Recent Posts

PropellerAds

Thursday, January 26, 2017

Ajiuzulu baada ya papa kumtaka asambaze kondomu

Kiongozi wa kanisa katoliki anayewasaidia
raia wa Malta amejiuzulu kufuatia mgogoro
na Vatican kuhusu mpango wa kusambaza
mipira ya kondomu kulingana na kanisa
hilo.
Mathew Festing mwenye umri wa miaka 67
alijiuzulu baada ya papa Francis kumtaka
kufanya hivyo katika mkutano siku ya
Alhamisi.
hatua hiyo inafuatia ufichuzi kwamba tawi la
hisani la kanisa hilo huko Malta lilisambaza
maelfu ya mipira ya kondomu katika taifa la
Myanmar.
Kanisa katoliki linakataza utumizi wa mipira
ya kondomu.Papa Francis alimtaka kujiuzulu
na alikubali.
Tawi hilo la Malta lina uwezo mwingi kama
ule wa taifa zima. Hutoa pasipoti, stampu na
leseni na pia lina uhusiano wa kidiplomasia
na mataifa 106 ,ikiwemo Vatican.
Ijapokuwa tawi hilo linaonekana kuwa na
wanaume pekee, viongozi wake sio wanaume
pekee.
Kufikia 2013 wanawake walikuwa asilimia 30
wakijulikana kama Dames.
Kundi hilo lilo katika kuondoa sura yake ya
kibwenyenye na kuvutia vipaji ili kuendelea
kazi zake za kibinaadamu.

Related Posts:

  • Do You Wish You Had Accomplished More? John the Baptist’s life began with great promise. An angelic proclamation. A call from God. A thriving ministry. Yet his life ended in virtual obscurity — alone in a small prison cell. “Can we find joy when God uses us, e… Read More
  • God, I Want to See More Because I have heard of your faith in the Lord Jesus, I do not cease [praying for you, that God] may give you the Spirit of wisdom and of revelation in the knowledge of him, having the eyes of your hearts enlightened.&… Read More
  • Every Sorrow Will Be Swallowed in Joy Christian theology has a deep and abiding interest in the topic of happiness because it has a deep and abiding interest in “the happy God” (1 Timothy 1:11) and in the happiness of the people whose God is the Lord (Psalm 144:… Read More
  • He Will Carry You Through the Fire We all experience fears of various kinds — fears about the future, about relationships, about work and finances, about our health, or about the ones we love, perhaps even fears about falling away from Christ. Fears often eme… Read More
  • What If Evil Does Befall Me? The Lord says, “No evil shall be allowed to befall you, no plague come near your tent” (Psalm 91:10). But what if evil has befallen me? What if disaster has come into my tent? Does that mean God’s promises don’t apply to me?… Read More