Recent Posts

PropellerAds

Thursday, March 2, 2017

Afya ya rais Robert Mugabe yadhoofika

Zimbabwe
Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe ameenda Singapore kufanya vipimo vya Afya yake, siku chache baada ya sherehe ya kufikisha miaka 93.
Mugabe amekua dhaifu zaidi, na sasa anapata shida hata kutembea wakati wa matukio mbalimbali ya kitaifa.
Msemaji wa rais huyo alisema kuwa vipimo hivyo ni vya mara kwa mara na Rais anatarajiwa kurejea nchini Zimbabwe wiki ijayo.
Mugabe ni kiongozi mwenye umri mkubwa zaidi duniani, aliingia madarakani mnamo mwaka 1980. 

Related Posts:

  • Tanzania kuimarisha biashara na Uganda Serikali ya Tanzania imesema kuwa itaimarisha biashara yake na Uganda kwa lengo la kuinua uchumi wa raia wa mataifa hayo mawili. Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa tayari Tanzania imeanza kutekeleza miradi … Read More
  • Mbona bado kuna njaa duniani? Umoja wa Mataifa umetangaza njaa sehemu kadha nchini Sudan Kusini, ambayo ni ya kwanza kutangazwa popote pale duniani katika kipindi cha miaka sita. Pia kuna onyo la kutokea njaa kaskazini mashariki mwa Nigeia, Somalia … Read More
  • Tumbili 57 wauawa kwa sababu ya ubaguzi Japan Hifadhi moja wa wanyama ambayo ni ya kuwahifadhi tumbili wa barafu imewaua tumbili 57, ambao ilikuwa ikiwahifadhi baada ya kugundua kuwa nyani hao walikuwa na maumbile ya kijenetiki ya familia tofauti . Hifadhi hiyo ya T… Read More
  • Wabunge waidhinisha kilimo cha bangi Uholanzi Bunge la chini nchini Uholanzi limeidhinisha kuhalalishwa kwa kilimo cha bangi. Mswada huo ulioidhinishwa, utawakinga wakulima wa bangi ambao wanatimiza masharti fulani dhidi ya kuadhibiwa. Mswada huo bado haujaidhinishwa k… Read More
  • Polisi Tanzania wazuiwa kumkamata MboweMahakama Kuu jijini Dar es Salaam imewaamuru maafisa wa polisi kutomkamata Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe, hadi Ijumaa. Bw Mbowe alikuwa amefika katika mahaka… Read More