Recent Posts

PropellerAds

Monday, January 30, 2017

Morocco yarudi katika Umoja wa Afrika AU

Ramani ya Morocco
Viongozi wa umoja wa Afrika wameamua kuirudisha Morocco katika shirika la Umoja wa Afrika AU zaidi ya miongo mitatu baada ya taifa hilo la ufalme wa Afrika Kaskazini kujiondoa katika AU kufuatia mgogoro wa eneo la Sahara magharibi.
Shirika hilo linatambui Sahara ya Magharibi kuwa jimbo huru, lakini Morrocco inasema kuwa eneo hilo ni mkoa wake wa kusini.
Morocco imepigania mpango wake wa kutaka kujiunga tena na Umoja wa Afrika mwaka uliopita.
Eneo la Sahara ya Magharibi linaendelea kuwa eneo tata ,lakini viongozi wengi wa Afrika walipiga kura kuikubali Morrocco kurudi katika Umoja wa Afrika.

Related Posts:

  • Marcus Vipsanius AgrippaMarcus Vipsanius Agrippa (/əˈɡrɪpə/; 64/62 BC – 12 BC) was a Roman consul, statesman, general and architect.[2] He was a close friend, son-in-law, and lieutenant to Octavian and was responsible for the construction of some o… Read More
  • Kaburi la mwana wa Pharaoh lapatikana Misri Kaburi la miaka 3,700 la mwana wa kike wa Pharaoh linaamika kupatikana karibu na mabaki ya piramidi iliogunduliwa Misri. Wizara ya mambo ya kale imesema kuwa kaburi hilo lililopo katika eneo la kifalme la Dahshur Kusini … Read More
  • The Horror of Human Embryo Jewelry Some of the strangest news I’ve ever seen came across my screen this week. A company in Australia is turning frozen embryo children into jewelry for their parents to wear. Previously Baby Bee Hummingbirds had been making j… Read More
  • Kiwanda kinachotengeneza bia kwa kutumia mkojo Denmark Kiwanda kimoja cha pombe nchini Denmark kimetengeneza bia mpya kwa kutumia shayiri ambayo imekuzwa kwa kutumia lita 50,000 za mkojo. Kampuni ya Norrebro Bryghus inayomiliki kiwanda hicho hata hivyo imesema bia hiyo haita… Read More
  • Love Yourself Less This will date me: the year I graduated from high school, Foreigner released its pop megahit, “I Want to Know What Love Is.” This quintessential 80’s power ballad went platinum, not because of its vague, incoherent vers… Read More