Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

Space X kuwasafirisha watalii 2 mwezini 2018

Watalii wawili kwenda mwezini 2018
Kampuni ya kibinafsi ya kurusha roketi imetangaza kwamba watalii wawili wamelipa kupelekwa mwezini.
Safari hiyo itafanyika 2018 kulingana na mkurugenzi mkuu wa kampuni ya SpaceX Elon Musk, alieongezea kwamba watalii hao tayari wamelipa kiasi fulani cha fedha.
''Hatua hiyo inatoa fursa kwa binaadamu kurudi katika anga za juu kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 45'',alisemaWawili hao ambao majina yao hayakutajwa wataelekea mwezini wakiwa katika meli hiyo ya angani ambayo itafanyiwa jaribio lake la kwanza la kurusha rekoti isiokuwa na rubani.
Bwana Musk alisema kuwa ushirikiano wa shirika la sayansi na teknolojia ya angani nchini Marekani Nasa umefanya ufanisi wa safari hiyo
 Roketi itakayotumika kuwasafirisha watalii hao
Amesema kuwa abiria hao wawili watasafirishwa kwa kasi zaidi ya watu wengine wowote kuwahi kusafirishwa katika sayari.
Bwana Musk hatahivyo amekataa kuwataja abiria hao wawili ,akisema kwamba ni watu wanaojuana na kwamba hawatoki Hollywood.
Kama wanaanga wa Apollo, wawili hao watasaifiri angani wakibeba matumaini na ndoto za binaadamu wote wanaopenda kusafiri.
Tunataraji kuwafanyia ukaguzi wa kiafya kabla ya kuanza kuwafunza baadaye mwaka huu.

Related Posts:

  • God Will Conquer All Your Sins I didn’t know holiness would be so hard-won. As with many new believers, I enjoyed sudden victory over some of the sins that had marked my unbelieving life. I flew on eagles’ wings. I leapt from one degree of glory to ano… Read More
  • Seek Your Neighbors As I surveyed my table at our church’s Mother’s Day tea, I noticed a striking display of God’s kindness and grace. Three of my Burmese sisters enthusiastically joined the singing of old hymns while Muslim friends from Syri… Read More
  • The Joy We Know Only in Suffering The longer I walk with Jesus, the more I see that sufferers often have secret access to happiness. I used to think Satan loved suffering, that it was his weapon of choice against our faith. But while he certainl… Read More
  • BUILDING FAITH ON THE WRONG FOUNDATION? One reason people fall away from the faith is because they have built their faith on the wrong foundation. Sometimes we build our faith on a church. We become very passionate about our church and may even develop a my-chur… Read More
  • THE GOD OF ALL WEATHER I’ve always considered myself to be a one-season girl. I only enjoyed summer with its hot sun, warm breezes, and cold popsicles. Summer is for swimming and vacationing, it’s for listening to the cicadas, sipping ice teas, … Read More