Recent Posts

PropellerAds

Sunday, January 22, 2017

Uingereza: Tuna imani na silaha zetu za nuklia

Wizara ya ulinzi nchini Uingereza inasema
kuwa ina imani na silaha za nuklia za nchi
hiyo licha ya ripoti ya kutokea hitilafu
wakati wa majaribio.
Gazeti la Sunday Times, linasema kuwa
kombora ambalo halikuwa limebeba silaha
lililirushwa kutoka kwa manowari HMS
Vengeance, karibu na pwani ya Florida
mwezi Juni lilibadili mwelekeo na kuelekea
nchini Marekani.
Majaribio ya awali yaliyofanikiwa yalikuwa
yakitangazwa kwa hata kwa njia ya video,
lakini jaribio hilo halikutangazwa.
Kimya hicho kilizua maswali kuhusu huenda
kulikuwa na hililafu kabla ya kura ya bunge
ya mwezi Julai, ambayo iliiamrisha kutolewa
dola bilioni 50 za kuboresha mpango wa
nyuklia wa Uingereza unaopitwa na wakati.

Related Posts:

  • Your Church Needs YouDuring World War II, some posters displayed a stern Uncle Sam pointing and saying, “Your country needs you!” Many people responded to that challenge, going to work or to fight for the country even though they knew it would… Read More
  • Why Don't More People Go to Church?What can we do to help the unchurched find their way home to the Father? The most precious gift God has given us is our personal relationship with him. God knows us personally, and we know him. By God’s grace we are calme… Read More
  • Choose Your Future Schaller writes, “Most congregations are really confronted with two choices: change or gradually fade away” (page 21). “Small churches have a bright and promising future—if they are willing to adapt to a new role in a ch… Read More
  • The Pastor's CallingMany people have no idea what pastors do, and it’s not unusual for pastors to feel inadequate in their role. I’ve felt that way, as Paul apparently did in asking, “who is equal to such a task?” He then noted (speaking of t… Read More
  • Involve Children in Your LifeWe can involve children in the life of the church in many ways. Children’s ministry programs are vital—things such as Vacation Bible School, Sunday School classes and camps—but such programs are not ends in themselves. Minis… Read More