Iran imeghadhabishwa na uamuzi wa mahakama ya juu nchini Marekani kuwa mali yake yote, yenye thamani ya dola bilioni mbili, iliyoshikiliwa nchini Marekani, ni lazima ikabidhiwe jamaa za watu waliouwawa na makundi yanayohusishwa na Tehran.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
9 hours ago