Recent Posts

PropellerAds

Sunday, January 29, 2017

Makamando wa Marekani wavamia ngome ya al-Qaeda Yemen

Ripoti kutoka Yemen, zinaeleza kuwa
shambulio, lililofanywa na makamando wa
Marekani, limeuwa watu kama 30,
wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Qaeda
na raia.
Hata hivyo jeshi la Marekani linasema kuwa
kamando wake mmoja, aliuwawa, na wengine
watatu walijeruhiwa, katika shambulio dhidi
ya makao makuu ya al-Qaeda nchini Yemen.
Marekani kumsaka mtoto wa Osama
Ndege ya jeshi la Marekani iliyotumika katika
shambulio hilo, ilielezewa kuwa ilitua kwa
kishindo, na kujeruhi wanajeshi zaidi.
Jeshi linasema wapiganaji 14 waliuwawa,
katika shambulio hilo lilofanywa alfajiri,
katika jimbo la al-Baida.
Lakini watu wa huko, wanasema idadi ya
waliouwawa ilikuwa kubwa zaidi, na
wanasema raia kadha pia waliuwawa.
Mwana wa Osama bin Laden asakwa na
Marekani
Wadadisi wanasema, shambulio hilo la
kwanza la aina yake, tangu Rais Donald
Trump kuapishwa, litaonekana kama ishara
ya lengo lake la kutumia nguvu zaidi dhidi ya
makundi ya wapiganaji wa Kiislamu.

Related Posts:

  • Rejoice in the Wife of Your Youth Dear Husband, I thank God for this moment with you. I only wish I could be present with you and look into your eyes and speak as earnestly as I can. So much is at stake in your marital integrity. But you haven’t yet take… Read More
  • God Called Us into Life and Hope This series of messages was born in Hebrews 6:11 which says, “We desire each one of you to show the same earnestness in realizing the full assurance of hope to the end.” In simpler words that means: God… Read More
  • The Pleasure of God in His Creation May the glory of the Lord endure forever,   may the Lord rejoice in his works. In our first message of this series on the pleasures of God we saw that God delights in his Son. For all et… Read More
  • Make It Easy for Your Kids to Love God Proverbs for a Happy Home The most famous parenting verse in the book of Proverbs says, “Train up a child in the way he should go; even when he is old he will not depart from it” (Proverbs 22:6). That’s great to know. But the book of Proverbs has muc… Read More
  • How Do You Define Joy? As we begin this series on joy in the letter of Paul to the Philippians, it seemed good to me that we should probably begin with a definition of joy. Definitions are simply descriptions of the way people use words. Wo… Read More