Recent Posts

PropellerAds

Thursday, April 28, 2016

Watu 50 wauawa katika mashambulio Aleppo

Bashar
Maafisa wa ulinzi wa raia katika mji mkuu wa Syria Aleppo, wanasema kuwa karibu watu 50 waliuwawa baada ya mashambulio ya angani yaliyotekelezwa na vikosi vya serikali, katika hospitali moja Jumatano usiku.
Wafanyikazi hao, wa kundi linalojulikana kama "White Helmets" walikuwa wakichimba vifusi saa 24 baada ya mashambulizi hayo ya mabomu.