Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, July 6, 2016

Magonjwa ya akili yakithiri Sudan Kusini


Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema maelfu ya raia wa Sudan Kusini wanasumbuliwa na kiwewe baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, na walio wengi hawana matarajio ya kupata tiba.Shirika hilo limesema watu walilazimishwa kula nyama ya binaadamu wenzao na wengine walilazimishwa kuipasua miili ya binaadamu wenzao wakati huo wa kivita, vilivyoanza mwishoni mwa mwaka 2013.
Amnesty inasema kwamba katika hali ya kusikitisha Sudan Kusini ina hali mbaya ya ukosefu wa huduma za afya ya akili, ikiwa na madaktari wawili tu magonjwa ya akili wakihudumia idadi ya watu zaidi ya milioni kumi.
Wagonjwa wa magonjwa ya akili mara nyingi wamekuwa wakizuia magerezani.

Related Posts:

  • Proven Weapons in the Fight for Holiness When Paul says to put to death the deeds of the body “by the Spirit” (Romans 8:13), I take him to mean that we should use the one weapon in the Spirit’s armor that is used to kill; namely, the sword, “which is the word of… Read More
  • Zawadi kuu Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
  • The War We Need The 106 minutes felt like months. Every moment pulsed with adrenaline and fear, waiting for another German assault — bullets from behind, bombs from above, torpedoes from below. Some 400,000 soldiers utterly exposed — n… Read More
  • Five More Ways to Enjoy God’s Word When you hold a Bible in your hands, you are holding one of the most precious objects imaginable. No antique or priceless artifact, no famous piece of art or giant diamond is more precious than whatever medium communicate… Read More
  • Does Church Feel Unsafe? By Christina Miller "Now, you shepherds, listen to what I, the LORD, am telling you." Ezekiel 34:7 delivers a hard message to the leaders of Israel. In the midst of their neglect and abuse, God spoke. Loudly. "As surely… Read More