Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

unyanyasaji wa watoto wahamiaji libya wakithiri

UNICEF inasema kuwa watoto hunyanyaswa Libya katika harakati za kuelekea Itali
Umoja wa Mataifa umeonya kwamba idadi kubwa ya watoto wanaendelea kuhatarisha maisha yao, kwa kuvuka bahari ya mediterania kutoka Libya hadi Italia.
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto UNICEF, linasema watoto 26,000, wengi wao wakiwa bila walezi, walivuka bahari ya mediterania mwaka jana.
Idadi hiyo ni mara dufu ikilinganishwa na mwaka 2015.
 Watoto hukabiliwa na tisho la kufnywa makahaba na magenge ya uhalifu
Katika ripoti mpya, UNICEF, inasema watoto hao wanadhulumiwa na kunyanyaswa kimapenzi na walanguzi wa binadamu, japo huwa hawatoi ripoti kwa polisi kwa hofu ya kutiwa mbaroni na kurejeshwa Libya.

Related Posts:

  • Bored to Life How to Fight Spiritual Apathy Midsummer. American parents of school-aged kids know this as the season of boredom. The summer holiday’s novelty has worn off. Many fun things so anticipated during the final weeks of school have been enjoyed. Free time ha… Read More
  • The Good Father of the Spiritually Fatherless Many children begin walking with the Lord without parents to show them how. They hear, “Train up a child in the way he should go” (Proverbs 22:6), and wonder, But what about me? They see God calling fathers to “bri… Read More
  • The War for Inner Peace How Desperation Fuels Contentment Part of why inner peace is so elusive is because we expect it to feel more peaceful than it really does. And if we expect peace in this age to always feel peaceful, we’ll rarely experience real peace — the kind … Read More
  • Seven Ways to Pray for Your Heart Over the years, as I’ve prayed for my own heart, I’ve accumulated seven Ds that I have found helpful. Maybe you’ll find them helpful as well. With seven you can use them a number of ways. You might choose one D per day. O… Read More
  • Humility is humble submission Humility is humble submission. It is a willingness to serve otherswithout complaint, to overlook harm from others with a smile andforgiveness. It is a desire to serve others and to please GOD.  It is adesire to serve … Read More