Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, April 20, 2016

Somalia yazuia raia wake kwenda Sudan


Somalia imewaambia raia wake kuwa hawaruhusiwi kusafiri kwenda nchini Sudan, ambacho ni kituo maarufu kwa wahamiaji wanaosafiri kwenda Ulaya kinyume na sheria.
Afisa mkuu wa uhamiaji Abdullahi Gafow, alisema kuwa wasomali ambao wataruhusiwa kusafiri kwenda Sudan ni wale wanaohusika na masuala ya kidiplomasia.
Bwana Gafow alisema kuwa anatazamia kuwazuia vijana wa kisomali ambao hufanya safari hatari kwenda Ulaya.
Mamia ya wahamiaji wengi wao rais wa Somalia, wanaripotiwa kufa maji mapema wiki hii wakati mashua yao ilizama katika bahari ya Mediterranean.

Related Posts:

  • wanawake wanawapenda wanaume wasio waoga   Katika utafiti wa hivi karibuni, watafiti wamegundua kwamba, wanawake wanawapenda wanaume wasio waoga na mashujaa kuliko wale waoga. Ushujaa wa wanaume ni kigezo kikubwa kwa wanawake kuwapenda marafiki wa kiume wa mu… Read More
  • Wekeza katika maarifa "Until your brain sweat, you won't experience swiftness" Katika kitabu cha Hosea 4:6 imeandikwa “watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa…” Inawezekana umesikia mara nyingi sehemu hii; swali ambalo nataka tujiulize kwa… Read More
  • Three Prayers for Prodigal Children I once was that prodigal child — lost, angry, and struggling to find my identity. Hardened on the outside, but deeply hurting within. The pain of my choices was not only destroying me, but creating heartache within our f… Read More
  • Factors to Consider Before Investing One of your budgeting goals may be to have extra money that is not spent during the month. You may be accumulating this extra money to spend on something big within the year without going into debt – for things like a new … Read More
  • The Prayer God Loves to Answer Most God loves to answer the prayer “Show me your glory.” When your soul hungers, when your tank feels empty, when you’re running on fumes, when you open your Bible in the morning and ask for God’s help, a great go-to request… Read More