Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

Mitandao ya kijamii inaweza kusababisha magonjwa ya akili - Utafiti

Image result for mobile features
Je, unapenda kufungua mitandao mbalimbali ya jamii kama Facebook, Tweeter, Instagram, Google Plus, Snapchat, LinkedIn, Youtube na mingineyo kila siku?

Kama jibu ni ndiyo, basi uko hatarini kupata tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi.

Utafiti mpya uliofanywa na Chuo Kikuu cha Pittsburgh cha Pennsylvania nchini Marekani mwaka 2014 na kuzinduliwa mwaka huu, unaonyesha kuwa matumizi ya mara kwa mara ya mitandao ya jamii yanaweza kusababisha magonjwa ya akili, ukiwamo msongo wa mawazo na wasiwasi.

Wakati kukiwa na tatizo hilo, inakadiriwa kuwa asilimia 71 ya vijana duniani kote hutembelea mitandao tofauti ya jamii kila siku huku simu za mikononi zinazowezesha kupatikana mitandao hiyo kirahisi zikizidi kubuniwa na kuboreshwa.

Related Posts:

  • Seven Ways to Quench the Spirit If the apostle Paul himself had not warned us about quenching the Spirit, who among us would have thought it was possible (1 Thessalonians 5:19–22)? To suggest that the omnipotent Spirit of God could ever be quenched, and … Read More
  • The Link Between God’s Love for Us and Ours for Others This morning I ask the question: What is the link between God’s love for us and our love for others? This is a transitional message in the series on “The Greatest of These Is Love”. For four weeks we have been talkin… Read More
  • How to Pray in the Holy Spirit I spent five years immersing myself in the sermons of Martyn Lloyd-Jones. It was truly a transformative season in my life. What was the biggest takeaway? The answer may surprise you. He taught me how to pray. “We must com… Read More
  • Give Your Teenager to God On a warm fall day, I stood on the sidelines of my daughter’s cross-country race, cheering her on as she pushed hard to the finish line. I love watching her run, and it’s been fun for me to see her starting to make friends… Read More
  • Loving Difficult People It was only a three-minute escape. Listening to my name being chanted over and over, louder and louder, with greater urgency, along with pounding on the door, you might imagine me to be a rock star. But in reality, I’m th… Read More