Dodoma. Wakati Sheria ya Usalama Barabarani inamtaka kila dereva wa bodaboda kuwa na kofia ngumu (helmeti) mbili kwa ajili yake na abiria, watumiaji wa vyombo hivyo wapo hatarini kuambukizwa maradhi ya ngozi.
Hatari hiyo inatokana na matumizi ya helmeti chafu.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk James Kiologwe alisema watumiaji wa usafiri huo wamekuwa wakitumia helmeti moja bila kujali kama imefanyiwa usafi, huku wengine wakilazimika kuvaa zilizo chafu ili kutekeleza matakwa ya sheria.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 2, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 2,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Magazet...
50 minutes ago