Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 5, 2017

Korea Kusini imewaongezea fedha wale wanaokimbia Korea Kaskazini hadi dola 860,000

Mpaka kati ya Korea Kaskazini na Kusini ni moja ya maeneo yenye ulinzi wa juu zaidi duniani
Korea kusini imeidhinisha nyongeza ya fedha inazotoa kama malipo kwa watu wanaoasi uraia wao kutoka nchi jirani ya Korea Kaskazini,kwa lengo la kupata habari muhimu za kujasusi.
Hatua hiyo pia ina walenga wanajeshi wanaovuka mpaka wakiwa na zana za kijeshi.
Waasi waliyo na taarifa muhimu itakayo saidia kuimarisha usalama wa Korea Kusini, watapokea,fedha ya hadi dola 860,000
Wizara ya masuala ya muungano imesema, sheria hiyo mpya, itaongeza ruzuku ya vifaa vitakavyo ingizwa nchini humo na waasi hao.
Vifaa hivyo ni kama vile meli na karakana ya kijeshi.
Hii ni mara ya kwanza kwa nyongeza kama hiyo kutolewa katika kipindi cha miaka ishirini.
Lengo la hatua hiyo ni wazi kuwa, Korea Kusini inataka kuongeza idadi ya watu wanaobadilisha uraia wa Korea kaskazini kujiunga nayo.
Serikali ya Korea Kaskazini bado haijatoa tamko lolote juu ya hatua hiyo ya Korea Kusini.

Related Posts:

  • A Call to Arms As another Mother’s Day rolls around, we find ourselves floating in a sea of sentimental, loving, and sweet words on the things that mothers do for us. It is good to recognize, appreciate, and honor all of that, but it is … Read More
  • 4 Causes of Discouragement, and 4 Cures Discouragement is unique to human beings, and it’s universal. Eventually everyone feels it, including those in ministry. I have no doubt you’ve experienced discouragement at times. You might even be discouraged as you rea… Read More
  • Why Christians Must Be Contentious Christians are, in many respects, both-and people. We live much of life in this age in a God-designed tension. We must learn how to both encourage one another (1 Thessalonians 5:11) and rebuke… Read More
  • A Bruised Reed He Will Not Break It was one of the goriest things I’ve seen on television. There was blood everywhere and visible agony. It wasn’t Game of Thrones, but a BBC natural history program, and the protagonist was a crocodile. Its victim was… Read More
  • Hope for the Unhappy Christian On the outside, Chloe appears to have it all together. She is single, has a career, and is fairly active in her local church. But she’s lonely, disenchanted by her career, and feels detached from her church. The shell that… Read More