Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, January 25, 2017

Al-Shabab washambulia hoteli Mogadishu

Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa
wanachama wa al-Shabab wameshambulia
hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia
Mogadishu.
Watu hao wenye silaha wameingia kwenye
hoteli hiyo baada ya kulipuliwa kwa mabomu
mawili kwenye lango la kuingia kwenye hoteli
hiyo.
Kapteni Mohamed Hussein wa kikosi cha
polisi nchini humo ameambia wanahabari
kwamba watu wengi, wakiwemo wanasiasa
walikuwa kwenye hoteli hiyo ya Dayah.
Amesema ufyatulianaji mkali wa risasi bado
unaendelea ndani ya hoteli hiyo.
Idadi kamili ya waliouawa pamoja na
majeruhi haijabainika.
Kundi la al-Shabab limekiri kuhusika.

Related Posts:

  • Kufikiri vizuri kumenifikisha hapa  Makala hii ni miongoni mwa makala za hayati Munga Tehenan, zilizowahi kutoka katika Gazeti la Jitambue. (Gazeti hilo limesimama kuchapishwa kutokana na sababu za kiufundi)Nimeamua kuirejea makala hii kwa sababu ina… Read More
  • msimdharau mshindani wako Don’t underestimate your rival   Ikiwa mhitimu wa chuo kikuu ataambiwa ajiandae kwa mtihahi wa darasa la kwanza, nadhani maandalizi pekee atakayofanya ni kwenda kwenye huo mtihani ambao unaonekana ni wa chini sana ukil… Read More
  • Je? umeandika njozi yako“Success is predictable, so is the failure” Nakubaliana na mwenye hekima mmoja aliyesema, “Success is predictable, so is the failure” (“Kufanikiwa au kutofanikiwa ni jambo la kutabirika”: Tafasiri isiyo rasmi). Kwa lugha r… Read More
  • The solutions for solving marriage problems  Marriage is the most intimate relationship two human beings can experience, second only to a relationship with God. Marriage brings out the best and the worst in most people, as two separate individuals struggle to … Read More
  • Nguvu ya kufikiri Chanya   Kila mmoja wetu ana namna yake ya kufikiri na hizi namna tofauti za kufikiri ndizo ambazo zinatutofautisha binadamu. Ni tofauti hizi pia ambazo zinatufanya tuwe na tofauti katika mafanikio maishani mwetu. Wale ambao… Read More