Klabu ya Swansea imepanda na kujiondoa
katika mkia wa ligi ya Uingereza baada ya
kuicharaza Liverpool 3-2 katika uwanja wa
Anfield.
Gylfi Sugurdsson alifunga akiwa karibu na
goli ikiwa imesalia dakika 16 na kuipatia
timu ya Paul Clement ushindi wake wa
kwanza tangu ajiunge na Swansea.
Roberto Firmino alifunga mara mbili na
kusawazisha baada ya Fernando Liorent
kufunga mabao mawili katika kipindi cha
dakika nne baada ya kipindi cha kupumzika.
Ushindi huo wa Swansea unaiwacha
Liverpool ikiwa nyuma ya Chelsea kwa pointi
saba.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
9 hours ago