Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 30, 2016

Maandamano yachelewesha hotuba ya Trump


Maafisa wa polisi wa kutuliza ghasia nchini Marekani, wamewaondoa maelfu ya waandamanaji walioshiriki katika maandamano makubwa nje ya eneo la mkutano wa chama cha Republican, ambapo mgombea wa tiketi ya urais wa chama hicho Donald Trump alikuwa akihutubia.
Mgombea huyo aliingia katika eneo la mkutano chini ya ulinzi wa maafisa wanaomlinda rais wa Marekani maarufu kama Secret service, kupitia mlango wa nyuma.
wana Trump amewaambia wajumbe wa chama hicho kuwa wanafaa kumuunga mkono kwani kinyanganyiro cha wagombea wa Republican kimefikia kikomo.
Waandamanaji wamekuwa wakisambaratisha mikutano ya Donald Trump katika maeneo tofauti nchini Marekani, kutokana na msimamo wake dhidi ya waislamu na wahamiaji.

Related Posts:

  • 50 wafariki kwenye mafuriko EthiopiaTakriban watu 50 wamefariki kufautia mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kubwa katika baadhi ya maeneo Ethiopia. Taifa hilo la upembe wa Afrika linakabiliwana ukame mbaya kuwahi kushuhudiwa katika miaka… Read More
  • Kongamano la uchumi kufanyika Rwanda Kongamano la 26 la uchumi duniani linaanza leo mjini Kigali Rwanda. Hii ni mara ya kwanza kongamano hilo kuandaliwa Rwanda na mara yake ya pili kufanyika afrika mashariki. Kongamano hilo litakalowaleta pamoja marais wa mat… Read More
  • Besigye akamatwa kwa 'kujiapisha' UgandaTaharuki imetanda nchini Uganda baada ya kiongozi wa upinzani Dr Kizza Besigye, ''kujiapishwa kama rais'' siku moja tu kabla ya kuapishwa rasmi kwa rais Yoweri Museveni . Haijulikani ni vipi Dr Kiiza Besigye alikwepa kizuizi … Read More
  • MAGAZETI YA LEO MEI 12 Read More
  • Trump alegeza msimamo kuhusu WaislamuMgombea Urais wa Republican anaonekana kulegeza msimamo kuhusiana na pendekezo lake tata la kuwazuia Waislamu kuingia Marekani. Katika mahojiano na kituo cha television cha Fox News, Donald Trump akijibu kauli ya meya mpya wa… Read More