejulishwa kuhusu udukuzi na tunaurekebisha mtandao wetu kwa lengo la kuimarisha usalama wake''.
Ujumbe uliofichuliwa ulihusisha habari za siri kama vile iwapo mwanachama angependa kuwa na wake wengi.
Udukuzi huo ulibainiwa na mtafiti wa maswala ya kiusalama Troy Hunt ambaye anamiliki mtandao wa maswala ya usalama wa mitandaoni.

Maelezo kuhusu waajiri wa wanachama,akaunti zao za Skype na anwani zao za kuingia mtandao kulingana na mtandao wa teknolojia Motherboar.
Ukurusa wa kuwaunganisha waislamu wapendanao katika facebook ulielezea mtandao huo kuwa :Wasio katika ndoa,waliotalakiana,walio katika ndoa,''Ujumbe mmoja uliofichuliwa ulisema: Nataka kukuoa-iwapo unakubali nikutumie picha na maelezo yangu''.

Related Posts:

  • You Can Defeat Distraction By all accounts, we seem to be the most distracted civilization in the history of the world. We are increasingly fragmented in our attention and relentlessly pulled away from many of the basics that make us human. The … Read More
  • What Happens to Us When We Die? by Ray Pritchard   We live in a time when there is great fascination about life after death. A few years ago Raymond Moody wrote a best-seller called Life after Life that detailed the near-death experiences of men… Read More
  • God Didn’t Wait for You to Believe I came to Avi Synder’s new book, Jews Don’t Need Jesus. . .and Other Misconceptions: Reflections of a Jewish Believer, with a deep desire to say something fresh about this important topic. Now that I have read it, that des… Read More
  • When the Boss is a Woman Men and women are equally effective in settings that match gender roles. What the Research Shows Since women began to climb the management ladder, pundits have asked if they have what it takes to lead groups and o… Read More
  • Kaburi la mwana wa Pharaoh lapatikana Misri Kaburi la miaka 3,700 la mwana wa kike wa Pharaoh linaamika kupatikana karibu na mabaki ya piramidi iliogunduliwa Misri. Wizara ya mambo ya kale imesema kuwa kaburi hilo lililopo katika eneo la kifalme la Dahshur Kusini … Read More