Recent Posts

PropellerAds

Sunday, February 26, 2017

Tumbili 57 wauawa kwa sababu ya ubaguzi Japan

Tumbili wa barafu wa Japan
Hifadhi moja wa wanyama ambayo ni ya kuwahifadhi tumbili wa barafu imewaua tumbili 57, ambao ilikuwa ikiwahifadhi baada ya kugundua kuwa nyani hao walikuwa na maumbile ya kijenetiki ya familia tofauti .
Hifadhi hiyo ya Takagoyama ilichukua hatua hizo baada ya uchunguziwa DAN kuonyesha kuwa theluthi moja ya tumbili walikuwa na jenetiki ya familia nyingine ambayo haitambuliwi kuwa ya asilia nchini Japan.

Afisa mmoja alisema kuwa tumbili hao walikuwa ili kulinda familia za asili.
Nyani hao waliuawa kwa kudungwa sindano yenye sumu na msimamizi wa hifadhi akawaandaa maombi kwenye hekalu lililokuwa karibu.

Related Posts:

  • 4 Causes of Discouragement, and 4 Cures Discouragement is unique to human beings, and it’s universal. Eventually everyone feels it, including those in ministry. I have no doubt you’ve experienced discouragement at times. You might even be discouraged as you rea… Read More
  • A Bruised Reed He Will Not Break It was one of the goriest things I’ve seen on television. There was blood everywhere and visible agony. It wasn’t Game of Thrones, but a BBC natural history program, and the protagonist was a crocodile. Its victim was… Read More
  • The Happiest Woman I Have Ever Known There is a beauty in simplicity. And there is a greater beauty in harmonious complexity. Referring to Jesus, Jonathan Edwards said that there is in him “an admirable conjunction of diverse excellencies.” That’s a quaint way … Read More
  • A Call to Arms As another Mother’s Day rolls around, we find ourselves floating in a sea of sentimental, loving, and sweet words on the things that mothers do for us. It is good to recognize, appreciate, and honor all of that, but it is … Read More
  • Hope for the Unhappy Christian On the outside, Chloe appears to have it all together. She is single, has a career, and is fairly active in her local church. But she’s lonely, disenchanted by her career, and feels detached from her church. The shell that… Read More