Iran imeghadhabishwa na uamuzi wa mahakama ya juu nchini Marekani kuwa mali yake yote, yenye thamani ya dola bilioni mbili, iliyoshikiliwa nchini Marekani, ni lazima ikabidhiwe jamaa za watu waliouwawa na makundi yanayohusishwa na Tehran.
CCM wilaya ya mbogwe walia na tozo mazao ya chakula kwa wakulima.
-
Wananchi na Wakulima katika Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita
wamewalalamikia viongozi wao wa kata kwa kushindwa kudhibiti Baadhi ya
watumishi...
6 hours ago