Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

jinsi ya kutengeneza mfumo wa maisha unaotaka

Inawezekana una ndoto au mipango ya kuishi maisha ya namna fulani ambayo unayoyataka. Je, kitu cha kujiuliza, ulishawahi kujua utawezaje kushi maisha hayo unayoyataka? Je, ni mikakati ipi ambayo umeweka hadi uweze kufikia hatua ya kuweza kutengeneza maisha unayoyataka? Kwa kawaida bila hata kuumiza kichwa, yapo mambo ya kuzingatia ili yakusaidie kuishi maisha unayoyataka. Haya...

Mambo yatakayo kufanya ukose heshima kwenye jamii yako

  Hakuna kitu kibaya maishani kama kuonekana upo katika daraja la chini na mtu wa kudharaulika kwenye jamii unayoishi. Kisaikolojia kuna madhara makubwa.Ni imani yangu kuwa kila mwanadamu timamu anapenda kuheshimiwa lakini wengi wetu tunashindwa kupata heshima tunayoitaka kwa sababu hatufahamu jinsi ya kuishi mbele ya wenzetu.Kitaalamu, hakuna jambo ambalo hutokea...

Chanzo Cha Hofu Nyingi Ulizonazo Na Zinazokuzuia Ushindwe Kufanikiwa

Wapo watu ambao ni waoga sana kuwajibika hasa linapokuja suala la kufanya kile kitu wanachotakiwa kufanya. Utakuta ni watu wa kusingizia sana hiki au kile, kwamba siwezi kufanya kwa sasa, kwa sababu hii au ile. Kwa mfano, utakuta mtu anataka kuanzisha biashara ya aina fulani, ambapo ukiangalia kama ataanzisha biashara hiyo, itamsaidia sana mtu huyo kuweza kuingiza kipato...

Mitandao ya kijamii inaweza kusababisha magonjwa ya akili - Utafiti

Je, unapenda kufungua mitandao mbalimbali ya jamii kama Facebook, Tweeter, Instagram, Google Plus, Snapchat, LinkedIn, Youtube na mingineyo kila siku? Kama jibu ni ndiyo, basi uko hatarini kupata tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi. Utafiti mpya uliofanywa na Chuo Kikuu cha Pittsburgh cha Pennsylvania nchini Marekani mwaka 2014 na kuzinduliwa mwaka huu, unaonyesha...

tiba ya jino linalouma hii hapa

Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Maranyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli. Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma. Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna...

DAWA ZA NYWELE ZINAZOSABABISHA UVIMBE WA KIZAZI KWA WANAWAKE

Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia. Hata hivyo, wataalamu wa afya wanadai kuwa dawa hizo zinasababisha uvimbe kwenye kizazi kutokana na kemikali za dawa hizo ambazo huingia mwilini kupitia majeraha au ngozi wakati wa kupaka. Daktari wa...

Trump amlaumu Obama kwa maandamano

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini kuwa Barack Obama ndiye anahusika na maandamano dhidi ya uongozi wa Republican. "Nafikiri Rais Obama anahusika kwa sababu ni watu wake wanaohusika kwenye maandamanohayo," Trump alikiambia kituo cha Fox News. Trump hakutoa ushahidi wowote kwa madai yake na Obama bado hajajibu lolote. Trump pia alizungumzia bajeti na masuala mengine.Alipoulizwa...

Uganda yaongoza kwa ufasaha wa lugha ya kiingereza Afrika

Utafiti uliofanywa na shirika la lugha duniani World Linguistic Society umesema Uganda inaongoza ikifuatiwa na Zambia halafu Afrika Kusini ikiwa katika nafasi ya tatu na Kenya katika nafasi nne. Kulingana na gazeti la The New Vison nchini Uganda, utafiti huo unajiri kufuatia kanda ya video iliomuonyesha malkia wa urembo kutoka Rwanda akishindwa kujielezea kiingereza. The...

unyanyasaji wa watoto wahamiaji libya wakithiri

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba idadi kubwa ya watoto wanaendelea kuhatarisha maisha yao, kwa kuvuka bahari ya mediterania kutoka Libya hadi Italia. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto UNICEF, linasema watoto 26,000, wengi wao wakiwa bila walezi, walivuka bahari ya mediterania mwaka jana. Idadi hiyo ni mara dufu ikilinganishwa na mwaka 2015.   Katika...

Space X kuwasafirisha watalii 2 mwezini 2018

Kampuni ya kibinafsi ya kurusha roketi imetangaza kwamba watalii wawili wamelipa kupelekwa mwezini. Safari hiyo itafanyika 2018 kulingana na mkurugenzi mkuu wa kampuni ya SpaceX Elon Musk, alieongezea kwamba watalii hao tayari wamelipa kiasi fulani cha fedha. ''Hatua hiyo inatoa fursa kwa binaadamu kurudi katika anga za juu kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka...

Mkuu wa majeshi afutwa kazi Gambia

Rais wa Gambia Adama Barrow amemfuta kazi mkuu wa majeshi Jenerali Ousman Badjie. Jenerali Badjie alitangaza utiifu wake kwa rais aliyeondoka madarakani Yahya Jammeh baada ya uchaguzi wa Disemba ulioleta vuta nikuvute. Hata hivyo, chini ya amri yake, jeshi halikutoa msaada wowote pindi vikosi kutoka nchi za Afrika Magharibi vilipoingia...

Sunday, February 26, 2017

Tumbili 57 wauawa kwa sababu ya ubaguzi Japan

Hifadhi moja wa wanyama ambayo ni ya kuwahifadhi tumbili wa barafu imewaua tumbili 57, ambao ilikuwa ikiwahifadhi baada ya kugundua kuwa nyani hao walikuwa na maumbile ya kijenetiki ya familia tofauti . Hifadhi hiyo ya Takagoyama ilichukua hatua hizo baada ya uchunguziwa DAN kuonyesha kuwa theluthi moja ya tumbili walikuwa na jenetiki ya familia nyingine ambayo haitambuliwi...

Tanzania kuimarisha biashara na Uganda

Serikali ya Tanzania imesema kuwa itaimarisha biashara yake na Uganda kwa lengo la kuinua uchumi wa raia wa mataifa hayo mawili. Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa tayari Tanzania imeanza kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge) ambayo itakwenda pamoja na ujenzi wa bandari kavu Mkoani Mwanza ili kuwapunguzia...

Wednesday, February 22, 2017

Mbona bado kuna njaa duniani?

Umoja wa Mataifa umetangaza njaa sehemu kadha nchini Sudan Kusini, ambayo ni ya kwanza kutangazwa popote pale duniani katika kipindi cha miaka sita. Pia kuna onyo la kutokea njaa kaskazini mashariki mwa Nigeia, Somalia na Yemen. Lakini ni kwa nini bado kuna njaa, na ni kitu gani kinastahili kufanywa. Ni kipi kinaendelea nchini Sudan Kusini? Mashirika ya Umoja wa Mataifa...

Wabunge waidhinisha kilimo cha bangi Uholanzi

Bunge la chini nchini Uholanzi limeidhinisha kuhalalishwa kwa kilimo cha bangi. Mswada huo ulioidhinishwa, utawakinga wakulima wa bangi ambao wanatimiza masharti fulani dhidi ya kuadhibiwa. Mswada huo bado haujaidhinishwa kuwa sheria, kwani utahitaji pia kuungwa mkono na Bunge la Seneti. Ununuzi wa viwango vidogo vya bangi katika 'migahawa' unakubalika nchini Uholanzi. Hata...