Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, February 15, 2017

Baraza la makardinali lamshangaa Papa

VaticanBaraza kuu la ushauri linaloongozwa na kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ulimwenguni Papa Francis , limechukua hatua isiyokuwa ya kawaida ya kutoa taarifa yenye kuonesha kuwa linamuunga mkono.
Hali hiyo inafuatia upinzani wa dhahiri dhidi ya uongozi wa Papa Francis kutoka kwa makundi mbalimbali wakiwemo makardinali wanne wa kihafidhina ambao kwa uwazi mkubwa walihoji juu ya misimamo ya papa huyo juu ya talaka kwa wakatoliki.
Katika taarifa yake, mshauri mwandamizi wa baraza la ushauri la Makardinali walirejelea tukio la hivi karibuni ingawa hawakufafanua zaidi, wakitilia maanani suala hilo kuwa linamuunga mkono papa na mafundisho yake.

Related Posts:

  • Know Who You Are Not Many of the problems that plague us as Christians begin with misplaced identity. We forget who we are as chosen, purchased, and commissioned children of God, and think of ourselves primarily through the lens of somethin… Read More
  • God Grew Up in a Forgotten Town Article by  David Mathis The Old Testament never mentioned Nazareth. Think of all the genealogies and historical accounts, and what seems, at least to us today, like unusual attention to land, geography, and place.… Read More
  • The Way That Leads to Life jesus often calls us to rest in the areas of life where our flesh wants to work, and to work in the areas of life where our flesh wants to rest. The gospel is an ingenious work of salvific engineering.… Read More
  • SEVEN GREAT WOMEN OF ILL REPUTE Article by  Jon Bloom A strange thread runs through the most prominent women associated with Jesus: they are all women of, shall we say, ill repute. Most of their notorious reputations spring from sexual scandals. Wha… Read More
  • Don’t worry, it’ll all be fine. Article by  Vaneetha Rendall Risner I called her when I heard the news. Her husband has cancer. When the doctors first detected an irregularity, they were unconcerned. It was probably nothing. But they decided to ru… Read More