Recent Posts

PropellerAds

Thursday, March 2, 2017

Panya asababisha safari ya ndege kuchelewa Uingereza

Panya asababisha safari ya ndege kuchelewa Uingereza
Safari ya ndege kutoka uwanja wa Heathrow hadi San Francisco, ilichelewa kwa saa kadhaa baada ya panya kuonekana ndani ya ndege.
Abiria waliokuwa wakisafiri kwa ndege hiyo ya shirika la Uingereza, walikuwa tayari wameingia ndani ya ndege hiyo wakati lilitolewa tangazo kuwa ingechelewa.
Carly, ambaye alikuwa ndani ya ndege, alisema kuwa mhudumu alitangaza, "walisema kitu kisicho cha kwaida kimetokea"


panya
Kisha mhudumu huyo akasema wameambiwa ndege nyingine imepatikana lakini abiria wangesubiri saa kadhaa ili kuanza safari.
Kisha safari nyingine ikaanza saa nne baadaye.
Shirika la ndege la Uingereza lilisema; "Tunaelewa kuwa karibu kila mtu anataka kusafiri nasi hadi San Francisco, lakini wakati huu kulikuwa na mteja mdogo ambaye lazima tungemtoa.
"Kila mmoja aliye na miguu miwili kwa sasa yuko safarini kuenda California, na tunaomba radhi kwa kuchelewa."

Related Posts:

  • Miaka 90 jela kwa kunajisi wanafunziMwalimu mmoja wa shule ya msingi katika eneo la kati nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka 90 jela kwa kuwanajisi wanafunzi wake. Hii ni moja kati ya vifungo vya muda mrefu zaidi kuwahi kutolewa kwa watu wanaodhulumu wa… Read More
  • HERE ARE THE 100 BEST EDUCATION INFOGRAPHICS “Education is the most powerful weapon which you can use to change the world.”–Nelson Mandela With the world around us ever-changing, education is now more important than ever. Beginning as early as prehistory as a means to… Read More
  • Philadelphia na kodi ya vinywaji Katika mji wa Philadelphia nchini Marekani wameanza kutoza kodi ya vinywaji vyenye sukari na kaboni licha ya kuwepo kwa mamilioni ya kampeni zilizofanywa na kampuni za vinywaji baridi kutaka kufungwa. Meya wa demokrasia ya … Read More
  • Mkewe Obama amtambua mbunifu kutoka KenyaMkewe rais wa Marekani Michelle Obama amemsifu mjasiria mali kutoka Kenya mwanzilishi wa kampuni inayotengeza biadhaa za watoto bi Wanjiru Waithaka Waweru. Katika dhifa ya jioni iliyoandaliwa kwa heshma ya wanawake bi Wanjir… Read More
  • TZ yataka uzoefu wa Qatar sekta ya gesiRais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa taifa lake linakusudia kufanya biashara na jamhuri ya Qatar haswa katika sekta ya gesi na usafiri wa ndege. Rais Magufuli aliyasema hayo baada ya kukutana na balozi wa Q… Read More