Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 16, 2016

Mkuu wa shirika la UN amshutumu Trump

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia
Haki za Kibinadamu ameshutumu sera za mgombea urais
wa chama cha Republican nchini Marekani, akisema ni
sawa na ushenzi.
Zeid Raad al-Hussein, ingawa hakumtaja Bw Trump
moja kwa moja, alizungumzia hatua ya mfanyabiashara
huyo tajiri kutoka New York kuunga mkono mateso
pamoja na sera zake kali dhidi ya Waislamu.
“Ushenzi na ulokole si thibitisho la uongozi thabiti,”
Hussein alisema.
Kamishna huyo pia amekosoa mpango wa mgombea
mwengine Ted Cruz wa kuweka mpango wa kupeleleza
maeneo wanamoishi Waislamu.
“Kutoa matamshi ya chuki, kuchochea na kuwatenga
wengine si jambo la kuburudisha watu nalo, au jambo
la kujifaidi kisiasa,” Bw Hussein ameambia hadhira
katika mji wa Cleveland, Ohio.
Trump akemewa kwa matamshi kuhusu Waislamu
Trump: Dunia ingekuwa bora na Gaddafi na Saddam
Ameongeza: "Mmoja wa wagombea wanaoongoza katika
kinyang’anyiro cha kutaka kuwa rais wa nchi hii
alitangaza, miezi kadha iliyopita, kujitolea kwake
kutumia mateso (…) kuumiza watu wengine, ili watoe
habari au wabuni habari ambazo hawazo nazo.”
Wakati wa kampeni, bw Trump alisema kwamba mateso
wakati mwingine hufanikiwa na akaahidi kurejesha njia
hatari zaidi kuliko kutumia maji kulazimisha washukiwa
kufichua habari.
Njia hizo zilitumiwa na jeshi la Marekani katika
washukiwa wa ugaidi lakini zilipigwa marufuku na
utawala wa Bw Obama.

Related Posts:

  • The Sale of Joseph and the Son of God Before we retell the story of Joseph and the spectacular sin of his brothers and its global purpose in the glory of Jesus Christ, let’s back up to Genesis 12. God has chosen Abram from all the peoples of the worl… Read More
  • Live to make Christ look magnificent. God’s Goal: Glory Oh, how I remember the tumultuous and wonderful days between 1968 and 1971, when my world was being destroyed and rebuilt by an understanding of the overarching, sovereign purposes of God to be glorified i… Read More
  • Listen and Watch Closely Kings 18:1: “After a long time, in the third year, the word of the LORD came to Elijah: “Go and present yourself to Ahab, and I will send rain on the land.” According to a couple New Testament passages, this “After a long … Read More
  • 5 Things I Learned in Church Planting By  Ron Edmondson I’ve planted two churches. In each plant, God overwhelmed us continually with what He did among us. I feel humbled and blessed to be a part of such healthy environments God uses to reach people with … Read More
  • This Illness Is for the Glory of God In the beginning — the absolute beginning of all things, except the one who was there in the beginning — was the Word, our Lord and Savior. And the Word was with God and the Word was God . . . and the Word became flesh — t… Read More