Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 30, 2016

Uwindaji haramu: Kenya yachoma pembe za ndovu


Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezichoma pembe za ndovu katika juhudi za kuonyesha taifa lake kuhusu umuhimu wa kuwahifadhi ndovu.
Zaidi ya tani 100 za pembe za ndovu zilikusanywa katika mbuga ya wanyama ya Nairobi ambapo zinatarajiwa kuchomeka kwa siku kadhaa.
Pembe hizo zinawakilisha karibia pembe zote zilizopatikana na serikali zikidaiwa kutoka kwa takriban ndovu 6,700.
Hatahivyo wengine wametofautiana na hatua hiyo ya Kenya wakisema inaweza kuongeza visa zaidi vya uwindaji haramu.
 
Kabla ya kuwasha moto huo,Bw Kenyatta alisema: Wingi wa Pembe hizi ndio unaotupatia shinikizo zaidi kukabiliana na visa vya uwindaji haramu.
''Hakuna na narudia hakuna mtu aliye na sababu ya kushiriki katika biashara ya pembe za ndovu''.

Related Posts:

  • How to Fight When Your Mind Is Failing If you read your Bible in the morning and see an encouraging promise of God’s help, but then, ten minutes after you have put the Bible away, you have no memory of what that promise was, your battle for hope and holiness w… Read More
  • Where Is God When I Need Him Most? When I learned my dear friend was killed in a car accident this summer, I was stunned. She was my second mom, and a faithful wife, mother, and friend. She was unforgettable. And her life was snapped so abruptly that I cou… Read More
  • Njia Ya Kweli Ya Wokovu   wafilipi 3:1 3 Hatimaye ndugu zangu, furahini katika Bwana. Mimi sichoki kuwaandikieni mambo yale yale niliyokwisha waandikia kwa maana najua kwamba yatakuwa ni kinga kwenu. 2 Jihadharini na watenda ma… Read More
  • The World Needs More One-Woman Men The “one-woman man” may seem like an endangered species today. In our over-sexualized and sexually confused society, it’s increasingly rare to come across married men who are truly faithful to their bride — in body, heart… Read More
  • Flee from the Darkness   Dear Wife, I have really wrestled with what God wants me to share in a letter like this. I’ve stopped and started a hundred times. I have found myself thinking, “They have already heard everything!” And then… Read More