Recent Posts

PropellerAds

Sunday, February 19, 2017

Mwanaharakati anayeshukiwa kupewa sumu Urusi apelekwa matibabu ng'ambo

Bwana Kara-Murza (kushoto) alikuwa mshirika wa karibu kwa kiongozi wa upinzani aliyeuawa Boris Nemtsov (kulia)
Mwana harakati wa Urusi, Vladimir Kara Murza, ameondoka nchini baada ya kulazwa hospitali kwa zaidi ya majuma mawili, akiwa mahututi.
Inashukiwa kuwa mwana harakati huyo alipewa sumu.
Karatasi za hospitali zinasema aliugua kutokana na kitu kisichojulikana.
Alisafirishwa kwa ndege kutoka Urusi, akifuatana na mkewe na tabibu, kuenda kuendelea kutibiwa nchi za nje.
Taarifa ilisema kuwa Bwana Kara Murza, ambaye alikuwa mshirika mkubwa wa kiongozi wa upinzani aliyeuwawa, Boris Nemtsov, anakusudia kuendelea na kazi yake ya kurejesha demokrasi nchini Urusi.

Related Posts:

  • How to Kill Sin, If Christ is in you, though the body is dead because of sin, yet the spirit is alive because of righteousness. But if the Spirit of Him who raised Jesus from the dead dwells in you, He who raised Christ Jesus from the dea… Read More
  • The Sweetest Words We Never Want to Hear Some of the sweetest graces I have enjoyed tasted bitter before they were ever sweet to me. Anyone who follows Jesus will experience “trials of various kinds” (James 1:2), but the bitter-then-sweet graces I have in mind are… Read More
  • Trusting God with Our Children’s Pain felt a wave of lightheadedness wash over me as I held my three-year-old’s hand. His screams pierced my heart as he fought the nurse’s attempts to insert a PICC line for the upcoming IV treatments. I don’t know if I can … Read More
  • The Laying on of Hands What does the Bible teach about “the laying on of hands,” and how should this ancient ritual function, or not, in the church today? Like anointing with oil, much confusion often surrounds these outward signs which th… Read More
  • People of Truth People of Truth I would start with the truth that, owing to our new birth and our new creation in Christ, through faith, we are now children of God. “God is light, and in him is no darkness at all” (1 John 1:5). In union … Read More