Recent Posts

PropellerAds

Thursday, January 26, 2017

WATU 14 WAFUKIWA NA KIFUSI MGODINI MKOANI GEITA

Watu 14 wamefukiwa na kifusi katika
mgodi Kaskazini Magharibi mwa Tanzania
walipokuwa wakiendela na shughuli zao za
uchimbaji madini.
Tukio hilo lililotokea leo kwenye mgodi
dhahabu wa RZ katika Kata ya Nyarugusu
mkoani Geita unaomilikiwa na Kampuni ya
China limepelekea watu 14 akiwemo raia
mmoja wa China kufukiwa na kifusi umbali
wa mita 38 (124ft) ardhini.
Zoezi la uokoaji bado zinaendelea na kwa
taarifa za awali ni kuwa mfumo wa
kuingiza hewa ndani ya mgodi huo tayari
imerekebishwa.
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Ezekiel Kyunga
alisema kuwa wanaamini kuwa watu hao
watakuwa bado wapo hai na watafanikiwa
kuwaokoa kwa wakati.

Related Posts:

  • Seven Ways to Quench the Spirit If the apostle Paul himself had not warned us about quenching the Spirit, who among us would have thought it was possible (1 Thessalonians 5:19–22)? To suggest that the omnipotent Spirit of God could ever be quenched, and … Read More
  • The Link Between God’s Love for Us and Ours for Others This morning I ask the question: What is the link between God’s love for us and our love for others? This is a transitional message in the series on “The Greatest of These Is Love”. For four weeks we have been talkin… Read More
  • Loving Difficult People It was only a three-minute escape. Listening to my name being chanted over and over, louder and louder, with greater urgency, along with pounding on the door, you might imagine me to be a rock star. But in reality, I’m th… Read More
  • How to Pray in the Holy Spirit I spent five years immersing myself in the sermons of Martyn Lloyd-Jones. It was truly a transformative season in my life. What was the biggest takeaway? The answer may surprise you. He taught me how to pray. “We must com… Read More
  • You Have a Responsibility to Receive Suppose I’m hungry for a greater portion of peace, a greater portion of tenderness, a greater portion of kindness, a greater portion of sweet enjoyment of Jesus with total authenticity and not watching myself enjoy but just … Read More