Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 2, 2016

Mwanasiasa wa ANC amtaka rais Zuma kujiuzulu

Mwanasiasa anayeheshimiwa wa chama tawala cha
Afrika Kusini ANC , Ahmed Kathrada, amejumuika na
watu wanaoengezeka, ambao wametoa wito kwa Rais
Jacob Zuma ajiuzulu.
Siku ya Alhamisi, mahakama kuu ya nchi, ilisema kuwa
rais amekwenda kinyume na katiba, katika kashfa ya
mamilioni ya dola, yaliyotumiwa kutengeneza nyumba
yake binafsi.
Bwana Kathrada, ambaye alifungwa kwa miaka mingi
katika kisiwa cha Robben, pamoja na Nelson Mandela,
alisema, Rais Zuma atazidisha watu kukosa imani na
serikali ya Afrika Kusini, ikiwa atabaki madarakani,.
Rais Zuma amesema wazi kuwa hana azma ya kujiuzulu.

Related Posts:

  • Four Steps to Rebuild Trust Trust is essential. According to one researcher, trust is the cornerstone of every relationship. But how do we become trustworthy? And how do we regain trust in someone when they’ve done something to betray our trust? As… Read More
  • Mtoto ni nani?  Mtoto ni nani?  Sheria na mikataba mbalimbali inayozungumzia huduma na haki za mtoto, inamtambulisha mtoto kama mtu yeyote mwenye umri wa miaka chini ya 18. Hata hivyo, kutumia umri kama msingi wa tafsiri ya u… Read More
  • Marriage: God’s Showcase of Covenant-Keeping Grace What we have seen in the last two weeks is that the most foundational thing you can say about marriage is that it is the doing of God, and the most ultimate thing you can say about marriage is that it is for the … Read More
  • REAP WHAT YOU SOW Do not be deceived: God cannot be mocked. Whatever a man sows, he will reap in return(Galatians 6:7). I have heard this point all my life, and yes, when I have sowed non-righteous “seeds,” I reaped the consequences. I was… Read More
  • God Is Near The familiar word “Near” (or some form of it) appears often in the Scriptures. For example, on a particular occasion the apostle John (the disciple whom Jesus loved) was standing nearby when Jesus was talking to His mother… Read More