Recent Posts

PropellerAds

Thursday, February 2, 2017

Kiongozi wa upinzani DRC Etienne Tshisekedi afariki dunia

Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo, Etienne Tshisekedi,
amefariki dunia mjini Brussels nchini Ubelgiji
akiwa na umri wa miaka 84.
Tshisekedi alikwenda mjini Brussels
mwishoni mwa mwezi jana kwa ajili ya
matibabu.
DR Congo: Tshisekedi asafirishwa
Ubelgiji kwa matibabu
Tshisekedi: Tutamuonyesha 'kadi
nyekundu' rais Kabila
Utata DRC; wapinzani wadai ratiba ya
uchaguzi wa mwaka huu
Watu 20 wauawa katika maandamano
DR Congo
Bwana Tshisekedi alikuwa mmoja wa
wanasiasa wakongwe waliokuwa mstari wa
mbele kupigania demokrasia ya nchi yake.
Alisimama kidete katika utawala wa
aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Rais
Mobutu Sese Seko, ambae utawala wake
ulidumu kwa miongo kadhaa kabla ya
kupinduliwa.
Etienne Tshisekedi pia alikuwa mpinzani wa
Rais Laurent Kabila, ambae aliingia
madarakani mnamo mwaka 1997, na
mwanae, Rais Joseph Kabila, ambae hivi
sasa ndio anatawala nchi hiyo.

Related Posts:

  • What’s Wrong with Me? Since Charles Spurgeon’s passing in 1892, he continues to profoundly influence the church and her leaders. Today, Spurgeon is one of the most read Christian authors, living or dead. Between his volumes of sermons, commenta… Read More
  • CHANZO CHA MAUMIVU YA TUMBO MARA KWA MARA! Maumivu ya tumbo. MAUMIVU ya tumbo ni tatizo linaloweza kumpata mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mkubwa au mdogo. Maumivu haya husumbua kwani huwa hayaishi, yaani yanatulia kwa muda flani na kurudi tena, aina hii ya ma… Read More
  • Let God’s Promises Pour Over Your Soul Right there on the front pew — or back there fifty minutes ago or whatever it was — I recite the promise. Even if the biblical wording is not an I or thou kind of situation, I turn it into that so that … Read More
  • Malaria ni nini? Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vinavyojulikana kama Plasmodium ambavyo huenezwa na mbu jike aina ya anopheles. Dalili za malaria isiyo kali Homa,maumivu ya kichwa Maumivu ya mwili Tumbo kuuma,kuharisha Kichefu… Read More
  • Pray for Bahrain's Migrant Workers to be Healed by God's Word Bahrain has a population of 1.3 million people, 60 percent of whom are migrant workers. Most of these migrant workers come from India, Sri Lanka, Nepal, Pakistan, Bangladesh, and surrounding South Asian nations. They ente… Read More