Recent Posts

PropellerAds

Thursday, January 19, 2017

Shambulizi la Libya limeua washukiwa nane

Waziri wa ulinzi wa Marekani Ashton Carter, amesema shambulizi la anga lililowalenga wapiganaji wa kiislamu nchini Libya limeuwa zaidi ya washukiwa nane.
Shambulizi hilo lilitekelezwa na mpiga shaba wa umbali mrefu wa Marekani likielekezwa katika vikundi viwili vya wapiganaji wa kiislamu siku ya Jumatano, katika eneo la jangwa Kusini Magharibi mwa Pwani ya Mji wa Sirte.
Bwana Carter amesema wengi wa waliofariki inaaminika kuwa walikuwa washambuliaji wa mara kwa mara huko Ulaya.
Maafisa wamearifu kuwa shambulizi hilo la anga, lilitekelezwa kwa ushirikiano na serikali ya Libya chini ya Mkataba wa Kitaifa wa Tripoli.

Related Posts:

  • CHANZO CHA MAUMIVU YA TUMBO MARA KWA MARA! Maumivu ya tumbo. MAUMIVU ya tumbo ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mkubwa au mdogo. Maumivu haya husumbua kwani huwa hayaishi, yaani yanatulia kwa muda flani na kurudi tena, aina hii ya ma… Read More
  • Malaria ni nini? Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vinavyojulikana kama Plasmodium ambavyo huenezwa na mbu jike aina ya anopheles. Dalili za malaria isiyo kali Homa,maumivu ya kichwa Maumivu ya mwili Tumbo kuuma,kuharisha Kichefu… Read More
  • What’s Wrong with Me? Since Charles Spurgeon’s passing in 1892, he continues to profoundly influence the church and her leaders. Today, Spurgeon is one of the most read Christian authors, living or dead. Between his volumes of sermons, commenta… Read More
  • Pray for Bahrain's Migrant Workers to be Healed by God's Word Bahrain has a population of 1.3 million people, 60 percent of whom are migrant workers. Most of these migrant workers come from India, Sri Lanka, Nepal, Pakistan, Bangladesh, and surrounding South Asian nations. They ente… Read More
  • Let God’s Promises Pour Over Your Soul Right there on the front pew — or back there fifty minutes ago or whatever it was — I recite the promise. Even if the biblical wording is not an I or thou kind of situation, I turn it into that so that … Read More