Recent Posts

PropellerAds

Sunday, January 22, 2017

Waziri Mkuu wa mauritius kumkabidhi madaraka mwanae

Waziri Mkuu wa Mauritius Anerood Jugnauth
anasema anaoandoka madarakani na
kumkabidhi mwanawe Pavind madaraka.
Waziri huyo mkuu mwenye umri wa miaka
82 alichukua wadhifa kwanza mwaka 1982.
Katika tangazo kwa njia ta runinga bwana
Jugnauth anasema anajiuzulu ili kutoka
nafasi kwa kiongozi mwenye umri mdogo
na mwenye nguvu.
Mwanawe kwa sasa ni waziri wa fedha.
Vyama vya upinzani vimekosoa hatua hiyo
lakini hakuna kile vitafanya kuzuia hatua
hiyo.
Jugnauth ni mkuu wa chama kikubwa ziadi
katika muungano unaoongoza.
Mauritius, nchi iliyo habari Hindi ni koloni ya
zamani ya Uingereza. Atakabidhi mwanawe
madaraka Jumatatu asubuhi.

Related Posts:

  • Mwandishi wa DW aliyetoweka apatikanaMwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana. Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha kupatikana kwa mwanahaba… Read More
  • Ladislas Ntaganzwa asafirishwa RwandaMshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, amesafirishwa kutoka Jamhuri ya Demokrasi ya Congo kwenda nchini Rwanda ambapo atakabiliwa na mashtaka. Kulingana na wakuu wa mashitaka nchini Rwanda,wanamtuhumu Ladislas Ntag… Read More
  • Moja kwa Moja: Uchaguzi wa marudio Zanzibar08:50 Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar Dkt Ali Mohammed amezungumza na wanahabari baada ya kupiga kura yake katika kituo cha Bungi, Kibera kisiwani Unguja. Mwanzo amezungumzia hatua ya Chama cha Wa… Read More
  • Waingereza waliopiga picha ndege Kenya mashakaniRaia wanne wa Uingereza waliokuwa wakipiga picha ndege nchini Kenya wameamrishwa kulipa faini ya pauni 1,400 ama wahudumie kifungo jela kwa kuchukua picha hizo katika uwanja wa ndege jijini Nairobi kinyume cha sheria. Wanne h… Read More
  • Vikosi vya Kenya na al-Shabab vyapiganaKumekuwa na mapigano kati ya wanajeshi wa kenya na wanamgambo wa al-Shabaab katika eneo la Lower Juba nchini Somalia. Kuna ripoti za kukanganya kuhusu maafa. Wanajeshi wa Kenya wanasema kuwa walivisiwa lakini wakafanikiwa kuw… Read More