Klabu ya Newcastle imaimarisha
matumaini yake ya kusalia katika ligi kuu ya Uingereza kufuatia bao la
Andros Townsend na penalti iliopanguliwa na kipa wa kilabu hiyo dhidi ya
Crystal palace.
Huku Norwich ikicheza dhidi ya Arsenal na
Sunderland kutoka sare na Stoke,Newcastle sasa imepanda hadi nafasi ya
17 na kuondoka katika eneo la kushushwa daraja.
Towsend aliipatia...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
4 weeks ago