Zaidi ya maafisa 1000 wametumwa katika eneo la mkutano wa chama hicho katika mji wa Stuttgart kutoa ulinzi.
Polisi wametumia maji ya pilipili kuwatawanya waandamanaji waliobeba vijiti na vyuma, na kuchoma moto tairi kwenye kiingilio cha eneo la mkutano wa chama hicho, ili kuwazuia wanachama wake.
Chama hicho kinatarajiwa kuzinduliwa upya, na kutangaza wazi kuwa kinapinga dini ya kiislamu.