Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

Uganda yaongoza kwa ufasaha wa lugha ya kiingereza Afrika

Uganda imetajwa kuwa nchi yenye raia wanaozungumza lugha ya Kiingereza kwa ufasaha zaidi barani Afrika
Utafiti uliofanywa na shirika la lugha duniani World Linguistic Society umesema Uganda inaongoza ikifuatiwa na Zambia halafu Afrika Kusini ikiwa katika nafasi ya tatu na Kenya katika nafasi nne.




Kulingana na gazeti la The New Vison nchini Uganda, utafiti huo unajiri kufuatia kanda ya video iliomuonyesha malkia wa urembo kutoka Rwanda akishindwa kujielezea kiingereza.
The New Vison linasema kuwa mwaka 2015, mmoja wa malkia hao wa Urembo katika shindano la Malkia wa urembo nchini Rwanda Uwase Honorine alishindwa kujibu maswali aliyoulizwa na majaji wa shindano hilo.
Rwanda iliokuwa chini ya koloni ya Ufaransa ilianza kuzungumza Kiingereza baada ya kukosana na Ufaransa.
Gazeti la The New Vision linasema kuwa kiingereza nchini Uganda ndio lugha rasmi, na ndio lugha inayotumiwa katika shule na taasisi tofauti nchini humo.
Watoto huanza kujifunza lugha hiyo katika shule za msingi.
The New Vison linasema kuwa hivi majuzi serikali iliziagiza shule kufunza lugha za nyumbani kwa wale wanaosoma katika shule za msingi lakini ikasisitizia kuwa Kiingereza ndio lugha itakayotumiwa katika mtaala.
Mataifa yanayozungumza kiingereza kwa ufasaha:
1.Uganda
2. Zambia
3. South Africa
4 . Kenya
5. Zimbabwe
6. Malawi
7. Ghana
8. Botswana
9. Sudan

Related Posts:

  • Marry the Bible This Year Here comes our annual reminder to take stock and make fresh resolves. And for many of us, a new year means an opportunity to re-up on our spiritual disciplines. However poor our eating has been or however inadequately we’… Read More
  • What Are Faith, Hope, and Love? Despite imprisonment and the death of his wife and son, Jeremy Taylor (1613-1667) never lost his deep faith and profound love of Christ. He wrote numerous devotional and theological works, the most famous of which are Holy L… Read More
  • "Destroyed for Lack of Knowledge" The Gospel Feast"When Jesus then lifted up His eyes, and saw a great company come unto Him, He saith unto Philip, Whence shall we buy bread that these may eat?"--John vi. 5. After these words the Evangelist adds, "And t… Read More
  • Statement of Faith Statement of Faith We believe in one God-Father, Son and Holy Spirit. We believe in the inerrancy of the Bible. That the Old and New Testaments are the inspired, infallible Word of God. We believe in the resurrection of th… Read More
  • Financial Analysis Financial Analysis is defined as being the process of identifying financial strength and weakness of a business by establishing relationship between the elements of balance sheet and income statement. The information per… Read More