Mkuu wa Majeshi ya Senegal,Generali Francis Njie muda huu anaongoza vikosi vya majeshi ya ECOWAS kutoka Nigeria 860,Senegal 500 na Makomandoo maalumu 60 kwaajili ya kuingia Gambia na kumkamata Rais Jammeh akiwa ama hai au amekufa.
RAIS DK.MWINYI AIFUNGUA SKULI YA SEKONDARI UTAANI WETE-PEMBA
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amesema ujenzi wa Skuli ya ghorofa ya Sekondari Utaani ni
utekelezaji wa ...
2 hours ago