Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, January 24, 2017

Boko haramu watumia watoto wachanga kufanya mashambulio

Wanawake wanaojitoa mhanga nchini Nigeria
wameanza kutumia watoto kuepuka vizuizi
vya ukaguzi, jambo ambalo, serikali nchini
humo inasema linaweza kuwa mwelekeo wa
hatari.
Tahadhari hiyo imekuja baada ya wanawake
wawili waliokuwa wamebeba watoto
mgongoni kufanya mashambulizi ya kujitoa
mhanga katika mji wa Madagali siku 10
zilizopita.
Januari 13 mwaka huu, wanawake wanne
waliokuwa wakijitoa mhanga walifika kwenye
mji wa Maddaggalee katika jimbo la
Adamawa, wawili walitambuliwa na walinzi
waliokuwa katika vizuizi na kutakiwa
kusimama, baada ya mbinu zao kugundulika.
Lakini wengine wawili walifanikiwa kupita
bila ya kugunduliwa. kubeba kwao watoto
kulifanya wasigunduliwe na kuweza
kusababisha maafa yaliyosababisha vifo vya
watu wanne, wao wenyewe kufariki na watoto
wawili pia waliokuwa wamewabeba katika
mawili tofauti.
Kundi la Boko Haram linajulikana kwa
kuwatumia wanawake, hususan wasichana
katika mabomu ya kujitoa mhanga, Hata
hivyo ni mara ya kwanza katika maasi hayo
kutumia watoto wachanga.

Related Posts:

  • God Will Never Let Go “We are now members of God’s own family …. And God has reserved for his children the priceless gift of eternal life; it is kept in heaven for you …. And God, in his mighty power, will make sure that you get there safely to r… Read More
  • The Strange and Wonderful Miracle of Feeling Loved by God One thing I am sure of intuitively: God’s ways are higher than my ways. Which means: If he reveals through the Bible his ways of loving me, they will certainly be jarring. The ease with which the human race presumes to tell… Read More
  • Life from Our Deepest Wounds Pain has taken its toll on me — physically, emotionally, and mentally. The damage isn’t always visible on my face or in my words, but it’s always there, tempting me to view everything through the lens of an aching heart and … Read More
  • CHANZO CHA MAUMIVU YA TUMBO MARA KWA MARA! Maumivu ya tumbo. MAUMIVU ya tumbo ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mkubwa au mdogo. Maumivu haya husumbua kwani huwa hayaishi, yaani yanatulia kwa muda flani na kurudi tena, aina hii ya ma… Read More
  • How to Feel God's Love For You ‘Feel’ is a song by Robbie Williams in which he writes, ‘I just wanna feel real love.’ God wants you to feel his love for you. He wants you to accept his love in your heart. You can receive his love in a new way t… Read More