Recent Posts

PropellerAds

Thursday, January 26, 2017

bandari ya Dar es salam kupanuliwa kwa gharama ya $ 305.

Tanzania inasema kuwa itapokea dola
milioni 305 kama mkopo kutoka kwa Benki
ya Dunia, kugharamia upanuzi wa bandari
kwenye mji wa Dar es Salaam.
Bandari hiyo ndiyo inaunganisha mataifa ya
Afrika ambayo hayapakani na bahari
yakiwemo Zambia, Rwanda, Malawi, Burundi
na Uganda na pia eneo la mashariki mwa
Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Benki ya Dunia ilisema katika ripoti ya
mwaka 2014 kwa matatizo kwenye bandari
ya Dar es Salaam yalikuwa yakiigharimu
Tanzania na majirani zake hadi dola milioni
2.6 kila mwaka.

Related Posts:

  • An Attitude of ThanksgivingGive thanks to the God of gods,for his steadfast love endures forever. Give thanks to the Lord of lords,for his steadfast love endures forever;We thank God for who He is.This psalm uses the holy Triune structure to prais… Read More
  • Mtoto ni nani?  Mtoto ni nani?  Sheria na mikataba mbalimbali inayozungumzia huduma na haki za mtoto, inamtambulisha mtoto kama mtu yeyote mwenye umri wa miaka chini ya 18. Hata hivyo, kutumia umri kama msingi wa tafsiri ya u… Read More
  • Four Steps to Rebuild Trust Trust is essential. According to one researcher, trust is the cornerstone of every relationship. But how do we become trustworthy? And how do we regain trust in someone when they’ve done something to betray our trust? As… Read More
  • God Is Near The familiar word “Near” (or some form of it) appears often in the Scriptures. For example, on a particular occasion the apostle John (the disciple whom Jesus loved) was standing nearby when Jesus was talking to His mother… Read More
  • Marriage: God’s Showcase of Covenant-Keeping Grace What we have seen in the last two weeks is that the most foundational thing you can say about marriage is that it is the doing of God, and the most ultimate thing you can say about marriage is that it is for the … Read More