Recent Posts

PropellerAds

Thursday, January 26, 2017

SERIKALI YAKUSANYA ZAIDI YA BILLION 19 TANGU KUANZA MRADI WA MABASI YA MWENDOKASI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),
George Simbachawene amesema kuwa kwa
kipindi cha kati ya mwezi Mei hadi mwezi
Disemba mwaka jana, serikali ilifanikiwa
kukusanya kiasi cha fedha TZS bilioni 19
katika mradi wa mabasi yaendayo haraka.
Hayo yamesemwa na Waziri
Simbachawene leo jijini Dar es Salaam
alipokuwa akizungumza na waandishi wa
habari ikiwa ni siku moja tangu Rais Dkt
Magufuli alipomtaka waziri huyo kwa
kushirikiana na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa
kueleza umma nikiasi gani wamekusanya
ili ifahamike kama mradi huo unaingiza
faida au ni hasara.

Waziri Simbachawene pia ameagiza vikosi
vya ulinzi na usalama kuhakikisha
vinawaondoa wafanyabiashara wadogo
maarufu kama machinga wanaofanya
biashara zao ndani ya eneo la barabara
hiyo kitu ambacho ni kinyume na sheria.
Aidha, wakati huo huo Waziri
Simbachawene amewaagiza Wakuu wa
Mikoa yote nchini kuhakikisha
wanawachukulia hatua za kisheria wazazi
wote wanaotekeleza watoto wao au
kuwatuma kwenda kuwa ombaomba jambo
linalopelekea ongezeko la watoto wa
mitaani.

Related Posts:

  • Do You Know Why You Were Made? Isaiah 43:6–7  We cannot live meaningful lives if we do not know why we were created. In this lab, Pastor John unfolds a major reason God created human beings. Principle for Bible Reading … Read More
  • Six ways to deal with your stressWhether stress is getting to you due to your job or something more personal, the initial step to resolve this issue is to recognise the cause. To identify the cause, observe what makes you angry, worried, frustrated or irrita… Read More
  • Six-Day War:Third Arab-Israel WarSix-Day War, also called June War or Third Arab-Israeli War, brief war that took place June 5–10, 1967, and was the third of the Arab-Israeli wars. Israel’s decisive victory included the capture of the Sinai Peninsula, Gaza … Read More
  • Always ‘Be’ Before You ‘Do’ A few months back, I purchased a pair of shoes. Printed on the side of the shoebox was the company’s slogan: Go. Do. Be. Do you see anything wrong with this advice? I hardly gave it a thought at the time. But now I’m giv… Read More
  • Never Blame God You are not the first Christian to have felt angry at God. And you will not be the last to feel the urge to blame him. We Christians can be prone, in our pain, to point a finger and raise a fist at heaven. If we believe… Read More