Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 5, 2017

kwa nini nyanya ni maarufu zaidi duniani?

Nyanya
Ikiwa ungeulizwa kutaja tunda bora zaid duniani , labda nyanya haitakuwa akilini mwako. Lakini unalolihitaji kulifahamu ni kuwa nyanya huzalishwa kwa wingi zaidi duniani kuliko tunda lolote lile.
Baadhi ya watu hudai kuwa tunda la embe ndilo maarufu zaidi duniani kwa misingi kuwa linaliwa kwenye nchi nyingi zaidi kuliko tunda lolote lile.
Lakini ikiwa utapima umaarufu kwa uzalishaji kote duniani, embe liko nyuma ya tufaa nahata ndizi.
Kuna zaidi ya tani 100 za ndizi ambazo huzalishwa kila mwaka huku India ikiwa ndizo mzalishaji mkuu.
 Shereha za La Tomatina
Nyanya inaweza kuliwa bia kupikwa au kwa kupikwa. Huku tani 170 za nyanya zikizalishwa kila mwaka, nyanya imeibiku hata ndizi.
Wengi huchukulia nyanya kama mboga lakini ukweli ni kwamba nyaya na tunda kwa sababu ina mbegu hali ambayo huiweka katika familia ya tunda.
Kuna zaidi ya aina 20,000 ya nyanya duniani.
La Tomatina ni sherehe ambazo huandaliwa kila mwaka kwenye mji mdogo wa uhispania wa Bunol.
Wakati wa sherehe hizo karibu watu 40,000 hurushiana nyanya.

Related Posts:

  • You reap what you sow, more than you sow, and later than you sow.   Today is the father of tomorrow. What we are today is the result of what we have been thinking and the way we have lived in the past. Those who act wisely today will have wisdom in the future to make wise decision… Read More
  • Zawadi kuu Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
  • You Reap What You Sow   2 Corinthians 9:6 - "Remember this: Whoever sows sparingly will also reap sparingly, and whoever sows generously will also reap generously"  You have likely heard this famous verse from the Bible at some point … Read More
  • Five More Ways to Enjoy God’s Word When you hold a Bible in your hands, you are holding one of the most precious objects imaginable. No antique or priceless artifact, no famous piece of art or giant diamond is more precious than whatever medium communicate… Read More
  • Does Church Feel Unsafe? By Christina Miller "Now, you shepherds, listen to what I, the LORD, am telling you." Ezekiel 34:7 delivers a hard message to the leaders of Israel. In the midst of their neglect and abuse, God spoke. Loudly. "As surely… Read More