Recent Posts

PropellerAds

Monday, January 30, 2017

Israel yaishtumu Iran kwa kujaribu kombora lake

Israel imeishtumu Iran kwa kukiuka maamuzi ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa kufanyia majaribio kombora lake la masafa ya kadri
Israel imeishtumu Iran kwa kukiuka maamuzi ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa kufanyia majaribio kombora lake la masafa ya kadri
Waziri mkuu nchini humo Benjamin Netanyahu amesema kuwa jaribio hilo la kombora la masafa ya kadri ni ukiukaji wa sheria za Umoja wa Mataifa.
Amesema kuwa atapigania Iran kuwekewa vikwazo vipya vya kimataifa wakati wa ziara yake mjini Washington mwezi ujao.
Maafisa wa Marekani wamethibitisha kufanyika kwa jaribio hilo la kombora lakini wakasema kuwa haijabainika iwapo lilikiuka sheria za Umoja wa Mataifa iliopitishwa 2015 kufuatia mpango wa kimataifa kuuwekea vikwazo mpango wa Nuklia wa Iran.
Hakujakuwa na tamko lolote kutoka Iran.
Kabla ya kuchukua mamlaka ,rais Trump alitaja mpango huo wa Iran kuwa hatari kubwa na kusema kuwa atasitisha majaribio yake ya makombora.

Related Posts:

  • What If Evil Does Befall Me? The Lord says, “No evil shall be allowed to befall you, no plague come near your tent” (Psalm 91:10). But what if evil has befallen me? What if disaster has come into my tent? Does that mean God’s promises don’t apply to me?… Read More
  • He Will Carry You Through the Fire We all experience fears of various kinds — fears about the future, about relationships, about work and finances, about our health, or about the ones we love, perhaps even fears about falling away from Christ. Fears often eme… Read More
  • God, I Want to See More Because I have heard of your faith in the Lord Jesus, I do not cease [praying for you, that God] may give you the Spirit of wisdom and of revelation in the knowledge of him, having the eyes of your hearts enlightened.&… Read More
  • Do You Wish You Had Accomplished More? John the Baptist’s life began with great promise. An angelic proclamation. A call from God. A thriving ministry. Yet his life ended in virtual obscurity — alone in a small prison cell. “Can we find joy when God uses us, e… Read More
  • Every Sorrow Will Be Swallowed in Joy Christian theology has a deep and abiding interest in the topic of happiness because it has a deep and abiding interest in “the happy God” (1 Timothy 1:11) and in the happiness of the people whose God is the Lord (Psalm 144:… Read More