Recent Posts

PropellerAds

Thursday, May 11, 2017

Kaburi la mwana wa Pharaoh lapatikana Misri

Eneo ambalo kaburi la mwana wa Pharao lilipatikana
Kaburi la miaka 3,700 la mwana wa kike wa Pharaoh linaamika kupatikana karibu na mabaki ya piramidi iliogunduliwa Misri.
Wizara ya mambo ya kale imesema kuwa kaburi hilo lililopo katika eneo la kifalme la Dahshur Kusini mwa Cairo lilikuwa na sanduku la mbao lililochongwa.
Ndani ya sanduku hilo kulikuwa na mitungi iliojaa nguo za mapambo vikiwemo viungo vya marehemu ambaye ni mwana wa kike wa mfalme Emnikamaw.
Piramidi hiyo ya mfalme ina urefu wa mita 600 kutoka kwa kaburi hilo.
Mwezi uliopita watalam wa vitu vya kale wanaochunguza mabaki ya jengo hilo walipata afueni kwa kupata picha za mabaki hayo zilizokuwa na jina la Emnikamaw.
Pia waligundua mabaki ya makaburi ya mawe.
Sanduku la vitu vya kulinda Viungo vya mwana wa Pharaoh
Dahshur ni eneo ambalo mfalme Sneferu wa awamu ya nne alijenga piramidi ya kwanza yenye urefu wa futi 341 iliokuwa na upande mmoja ambao ulikuwa umelainishwa takriban miaka 4000 iliopita.
Pia alijenga piramidi ya awali iliokuwa na urefu wa mita 105 ambayo mteremko wake ulikuwa na ngazi zilizobadilishwa kutoka pembe yenye digree 54 hadi 43.
Mfalme Sneferu alirithiwa na mwanawe Khufu anayejulikana sana kwa kujenga Piramidi kubwa katika eneo la Giza ambayo ilikuwa na urefu wa mita 138 ambayo ilikuwa maajabu ya dunia wakati huo.

Related Posts:

  • The Deep Riches and Wisdom and Knowledge of God One of the highest points in my short, six-year teaching career in the Biblical Studies department at Bethel College was in the spring of 1977. I had spent the entire semester on Romans 9–11 leading about a dozen adva… Read More
  • Ask God to Forgive You, Not Excuse You God exists everywhere and everywhen. He is eternal and omnipresent. And not only is he present everywhere, he is everywhere pursuing us. He is the hunter, the king, the husband, approaching us at an infinite speed. Central… Read More
  • Children Need a Crisis of Faith  My wife and I have five children. Our oldest two have exited childhood and are adventuring into the uncharted territory of their young adulthood. Our younger three are navigating the tricky waters of adolescence. A… Read More
  • Live from Satisfaction in Jesus Philippians 2:3–4 In this lab, Pastor John reminds us that only those who have their needs met in Christ can consistently meet the needs of others. Some questions to ask as you read and study Philippians 2:3–4: Would you characterize y… Read More
  • Choosing the Path of Holiness Asking Christ into our lives is the single most important thing we can ever do. But what happens after that? Does it matter how we live our lives if we already have the assurance that we will be with Christ in heaven when we… Read More