Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, February 28, 2017

tiba ya jino linalouma hii hapa

Image result for teethMeno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Maranyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.

Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.

Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao.

Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana kama MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la  kuumwa na jino au meno.

 Ili kuondoa tatizo hili, ni lazima uwaue hao bakteria na si kong’oa jino kwani wadudu hao walivyo unapong’oa jino moja wao huwa wanahamia jino jingine.

Tiba rahisi ya jino au meno yanayouma bila kung'oa wala kutumia dawa za hospitali tumia mojawapo kati ya hizi hapa:

Tengeneza na kunywa juisi ya bilinganya (Bringal).
Jino linalouma au fizi zilizovimba: Ponda ponda tangawizi mbichi kisha itie chumvi. Weka kwenye jino linalouma au fizi ilipovimba.

Image result for teeth
Saga majani makavu ya mint kutengeneza unga wake, kisha tia chumvi na weka kwenye jino linalouma.

Saga karafuu kuwa unga. Weka kiasi cha unga huo kwenye jino linalouma. Pia kama una mafuta ya karafuu, chukua nyuzi za pamba (cotton wool) chovya kwenye mafuta hayo na weka wool hiyo kwenye jino linalouma.

Tiba hizi tunazo majumbani kwetu tunamoishi lakini tumekuwa hatujui kuwa ni tiba, badala yake huwa tunakimbilia kung'oa meno yanayouma

Related Posts:

  • Is Your Joy Real or an Imposter? Do you believe that “real enjoyment is essential to real godliness,” or does that sound more like a tagline for the power of positive thinking? Or maybe a self-serving cliché on the lips of some popular prosperity preacher… Read More
  • Do You Exercise for the Wrong Reasons? “When I run, I feel God’s pleasure.” Such were the memorable words of Olympic sprinter and Christian missionary Eric Liddell (1902–1945), at least through the lens of Chariots of Fire, the 1981 Oscar-winning film tha… Read More
  • The Hour Had Come “The hour has come. The Son of Man is betrayed into the hands of sinners.” (Mark 14:41) All Jesus’s human life had anticipated this hour. Every careful attempt at keeping the messianic secret. Every emotional investment p… Read More
  • We Must Live With This “Let anyone who has no love for the Lord be accursed.” (1 Cor 16:22, NET) This verse seems to dangle there with no immediately apparent connection to what precedes it or follows. Paul placed this thought in the very last … Read More
  • God Loves Ministry No One Else Sees God showed me the beauty of unseen ministries while visiting my grandmother in a nursing home. This past summer we were visiting my family in Michigan. On Sunday morning, we were worshiping at a local church and met a lov… Read More