Recent Posts

PropellerAds

Sunday, June 4, 2017

Wabunge: Jifunzeni kupitia makosa ya kina Mangugo.


Safari ya Usagara

Tarehe 10 Novemba 1884 Peters alifika Unguja pamoja na wanakamati wawili ili aendelee kuzunguka kwenye Tanganyika. Serikali ya Kijerumani ya Chansella Bismarck haikukubali mipango yake kwa sababu iliogopa vurugu kwenye mkutano ulioitishwa tayari. Hivyo Peters alipofika kwenye ubalozi wa Ujerumani mjini Zanzibar alipokewa kwa barua kutoka Berlin iliyosema ya kwamba hawezi kutegemea msaada wowote kwani juhudi zake ziko nje ya siasa ya nchi.
Peters akimwogopa Sultani pamoja na Waingereza alivuka kwa siri kutoka Unguja kwenda bara. Alifaulu kutembelea masultani au machifu kadhaa waliotia aina ya sahihi kwenye karatasi walizoonyeshwa na Peters. Karatasi hizo ziliandikwa kwa lugha ya Kijerumani zikisema ya kwamba chifu fulani aliweka eneo lake chini ya mamlaka ya shirika la Kijerumani pamoja na kulipatia shirika hilo haki ya kutumia maeneo na malighafi yote.
Kuna hakika ya kwamba machifu hawakuelewa walichofanya kwa kuchora alama zao kwenye karatasi hizo; walifikiri kwamba wameahidiwa ulinzi kutoka kwa mtawala wa mbali ambaye labda siku moja atakuwa na faida kwao, lakini hawakuelewa kwamba walitoa kibali kwa wageni kutawala nchi.
Peters mwenyewe alisimulia jinsi alivyowapa machifu pombe kali hadi wakawa tayari kuchora alama zao kwenye karatasi walizoonyeshwa bila kuelewa maana yake.
Kwa njia hiyo katika muda mfupi kati ya tarehe 23 Novemba na 17 Desemba 1884 Peters alipata hati kutoka machifu wa Usagara, Nguru, Useguha na Ukami kwa ajili ya shirika lake, jumla eneo la km² 140,000.

Jinsi alivyowatenda Waafrika

Katika msafara huo tabia za Peters zilionyesha jinsi alivyodharau Waafrika. Aliamini na kuandika kwamba Mwafrika hutawaliwa kwa kiboko tu. Kwake Mwafrika hakuwa mtu kamili. Akijiona mwenyewe ni bwana ambaye wenyeji wanapaswa kumtumikia, aliwadharau.
Alipopitia Ugogo alimkasirikia Mgogo aliyecheka alipomtazama akinyoa ndevu zake, akaamuru apigwe kiboko. Tendo hilo liliwasababisha Wagogo kuchukua silaha, ikawa vita ambapo watu wakauawa kwa wingi.
Watu waliosafiri naye na kumjua walisimulia jinsi alivyowapiga mara nyingi mahamali au watumishi wake, hata akapewa nao jina “mkono damu”.


Dr. karl peters (kati) akiwa na wenzake Dr. karl juhike na Joachim Graf, huyo Dr. karl peter ndio aliwaingiza mkenge machief wa Taganyika kwa Mikataba ya Ulaghai.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh67XMTLSn48jSY3SN4n9FCSKn2vioGps9GGMq3jNEEphrRs1I1wnFTNGkc5BUydLp3kGWliqCM-1BO771y1wUdSlcgSuvUS2NwJmQkTjUbrTIawDdFPmF2tPbxctzW2ZmVoVVMl5imrbk/s1600/DSC08550.jpg


Dr. karl peters (kati) akiwa na wenzake Dr. karl juhike na Joachim Graf, huyo Dr. karl peter ndio aliwaingiza mkenge machief wa Taganyika kwa Mikataba ya Ulaghai.


Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo).

Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza.

Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika.

Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua!

Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani.

Katika mikataba ya  kina Chief Mangugo wa leo wanatuuza wananchi kwa kutwambia mikataba ni siri, kwanini iwe siri wakati rasilimali ni za watanzania wote.
wawakilishi wa wananchi wanajifunza nini kutoka kwa chief mangugo na Karl peter?
Je hawana mpango zaidi ya kuhakikisha wanapata maslahi yao na mposho zao wanasahau kazi ambayo wananchi tumewaamini na kuwatuma kutuwakilisha katika mambo yanayohusu maendeleo ya nchi yetu.
hebu tujaribu kufikiri mikataba feki ambayo inapitishwa na Wabunge wetu, huku ikishangiliwa kwa makofi na vigeregere.
inatuumiza wananchi na wawakilishi wetu wako wakipotea kitu kidogo kwa ajili ya maslai yao je? Ni kweli akili zao zipo kama za kina chief mangugo au ni makusudi?




Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri....

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri....

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri....

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
Mmoja kati ya machifu wa Tanganyika aliesaini mkataba na  wajerumani enzi za ukonloni. Mikataba hiyo ndo ilipelekea kutawaliwa na wajerumani.







MTWARA KUMEKUCHA Mathaba Highlights Monday, February 4, 2013 UJINGA WA MWAFRIKA: MABABU ZETU WALIKUWA NA UDHURU SISI JE? Na M .M Mwanakijiji, Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri.... Posted by Baraka Mfunguo at Monday, February 04, 2013 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest No comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) Republic of Tanzania KUHUSU MIMI My photo Baraka Mfunguo Blogger View my complete profile FACE BOOK Baraka Mfunguo Baraka Mfunguo Create Your Badge WANAOFUATILIA BLOGU HII TOVUTI ZA SERIKALI BARAZA LA MITIHANI TANZANIA BENKI KUU YA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA CHUO KIKUU CHA ARDHI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA SOKOINE CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHUO KIKUU CHA TIBA MUHIMBILI CHUO KIKUU HURIA HOSPITALI YA RUFAA YA BUGANDO HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC HOSPITALI YA RUFAA YA MUHIMBILI MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA TANZANIA MTANDAONI TOVUTI YA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WIZARA YA ELIMU NA UFUNDI STADI WIZARA YA KILIMO WIZARA YA MAMBO YA NDANI WIZARA YA MAMBO YA NJE WIZARA YA MIUNDOMBINU WIZARA YA OFISI YA RAIS MENEJIMENTI UTUMISHI WA UMMA WIZARA YA SAYANSI TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU BALOZI ZA TANZANIA UGHAIBUNI UBALOZI WA TANZANIA ITALIA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI UBALOZI WA TANZANIA UINGEREZA HABARI ZA MTANDAONI AIR TANZANIA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI MAHESABU DADA SUBI DAR HOTWIRE DULLONET KAMPUNI YA SIMU TANZANIA KLH -NEWS MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR MUNISHI ONLINE MUSTAPHA HASSANALI-DESIGNER MWALIMU NYERERE FOUNDATION NELSON MANDELA FOUNDATION NIFAHAMISHE PAMBAZUKA NEWS PRECISION AIR -TANZANIA SAUTI YA MZEE MWANAKIJIJI TANESCO TANZANIA LIVE NEWS UTALII NA VIVUTIO VYA TANZANIA WAVUTI-HABARI ZANZINET/ZANZIBAR MAGAZETI YA TANZANIA DAILY NEWS DAR LEO IPP MEDIA KWANZA JAMII MAJIRA MWANA HALISI MWANANCHI RAIA MWEMA TANZANIA DAIMA THE CITIZEN THE EXPRESS THIS DAY WALIOPO SASA widget BLOGU MBALIMBALI ABDALLAH MRISHO KIKAO CHA BULEMBO NA WAJUMBE WILAYANI KIBONDO, CHAJAA MSISIMKO WA AINA YAKE, LEO 2 minutes ago adam lusekelo online 6 years ago AMANI MASUE ANGA LA MICHEZO Roman Abramovich APANIA KUIHAMISHA CHELSEA. 5 years ago BONGO CELEBRITY Tanzania’s New Inspector General Of Police (IGP) Sworn In 5 days ago BONGO PIX SHIBE INAPOUA KULIKO NJAA! OBESITY KILLS MORE PEOPLE THAN HUNGER 2 years ago CHARAHANI YALIYOJIRI BUNGENI LEO 2 days ago CUSH'Y FOOD/MAMISOSI bacon topped british turkey 4 years ago DA'MIJA Unamfahamu mwanamke wa kwanza kuingia katika baraza la mawaziri la tanzania? 11 years ago DINA MARIOS PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA VETERANI 2 years ago FASHION JUNKII We are Onsugar! 7 years ago FATHER KIDEVU KAMPUNI YA MOOVN DRIVER YAANZISHA APP YA HUDUMA YA USAFIRI JIJINI DAR ES SALAAM 1 day ago FIELD NEGRO CAPTION SATURDAY. 7 hours ago FOOD FOR THOUGHT CRATOR YA NGORONGORO YAPATA UMAARUFU ZAIDI BAADA YA CLOUDS 360 KURUSHWA MUBASHARA KUTOKA ENEO LA MITI MITATU. 1 month ago FREE THINKING UNABII Waliocheza hizi jiandaeni kustaafu 11 hours ago FROM BUTIAMA AND BEYOND This is my greatest fear of traveling 2 months ago FULL SHANGWE CSSC YAJIVUNIA MAFANIKIO ILIYOYAPATA KWA MIAKA 25 TANGU KUANZISHWA KWAKE 3 months ago GLOBAL PUBLISHERS IRINGA NA MATUKIO TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA MAHAFALI YA WANAVYUO WANA CCM MKOANI IRINGA 2 hours ago JAMII FORUMS JIACHIE KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 1 hour ago Kanumba The Great HAPPY 5TH ANNIVERSARY TMH,SAMBAMBA NA UZINDUZI WA DUKA/OFISI & TRAINING CENTER 5 years ago KARIBUNI NYASA MAENDELEO NI WATU. KIONGOZI NI KUONGOZA NJIA 2 years ago KIJIWENI NYEGERAGE Dini, Azaki, vyuo au wanasiasa wa kuikomboa tanzania? 2 years ago KISIMA CHA FIKRA KULIKONI UGHAIBUNI Missing You So Much Mama: Kumbukumbu Ya Miaka 9 Ya Kifo cha Marehemu Mama Chahali 6 days ago Kwa John Kitime | TANZANIAN ARTIST KINACHOENDELEA MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO. 2 days ago LADY JAY DEE lukwangule entertainment MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO 2 days ago MAISHA Christiano ronaldo amefungua Gym mpya 2 months ago MAISHA-RUHUWIKO LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KIJANA WETU ERIK..HONGERA 1 day ago MAKULILO Jr UANDISHI WA RESUME NA CV KATIKA UOMBAJI UDHAMINI NA KAZI 3 months ago MATONDO HATA HUKU "MAJUU" WAPO !!! 5 years ago Mbele Memories of the 2017 World Festival, Rochester 3 weeks ago MICHUZI KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 2 hours ago MITIKI -KILIMO KWANZA NAFASI YA KAZI - TANZANIA ASSOCIATION OF PIG FARMERS (TAPIFA) 2 days ago MTAA KWA MTAA MAKAMU WA RAIS AWASILI BUTIAMA, ATEMBELEA KABULI LA BABA WA TAIFA 16 hours ago Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI Cheka nuna. 3 years ago MTANGAZAJI NYARUGUSU:KWAYA YA VIJANA NYARUGUSU WAREKODI VIDEO YAO MPYA NA JCB STUDIOZ YA JIJINI DAR ES SALAAM 4 days ago mwananchi mimi! Pilika za maisha 1 year ago MWANASOSHOLOJIA Utenzi wa Da' Gloria 4 years ago MZEE WA CHANGAMOTO Mahojiano na Dj D - Ommy ndani ya Kilimanjaro Studios U.S.A 2 months ago MZEE WA SUMO/MPOKI CCM AMA CHADEMA WAKOROFI? 4 years ago NDIMARA FURSA ILIYOPOTEA? 1 year ago NGURUMO Kwa heri Asiimwe, Malaika wangu 2 years ago NUKTA 77/DADA SUBI International Research Funding, Early-Career Faculty and Graduate Students Interested in Maternal Health Literacy 5 hours ago PASSION FOR FASHION RED CARPET..... 4 years ago POETRY WHERE YOU LIVE each story is different – v2 9 hours ago POLITICS,SOCIETY&THINGS The future is now! 1 year ago RAY THE GREATEST HARD PRICE COMING SOON 3 years ago SHERIA NA MAVAZI 1 year ago SOPHIE'S CLUB Chanel bags 2 days ago SPOTI NA STAREHE Mpya toka kwake Celeo Scram akimshirikisha Deprick 1 year ago SteveLendmanBlog Theresa May's Snap Election Gambit Looking Ill-Conceived 16 hours ago STRICTLY GOSPEL New Eager Zebra game: Zackjack! 3 months ago SWAHILI TIME/CHEMI CHE MPONDA Kifaa cha Dijitali Kwawezesha WaKulima Wadogo Tanzania Kupata Fedha Pembeje na Mafunzo 21 hours ago U-MODO SWAHILI FASHION WEEK DAY 1 ASIA IDAROUS KHAMSIN 5 years ago UBUNTU PLATFORM 2 months ago UDADISI/CHAMBI CHACHAGE Kongamano la Kumbukizi ya Walter Rodney 1 day ago UTAMBUZI NA KUJITAMBUA Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwa mjamzito 5 months ago VUKANI KUMBE WAMAKONDE WANAOGOPA KUFA...! 4 years ago KUMBUKUMBU TAFUTA Subscribe to MTWARA KUMEKUCHA by Email Enter your email address: Delivered by FeedBurner PAKUA Posts Comments Powered By Blogger Technorati blog directory WALIOPITA KATIKA BLOGU HII Website counter Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
MTWARA KUMEKUCHA Mathaba Highlights Monday, February 4, 2013 UJINGA WA MWAFRIKA: MABABU ZETU WALIKUWA NA UDHURU SISI JE? Na M .M Mwanakijiji, Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri.... Posted by Baraka Mfunguo at Monday, February 04, 2013 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest No comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) Republic of Tanzania KUHUSU MIMI My photo Baraka Mfunguo Blogger View my complete profile FACE BOOK Baraka Mfunguo Baraka Mfunguo Create Your Badge WANAOFUATILIA BLOGU HII TOVUTI ZA SERIKALI BARAZA LA MITIHANI TANZANIA BENKI KUU YA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA CHUO KIKUU CHA ARDHI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA SOKOINE CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHUO KIKUU CHA TIBA MUHIMBILI CHUO KIKUU HURIA HOSPITALI YA RUFAA YA BUGANDO HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC HOSPITALI YA RUFAA YA MUHIMBILI MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA TANZANIA MTANDAONI TOVUTI YA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WIZARA YA ELIMU NA UFUNDI STADI WIZARA YA KILIMO WIZARA YA MAMBO YA NDANI WIZARA YA MAMBO YA NJE WIZARA YA MIUNDOMBINU WIZARA YA OFISI YA RAIS MENEJIMENTI UTUMISHI WA UMMA WIZARA YA SAYANSI TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU BALOZI ZA TANZANIA UGHAIBUNI UBALOZI WA TANZANIA ITALIA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI UBALOZI WA TANZANIA UINGEREZA HABARI ZA MTANDAONI AIR TANZANIA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI MAHESABU DADA SUBI DAR HOTWIRE DULLONET KAMPUNI YA SIMU TANZANIA KLH -NEWS MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR MUNISHI ONLINE MUSTAPHA HASSANALI-DESIGNER MWALIMU NYERERE FOUNDATION NELSON MANDELA FOUNDATION NIFAHAMISHE PAMBAZUKA NEWS PRECISION AIR -TANZANIA SAUTI YA MZEE MWANAKIJIJI TANESCO TANZANIA LIVE NEWS UTALII NA VIVUTIO VYA TANZANIA WAVUTI-HABARI ZANZINET/ZANZIBAR MAGAZETI YA TANZANIA DAILY NEWS DAR LEO IPP MEDIA KWANZA JAMII MAJIRA MWANA HALISI MWANANCHI RAIA MWEMA TANZANIA DAIMA THE CITIZEN THE EXPRESS THIS DAY WALIOPO SASA widget BLOGU MBALIMBALI ABDALLAH MRISHO KIKAO CHA BULEMBO NA WAJUMBE WILAYANI KIBONDO, CHAJAA MSISIMKO WA AINA YAKE, LEO 2 minutes ago adam lusekelo online 6 years ago AMANI MASUE ANGA LA MICHEZO Roman Abramovich APANIA KUIHAMISHA CHELSEA. 5 years ago BONGO CELEBRITY Tanzania’s New Inspector General Of Police (IGP) Sworn In 5 days ago BONGO PIX SHIBE INAPOUA KULIKO NJAA! OBESITY KILLS MORE PEOPLE THAN HUNGER 2 years ago CHARAHANI YALIYOJIRI BUNGENI LEO 2 days ago CUSH'Y FOOD/MAMISOSI bacon topped british turkey 4 years ago DA'MIJA Unamfahamu mwanamke wa kwanza kuingia katika baraza la mawaziri la tanzania? 11 years ago DINA MARIOS PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA VETERANI 2 years ago FASHION JUNKII We are Onsugar! 7 years ago FATHER KIDEVU KAMPUNI YA MOOVN DRIVER YAANZISHA APP YA HUDUMA YA USAFIRI JIJINI DAR ES SALAAM 1 day ago FIELD NEGRO CAPTION SATURDAY. 7 hours ago FOOD FOR THOUGHT CRATOR YA NGORONGORO YAPATA UMAARUFU ZAIDI BAADA YA CLOUDS 360 KURUSHWA MUBASHARA KUTOKA ENEO LA MITI MITATU. 1 month ago FREE THINKING UNABII Waliocheza hizi jiandaeni kustaafu 11 hours ago FROM BUTIAMA AND BEYOND This is my greatest fear of traveling 2 months ago FULL SHANGWE CSSC YAJIVUNIA MAFANIKIO ILIYOYAPATA KWA MIAKA 25 TANGU KUANZISHWA KWAKE 3 months ago GLOBAL PUBLISHERS IRINGA NA MATUKIO TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA MAHAFALI YA WANAVYUO WANA CCM MKOANI IRINGA 2 hours ago JAMII FORUMS JIACHIE KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 1 hour ago Kanumba The Great HAPPY 5TH ANNIVERSARY TMH,SAMBAMBA NA UZINDUZI WA DUKA/OFISI & TRAINING CENTER 5 years ago KARIBUNI NYASA MAENDELEO NI WATU. KIONGOZI NI KUONGOZA NJIA 2 years ago KIJIWENI NYEGERAGE Dini, Azaki, vyuo au wanasiasa wa kuikomboa tanzania? 2 years ago KISIMA CHA FIKRA KULIKONI UGHAIBUNI Missing You So Much Mama: Kumbukumbu Ya Miaka 9 Ya Kifo cha Marehemu Mama Chahali 6 days ago Kwa John Kitime | TANZANIAN ARTIST KINACHOENDELEA MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO. 2 days ago LADY JAY DEE lukwangule entertainment MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO 2 days ago MAISHA Christiano ronaldo amefungua Gym mpya 2 months ago MAISHA-RUHUWIKO LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KIJANA WETU ERIK..HONGERA 1 day ago MAKULILO Jr UANDISHI WA RESUME NA CV KATIKA UOMBAJI UDHAMINI NA KAZI 3 months ago MATONDO HATA HUKU "MAJUU" WAPO !!! 5 years ago Mbele Memories of the 2017 World Festival, Rochester 3 weeks ago MICHUZI KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 2 hours ago MITIKI -KILIMO KWANZA NAFASI YA KAZI - TANZANIA ASSOCIATION OF PIG FARMERS (TAPIFA) 2 days ago MTAA KWA MTAA MAKAMU WA RAIS AWASILI BUTIAMA, ATEMBELEA KABULI LA BABA WA TAIFA 16 hours ago Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI Cheka nuna. 3 years ago MTANGAZAJI NYARUGUSU:KWAYA YA VIJANA NYARUGUSU WAREKODI VIDEO YAO MPYA NA JCB STUDIOZ YA JIJINI DAR ES SALAAM 4 days ago mwananchi mimi! Pilika za maisha 1 year ago MWANASOSHOLOJIA Utenzi wa Da' Gloria 4 years ago MZEE WA CHANGAMOTO Mahojiano na Dj D - Ommy ndani ya Kilimanjaro Studios U.S.A 2 months ago MZEE WA SUMO/MPOKI CCM AMA CHADEMA WAKOROFI? 4 years ago NDIMARA FURSA ILIYOPOTEA? 1 year ago NGURUMO Kwa heri Asiimwe, Malaika wangu 2 years ago NUKTA 77/DADA SUBI International Research Funding, Early-Career Faculty and Graduate Students Interested in Maternal Health Literacy 5 hours ago PASSION FOR FASHION RED CARPET..... 4 years ago POETRY WHERE YOU LIVE each story is different – v2 9 hours ago POLITICS,SOCIETY&THINGS The future is now! 1 year ago RAY THE GREATEST HARD PRICE COMING SOON 3 years ago SHERIA NA MAVAZI 1 year ago SOPHIE'S CLUB Chanel bags 2 days ago SPOTI NA STAREHE Mpya toka kwake Celeo Scram akimshirikisha Deprick 1 year ago SteveLendmanBlog Theresa May's Snap Election Gambit Looking Ill-Conceived 16 hours ago STRICTLY GOSPEL New Eager Zebra game: Zackjack! 3 months ago SWAHILI TIME/CHEMI CHE MPONDA Kifaa cha Dijitali Kwawezesha WaKulima Wadogo Tanzania Kupata Fedha Pembeje na Mafunzo 21 hours ago U-MODO SWAHILI FASHION WEEK DAY 1 ASIA IDAROUS KHAMSIN 5 years ago UBUNTU PLATFORM 2 months ago UDADISI/CHAMBI CHACHAGE Kongamano la Kumbukizi ya Walter Rodney 1 day ago UTAMBUZI NA KUJITAMBUA Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwa mjamzito 5 months ago VUKANI KUMBE WAMAKONDE WANAOGOPA KUFA...! 4 years ago KUMBUKUMBU TAFUTA Subscribe to MTWARA KUMEKUCHA by Email Enter your email address: Delivered by FeedBurner PAKUA Posts Comments Powered By Blogger Technorati blog directory WALIOPITA KATIKA BLOGU HII Website counter Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
 
MTWARA KUMEKUCHA Mathaba Highlights Monday, February 4, 2013 UJINGA WA MWAFRIKA: MABABU ZETU WALIKUWA NA UDHURU SISI JE? Na M .M Mwanakijiji, Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri.... Posted by Baraka Mfunguo at Monday, February 04, 2013 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest No comments: Post a Comment Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) Republic of Tanzania KUHUSU MIMI My photo Baraka Mfunguo Blogger View my complete profile FACE BOOK Baraka Mfunguo Baraka Mfunguo Create Your Badge WANAOFUATILIA BLOGU HII TOVUTI ZA SERIKALI BARAZA LA MITIHANI TANZANIA BENKI KUU YA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA CHUO KIKUU CHA ARDHI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA SOKOINE CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHUO KIKUU CHA TIBA MUHIMBILI CHUO KIKUU HURIA HOSPITALI YA RUFAA YA BUGANDO HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC HOSPITALI YA RUFAA YA MUHIMBILI MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA TANZANIA MTANDAONI TOVUTI YA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WIZARA YA ELIMU NA UFUNDI STADI WIZARA YA KILIMO WIZARA YA MAMBO YA NDANI WIZARA YA MAMBO YA NJE WIZARA YA MIUNDOMBINU WIZARA YA OFISI YA RAIS MENEJIMENTI UTUMISHI WA UMMA WIZARA YA SAYANSI TEKNOLOJIA NA ELIMU YA JUU BALOZI ZA TANZANIA UGHAIBUNI UBALOZI WA TANZANIA ITALIA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI UBALOZI WA TANZANIA UINGEREZA HABARI ZA MTANDAONI AIR TANZANIA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI MAHESABU DADA SUBI DAR HOTWIRE DULLONET KAMPUNI YA SIMU TANZANIA KLH -NEWS MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR MUNISHI ONLINE MUSTAPHA HASSANALI-DESIGNER MWALIMU NYERERE FOUNDATION NELSON MANDELA FOUNDATION NIFAHAMISHE PAMBAZUKA NEWS PRECISION AIR -TANZANIA SAUTI YA MZEE MWANAKIJIJI TANESCO TANZANIA LIVE NEWS UTALII NA VIVUTIO VYA TANZANIA WAVUTI-HABARI ZANZINET/ZANZIBAR MAGAZETI YA TANZANIA DAILY NEWS DAR LEO IPP MEDIA KWANZA JAMII MAJIRA MWANA HALISI MWANANCHI RAIA MWEMA TANZANIA DAIMA THE CITIZEN THE EXPRESS THIS DAY WALIOPO SASA widget BLOGU MBALIMBALI ABDALLAH MRISHO KIKAO CHA BULEMBO NA WAJUMBE WILAYANI KIBONDO, CHAJAA MSISIMKO WA AINA YAKE, LEO 2 minutes ago adam lusekelo online 6 years ago AMANI MASUE ANGA LA MICHEZO Roman Abramovich APANIA KUIHAMISHA CHELSEA. 5 years ago BONGO CELEBRITY Tanzania’s New Inspector General Of Police (IGP) Sworn In 5 days ago BONGO PIX SHIBE INAPOUA KULIKO NJAA! OBESITY KILLS MORE PEOPLE THAN HUNGER 2 years ago CHARAHANI YALIYOJIRI BUNGENI LEO 2 days ago CUSH'Y FOOD/MAMISOSI bacon topped british turkey 4 years ago DA'MIJA Unamfahamu mwanamke wa kwanza kuingia katika baraza la mawaziri la tanzania? 11 years ago DINA MARIOS PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA VETERANI 2 years ago FASHION JUNKII We are Onsugar! 7 years ago FATHER KIDEVU KAMPUNI YA MOOVN DRIVER YAANZISHA APP YA HUDUMA YA USAFIRI JIJINI DAR ES SALAAM 1 day ago FIELD NEGRO CAPTION SATURDAY. 7 hours ago FOOD FOR THOUGHT CRATOR YA NGORONGORO YAPATA UMAARUFU ZAIDI BAADA YA CLOUDS 360 KURUSHWA MUBASHARA KUTOKA ENEO LA MITI MITATU. 1 month ago FREE THINKING UNABII Waliocheza hizi jiandaeni kustaafu 11 hours ago FROM BUTIAMA AND BEYOND This is my greatest fear of traveling 2 months ago FULL SHANGWE CSSC YAJIVUNIA MAFANIKIO ILIYOYAPATA KWA MIAKA 25 TANGU KUANZISHWA KWAKE 3 months ago GLOBAL PUBLISHERS IRINGA NA MATUKIO TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA MAHAFALI YA WANAVYUO WANA CCM MKOANI IRINGA 2 hours ago JAMII FORUMS JIACHIE KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 1 hour ago Kanumba The Great HAPPY 5TH ANNIVERSARY TMH,SAMBAMBA NA UZINDUZI WA DUKA/OFISI & TRAINING CENTER 5 years ago KARIBUNI NYASA MAENDELEO NI WATU. KIONGOZI NI KUONGOZA NJIA 2 years ago KIJIWENI NYEGERAGE Dini, Azaki, vyuo au wanasiasa wa kuikomboa tanzania? 2 years ago KISIMA CHA FIKRA KULIKONI UGHAIBUNI Missing You So Much Mama: Kumbukumbu Ya Miaka 9 Ya Kifo cha Marehemu Mama Chahali 6 days ago Kwa John Kitime | TANZANIAN ARTIST KINACHOENDELEA MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO. 2 days ago LADY JAY DEE lukwangule entertainment MSIBA WA MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI PHILEMONI NDESAMBURO 2 days ago MAISHA Christiano ronaldo amefungua Gym mpya 2 months ago MAISHA-RUHUWIKO LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KIJANA WETU ERIK..HONGERA 1 day ago MAKULILO Jr UANDISHI WA RESUME NA CV KATIKA UOMBAJI UDHAMINI NA KAZI 3 months ago MATONDO HATA HUKU "MAJUU" WAPO !!! 5 years ago Mbele Memories of the 2017 World Festival, Rochester 3 weeks ago MICHUZI KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA DC WA MISUNGWI 2 hours ago MITIKI -KILIMO KWANZA NAFASI YA KAZI - TANZANIA ASSOCIATION OF PIG FARMERS (TAPIFA) 2 days ago MTAA KWA MTAA MAKAMU WA RAIS AWASILI BUTIAMA, ATEMBELEA KABULI LA BABA WA TAIFA 16 hours ago Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI Cheka nuna. 3 years ago MTANGAZAJI NYARUGUSU:KWAYA YA VIJANA NYARUGUSU WAREKODI VIDEO YAO MPYA NA JCB STUDIOZ YA JIJINI DAR ES SALAAM 4 days ago mwananchi mimi! Pilika za maisha 1 year ago MWANASOSHOLOJIA Utenzi wa Da' Gloria 4 years ago MZEE WA CHANGAMOTO Mahojiano na Dj D - Ommy ndani ya Kilimanjaro Studios U.S.A 2 months ago MZEE WA SUMO/MPOKI CCM AMA CHADEMA WAKOROFI? 4 years ago NDIMARA FURSA ILIYOPOTEA? 1 year ago NGURUMO Kwa heri Asiimwe, Malaika wangu 2 years ago NUKTA 77/DADA SUBI International Research Funding, Early-Career Faculty and Graduate Students Interested in Maternal Health Literacy 5 hours ago PASSION FOR FASHION RED CARPET..... 4 years ago POETRY WHERE YOU LIVE each story is different – v2 9 hours ago POLITICS,SOCIETY&THINGS The future is now! 1 year ago RAY THE GREATEST HARD PRICE COMING SOON 3 years ago SHERIA NA MAVAZI 1 year ago SOPHIE'S CLUB Chanel bags 2 days ago SPOTI NA STAREHE Mpya toka kwake Celeo Scram akimshirikisha Deprick 1 year ago SteveLendmanBlog Theresa May's Snap Election Gambit Looking Ill-Conceived 16 hours ago STRICTLY GOSPEL New Eager Zebra game: Zackjack! 3 months ago SWAHILI TIME/CHEMI CHE MPONDA Kifaa cha Dijitali Kwawezesha WaKulima Wadogo Tanzania Kupata Fedha Pembeje na Mafunzo 21 hours ago U-MODO SWAHILI FASHION WEEK DAY 1 ASIA IDAROUS KHAMSIN 5 years ago UBUNTU PLATFORM 2 months ago UDADISI/CHAMBI CHACHAGE Kongamano la Kumbukizi ya Walter Rodney 1 day ago UTAMBUZI NA KUJITAMBUA Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwa mjamzito 5 months ago VUKANI KUMBE WAMAKONDE WANAOGOPA KUFA...! 4 years ago KUMBUKUMBU TAFUTA Subscribe to MTWARA KUMEKUCHA by Email Enter your email address: Delivered by FeedBurner PAKUA Posts Comments Powered By Blogger Technorati blog directory WALIOPITA KATIKA BLOGU HII Website counter Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri...

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap
Kwa wale wenzangu na miye watavikumbuka vizuri "Mfululizo" wa vitabu vya "Ujinga wa Mwafrika". Vitabu hivi vilikuwa kwa muda mrefu sehemu ya simulizi la "Mazungumzo Baada ya Habari" na vilisimulia hadithi fulani ya maisha wakati wa ukoloni au baada ya ukoloni na jinsi gani Waafrika tulikuwa hatujui vitu vya wageni na hivyo tulijikuta tunafanya vitu ambavyo baadaye tukivifikiria tunacheka. Lakini mojawapo ya vitu ambavyo vinatokana na somo hilo ni habari ya jinsi gani mababu zetu walivyoweza kuuza utajiri wa ardhi yao kwa wafanyabishara ya ukoloni ambao kinara wao alikuwa Carl Peters (Mkono wa Damu)- Mjerumani. Sasa Carl Peters ndiye kwa kiasi kikubwa alisababisha Ujerumani itafute makoloni Afrika na alifanya hivyo baada ya kuona Waingereza na Wabelgiji (Chini ya Mfalme Leopold II) wakitanua maeneo ya mamlaka yao. Carl Peters alipokuja maeneo haya ya Tanganyika enzi hizo alijileta kama Mwakilishi wa Ujerumani na akabuni mikataba mbalimbali ambayo aliingia na machifu na watawala mbaalimbali (akiwemo Sultani wa Zanzibar na Kabaka Mwanga wa Uganda) na alifanya mikataba hiyo kwa niaba ya kampuni aliyoiunda ya German East African Company (mliosoma historia mtaikumbuka). Mojawapo ya mikataba hiyo ule maarufu wa Chifu Mangungo wa Usagara na mingine mingi. Katika mikataba yote hiyo machifu walikuwa wanakubali kuyaachilia maeneo ya ardhi yao kuwa chini ya ulinzi wa Mjerumani na kutumiwa kwa faida ya Mjerumani kwa milele yote. Wengi tunafahamu kuwa wazee hawa walikubali kwa sababu moja kubwa walikuwa hawajui kilichomo kwenye mikataba hiyo na hivyo hata walipokuja kugundua kuwa wameuza ardi yao "mikataba" ile ilikuwa halali na Ujerumani ilikuwa tayari kuhakikisha inasimama hata kwa vita (Kilimanjaro ni mfano mmoja wapo). Mikataba hii ilifichwa kwa wenyewe na ilifanywa na watawala wao; wakulima na wanakijiji wengine hawakujua kuwa machifu wao wameuza ardhi yao. Na hata kama wangetaka kujua wasingeweza kujua kwani mikataba ilikuwa ni siri kati ya watawala na kampuni hiyo ya kigeni. Na hivyo ndivyo kihistoria eneo ambalo baadaye lilikuja kujulikana kama Tanganyika lilivyoangukia mikononi mwa Ujerumani - hii ilijumuisha Rwanda na Burundi. Hii ilibadilika baada ya vita ya kwanza ya dunia ambapo Tanganyika ikawekwa chini ya uangalizi wa Umoja wa Mataifa kupitia Uingereza. Mjerumani kwa kutumia kampuni ya GEAC kujenga reli, kuanzisha mashamba ya katani, pamba n.k na vyote hivi vilifanywa si kwa ajili ya kuwanufaisha wazawa au wananchi bali hatima yake mazao yanayopatikana yapelekwe Ujerumani kuwa malighafi katika viwanda vyao na zile nyingine za kuuzwa sehemu nyingine kuwa chanzo cha mapato kwa Ujerumani. Wananchi hawakuwa na uchaguzi wowote wa nini kinapandwa, nani anasimamia na hata hawakuwa na uamuzi juu ya matumizi ya faida ambayo Mjerumani alikuwa anapata. Hapa ndipo ulipokuwa Ujinga wa Mwafrika. Sasa ujinga si ugonjwa au tusi; ujinga ni hali ya kutokujua (ignorance). Mtu aliye mjinga akijuzwa anaerevuka na ujinga humtoka katika lile jambo ambalo alikuwa halijui. Na kila mwanadamu ana ujinga wa aina fulani na hivyo katika maisha yote anatakiwa awe tayari kujifunza. Lakini kwenye eneo ambalo ufahamu upo tayari na unapatikana mtu hatakiwi kuendelea kuwa mjinga. Ujinga wa aina hiyo ambao mtu anauchagua ndio huitwa upumbavu au wengine wanaitwa ujuha kwani ni mtu ambaye hata akijuzwa hajui na hawezi kujua kwa sababu hayuko tayari kujua! Leo hii watawala wetu wametuambia mikataba ni siri na kuwa mikataba hiyo ikiwekwa wazi basi wawekezaji wanaweza kukimbia na kuwa mikataba hiyo ni siri kati ya 'serikali na wawekezaji' hata kama inahusu ardhi ya umma na mali umma. Ujinga ni kuwa tumekubali kuwa hilo ni kweli! Na ujinga zaidi ni kuwa watawala wetu wanaingia mikataba na wanaamini ni vizuri kuifanya siri na hivyo hatujui nini kilichomo. Mkataba ule wa Carl Peters na Chief Mangungo ulikuwa na kipengele kinachosema kuwa ardhi hiyo ingeweza kutumiwa "exclusively" kwa matumizi ya Mjerumani. Kwanini nimesema hili.... Well, mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kati ya Kampuni ya Kichina na serikali (Chief Mangugu wa leo) una kipengele kinachosema kuwa sehemu ya gesi ambayo itakuwa inachimbwa huko itauzwa kwa China. Hivyo Wachina wamehakikishiwa gesi ya Mtwara na kutokana na ujuzi wa mtu aliyenisimulia hili na ameona mkatbaa huo anasema Wachina wamehakikishiwa kwa asilimia... Na sisi tumekubali, Wabunge wamekubali Mikataba siri....

Cheap Offers: http://bit.ly/gadgets_cheap