Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 30, 2016

Jumba lililoporomoka lawaua watu 7 Nairobi


Polisi katika mji mkuu wa Kenya Nairobi wanasema kuwa takriban watu saba waliuawa wakati nyumba moja ilipoanguka katika mtaa mmoja mjini humo.
Waokoaji wanaendelea kutafuta watu wanaohofiwa kukwama ndani ya vifusi vya jengo hilo la ghorofa sita kufuatia mvua kali inayoendelea kunyesha ambayo imesababisha mafuriko.
Takriban watu 120 wameokolewa kufikia sasa katika mtaa huo wa Huruma.
Shirika la msalaba mwekundu linasema kuwa takriban familia 150 ziliathiriwa na mkasa wa jumba hilo lililojengwa miaka miwili iliopita
Waliojeruhiwa wamepelekwa katika hospitali ya Mama Lucy iliopo mjini humo.

Related Posts:

  • How to Get Your Mind Back on Track How are you feeling? What’s on your mind? These are very important questions, not just polite conversation starters. They’re questions we should ask ourselves (and others) frequently because they tell us what direction our … Read More
  • I Act the Miracle The reason for this message is to give you a glimpse of how the gospel of Christ relates to the front-burner warfare with sin in my own life. These are some things that I have been thinking about and praying over and doing… Read More
  • From God, to God, Through God Today we complete our six-year journey through Romans 1–11. We’ve seen the terribly sinful condition of our hearts — and the hearts of all humanity — in Romans 1–3:19; and the great work of Christ on the cross to provide a r… Read More
  • Only the Humble See Heaven Why is humility so important to God? I mean, it’s really, really important to him. Listen to the kinds of things Jesus said: Whoever would be great among you must be your servant, and whoever would be first among you must … Read More
  • What Is Our Victory? Article by  Dave Zuleger Pastor, When was the last time a trial came so swiftly and forcefully that you did not know what to do? My wife has lived in chronic pain for eight years. Recently, however, she woke … Read More